Je, chatu anaweza kuua jamii ya paka (Simba, Chui, Duma)?

Je, chatu anaweza kuua jamii ya paka (Simba, Chui, Duma)?

Labda kama ulijiandaa kuvamiwa na chatu
Ili utumie hiko kiwembe inabidi uwe na mambo yafuatayo
1)Chatu aelewe hitajio lako aache kubana mikono
2)Aache kubana mifuko yako endapo umeweka mfukoni
3)Aache kubana shingo na mapafu ili upate pumzi na ufahamu wa kuwaza kiwembe
4)Lazima ongee na chatu kwanza kwamba chatu akwambie kesho nakukamata so beba kiwembe
 
Black Panther ni mdogo kiumbo huyo ni Jaguar, Jaguar wako aina tatu
*mwenye madoa ya kukoza
*madoa kwambali na weusi
*weusi tii

Black Panther ana weusi tii ila ni mdogo kiumbo hata Wolf mkubwa.
Black Panther ana weusi tii ila ni mdogo kiumbo hata Wolf mkubwa



Hapa sijakuelewa Bro
Embu rudia tena tafadhali
 
Black Panther ana weusi tii ila ni mdogo kiumbo hata Wolf mkubwa



Hapa sijakuelewa Bro
Embu rudia tena tafadhali
Hata sijui naanzia wapi maana sentensi inaelewa hata na ordinary person.
 
Kwahiyo watu weusi wanatisha pia???
Nyeusi ni rangi mbaya tu na ki physics nyeusi sio rangi no matter what most of good things zinadepend kwenye weupe n most of bad things zinadepend kwenye weupe.

NB: nyeusi na nyeupe ipo kabla kuwepo binadamu.
 
ila mi naona kuuwa hawa cheetah ni rahisi maana Wana tabia ya kuwinda kwa kunyemelea na akikukaribia ndo anajitokeza ili ukimbie anakujaza hofu kabla ya kukushambulia ila akitokea ukatulia na yeye anabak anazubaa anapata hofu anaona huy jamaa anajiamin nn? Yan hivyo hivyo hata akiwa anawinda, swala au mtoto wa nyumbu akifika karibu na nyumbu kama nyumbu katulia na yeye chui anazubaa
 
ila mi naona kumuuwa chui Hawa cheetah ni rahisi maana Wana tabia ya kuwinda kwa kunyemelea na akikukaribia ndo anajitokeza ili ukimbie anakujaza hofu kabla ya kukushambulia ila akitokea ukatulia na yeye anabak anazubaa anapata hofu anaona huy jamaa anajiamin nn? Yan hivyo hivyo hata akiwa anawinda nyati akifika karibu na nyat kama nyat katulia na yeye chui anazubaa
Chui hana uwezo wa kuwinda Nyati kama Nyati

Labda useme Swala Sungura,Digidigi nk
 
Back
Top Bottom