Regent
JF-Expert Member
- Oct 9, 2020
- 2,306
- 3,576
- Thread starter
- #121
Awawezi kumeza Tembo labda awe Abnormal maana Duniani kuna viumbe abnormal vinapitiliza ukubwa But still tembo ni mkubwa tu unajua Diameter ya Tembo akilala kweli.Hata ng'ombe anamezwa mkuu! By the way hivi wale anaconda wa amazon hawamezi tembo kweli?
*Diameter ya tembo kubwa atachanika (Elastic inakikomo)
*Uzito mkubwa
*Mwili mkubwa hauwezi kuozeshwaukimezwa (Digestion ya nyoka kali ila si kwa Size ya Tembo)