Je, chatu anaweza kuua jamii ya paka (Simba, Chui, Duma)?

Je, chatu anaweza kuua jamii ya paka (Simba, Chui, Duma)?

ila mi naona kumuuwa chui Hawa cheetah ni rahisi maana Wana tabia ya kuwinda kwa kunyemelea na akikukaribia ndo anajitokeza ili ukimbie anakujaza hofu kabla ya kukushambulia ila akitokea ukatulia na yeye anabak anazubaa anapata hofu anaona huy jamaa anajiamin nn? Yan hivyo hivyo hata akiwa anawinda nyati akifika karibu na nyat kama nyat katulia na yeye chui anazubaa
Unachanganya Chui(Leopard) na Duma(Cheetah).

Cheetah ndio mwenye tabia hizo kwasababu katika wanyama walanyama cheetah ndio mdhaifu anazinguliwa hadi na fisi ila sio

Leopard huyo ni Badass anaroho mbaya fisi mwenyewe anamuheshimu hana haja ya kukutisha ukimbie yeye anakuvaa mzimamzima
 
Unaposema Black Panther ni Mdogo kwa Mbwa Mwitu

Hapa kidogo ndio napata utata Chief
Black Panther ni mnyama jamii ya paka, ni mweusi Size yake ni ndogo ukilinganisha na jamii ya Jaguar na Leopard.

Kiumbo Leopard na Jaguar wakubwa kidogo ukilinganisha na Wolf ila Panther ukilinganisha na Wolf Wolf mkubwa kidogo.
 
Kwa Chui labda amkute mgonjwa,lakini akimkuta Chui yuko vizuri na akili zake timamu asipoteze muda...
Sorry nliandika nyumbu ila keyboard ikafanya autocorrect
 
Unachanganya Chui(Leopard) na Duma(Cheetah).

Cheetah ndio mwenye tabia hizo kwasababu katika wanyama walanyama cheetah ndio mdhaifu anazinguliwa hadi na fisi ila sio

Leopard huyo ni Badass anaroho mbaya fisi mwenyewe anamuheshimu hana haja ya kukutisha ukimbie yeye anakuvaa mzimamzima
Sawa mkuu
 
Akishakuwahi huwezi kutumia nguvu hata kidogo make ana kucha mbili kali sana mkiani ambazo huzisweka fasta kwenye mwili wako na kwa wepesi wa hali ya juu anakuroll na kujivuta kwa kukufunga kwa nguvu wakati huo zile kucha zinabana kukunyima pumzi!
Unapokuwa traped na chatu cha kwanza kabisa ni kuvaa ujasiri na kisha react kimapambano. Kama una kitu chenye ncha kali ni msaada tosha kwako kumlarua pembezoni mwa kiwiliwili chake au kama una panga kata kwa kufyeka/chonga na ukiwa huna siraha kabisa daka bichwa lake tanua domo lake kwa nguvu atachanika kama karatasi.
[/QUOTE
Kiongozi sidhani kama ujasiri wa kukamata bichwa na kutanua mdomo utakuwepo.
Vinginevyo ni kuomba mungu maana hata kifo kipo njenje tu.
 
Akishakuwahi huwezi kutumia nguvu hata kidogo make ana kucha mbili kali sana mkiani ambazo huzisweka fasta kwenye mwili wako na kwa wepesi wa hali ya juu anakuroll na kujivuta kwa kukufunga kwa nguvu wakati huo zile kucha zinabana kukunyima pumzi!
Unapokuwa traped na chatu cha kwanza kabisa ni kuvaa ujasiri na kisha react kimapambano. Kama una kitu chenye ncha kali ni msaada tosha kwako kumlarua pembezoni mwa kiwiliwili chake au kama una panga kata kwa kufyeka/chonga na ukiwa huna siraha kabisa daka bichwa lake tanua domo lake kwa nguvu atachanika kama karatasi.
Nami niliwaza hilo la kumkamata bichwa lake ila hiyo itafaa ikiwa hajakubana hadi mikono! What if akakuwahi akakubana hadi mikono ukabaki umenyooka kama moja utafanyaje?
 
hivi chui ndio tiger ama leopard?
Wote hao kwa kiswahili ni chui ila lugha ya kiingereza ndiyo imewatofautisha leopard ni chui mwenye madoa (chui madoa) ila tiger ni chui mweye mistari (chui milia)! Tanzania sidhani kama tuna tigers ila leopards tunao ndiyo maana watu wengi hudhani leopard tu ndiyo chui!
 
Chatu anaweza kummeza hadi Tembo ila akimmeza anakaa hapo hapo had aozee ndo aondoke,,chatu mwili wake upo kama mpira unatanuka ,

Chatu anaweza kumeza hadi gari ndogo kama Passo Vitz nk

Mmhh hii nyundo hii! Itakuwa umechanganya na dinasours!
 
1ca185c80c7d625f375346c36e7b61c5.jpg
View attachment 1732373
 
Ili utumie hiko kiwembe inabidi uwe na mambo yafuatayo
1)Chatu aelewe hitajio lako aache kubana mikono
2)Aache kubana mifuko yako endapo umeweka mfukoni
3)Aache kubana shingo na mapafu ili upate punzi na ufahamu wa kuwaza kiwembe
4)lazima ongee na chatu kwanza kwamba chatu akwambie kesho nakukamata so beba kiwembe
Unamwambia chatu niguse nikuchane chane na viwembe.
 
Back
Top Bottom