ni swali zuri , nimeangalia picha nyiingi za chatu akiwa anawinda . sijaona kicha ya CHATU akila mmoja kati ya hao wanyama uliowataja , bali huwa anajalibu kwa mfano niliona moja alijaribu kumkamata chui. chui ni mwepesi wakati anamfanyia timing na chui naye aliisha muona hivyo aliponyoosha shingo yake amkamate alipigwa kofi zito kichwani , chatu alikimbia baaa ya hapo. na nyingine alimfanyia timing Simba alifanikiwa kumkamata na kujivirigisha mwilini , lkn hiyo patashika na vurugu zilizotokea pale chatu alimuachia simba , ujue nyoka woote mifupa ya kichwani ni laini , hivyo zile vurugu za simba kujipapatua zilimuthiri kichwani akajifungua na kukimbia.