Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,186
- 3,421
Ni leopard, kiswahili cha tiger ni Chui milia au Simba milia.hivi chui ndio tiger ama leopard?
Ni leopard, kiswahili cha tiger ni Chui milia au Simba milia.hivi chui ndio tiger ama leopard?
Ila mwenye njaa kali anakumeza hivyo hivyo bila kujizungusha,anatafuta kichwa chako kilipo anaanza kumeza. Kuna video moja akimmeza mamba bila kupoteza muda wa kujivinlingisha maana na mamba alikuwa anapambana sana kujinasua,mpaka mamba anaishia tumboni alikuwa bado anacheza cheza.Chatu Ni hatari Sana, akikunasa ukaanza kubabaika badala ya kupambana Basi ujue umekwenda na maji.
Pia unashauriwa ukiona anataka kujizungusha mwilini mwako lala chini ili akose namna ya kujiviringisha, roll down then sepa kwa Kasi ya 4G
Nilianza na mchele kilo moja sasa hivi namiliki Hotel Posta. Pia nauza kitabu changu cha jinsi ya kufanikiwa...kkkkkkNipo hapa kuwasoma motivesheno spika
Naongezea pia kuna mwingine anaitwa Blank Panther,yeye ni mwenyeji wa Amerika ya Kaskazini. Ni mweusi na anafanana sana na Simba.Wewe umepata wapi hii kitu, Tiger wanapatikana India, Srilanka, Russia na sehemu fulani za asia tu na ni mkubwa sawa na simba au hata kumzidi simba (Siberian Tiger), ngozi yake inayomichirizi myeusi na madoa ya njano. Jaguar yeye anapatikana Amerika ya kusini hasa katika misitu ya Amazon yeye anafanana sana na Chui wa huku Afrika na madoa ya ngozi yake yanafanana sana na yale ya chui ila yeye ni mkubwa kidogo kuliko chui na mdogo kuliko Simba na hapendi kukwea mitini kama chui ila ni muogeleaji mzuri na chakula chake kikuu ni mamba (Caiman crocodile) na Wanyama wa mitoni kama Capebara nk, Waweza kusema Chui na Jaguar wanafanana mno kimaumbile kuliko Jaguar na Tiger, kwa taarifa na habari zaidi ya hao wanyama Google.
Jaquar nae ni balaa mzee anazama kwenye maji anatoka na Caiman mpaka ardhini, Simba kilichofanya awe king of the Jungle ni ule ujasiri katika battle field, lakini kiuharisia hata kwa Tiger simba anateseka sanaMkuuu hyo uwezo wa kuvuka mto mbele ya mamba naona ni hali ya ujasiri aliokuwa nao simba na mamba wanalitambua hilo.kuwa simba sio muoga na ili kumwa attack huwa shughuli pevu,ninachompendea simba ni ile hali ya ujasiri aliokuwa nao ambao baadhi ya wanyama wengne hawana
Wanamuogopa paka?Nyoka wote hawawezi kukamata mnyama jamii ya paka.
Hata nyumbani kwako ukifuga paka, nyoka inakuwa nadra sana kuonekana. Maana hata harufu ya choo ya paka wakiisikia, wanakimbia.
Mi ndo maana huwa nawapenda sana chui. Ni wanyama wenye akili sana ndo maana ndo wanyama wanaoishi raha msatarehe mwituni. Ni wepesi kupigana kwa akili na kujikamua kwa maadui ambao wanaazidi nguvu kama Simba na fisi.
BangeChatu anaweza kummeza hadi Tembo ila akimmeza anakaa hapo hapo had aozee ndo aondoke,,chatu mwili wake upo kama mpira unatanuka ,
Chatu anaweza kumeza hadi gari ndogo kama Passo Vitz nk
Haswaa, paka anawatafuna kama samaki.Wanamuogopa paka?
Huyo Black Panther anaatikana America ya kaskazini ni kama Simba wa huku Afrika.
Haiwezekani akafugwa Tz ?Huyo Black Panther anaatikana America ya kaskazini ni kama Simba wa huku Afrika.
Mi ndo maana huwa nawapenda sana chui. Ni wanyama wenye akili sana ndo maana ndo wanyama wanaoishi raha msatarehe mwituni. Ni wepesi kupigana kwa akili na kujikamua kwa maadui ambao wanaazidi nguvu kama Simba na fisi.
Huyo Black Panther anaatikana America ya kaskazini ni kama Simba wa huku Afrika.
Haiwezekani mbegu za kule zikaletwa huku wakazaana na wa huku?Na wakali sana sio rafiki kama wale wetu wanazoea hata magari na wale kula tairi ukisimama wanaona kitu cha kawaida tuu wanakutia pancha unasubiri mpaka watu wa hifadhi waje kutoa msaada..
Sijawahi ona lakin..kitheory Ni rahisi lakin kuvitendo sio rahisichatu hutumia kuua kwa kitu inaitwa(coiling)yaan ndani sekunde anakuwa ameshamzunguka mnyama yoyote na kumbana hadi ashindwe kupumua!!nadhani chatu na wanyama kama chui au simba wakikutana wataogopana sababu wote wana technic sawa
Bora walikufa wakaisha wote maana wangemaliza viumbe wote. Hivi ilikuwaje wakaisha kabisa?Dianosor wa ardhini mkubwa kiumbo ni yule mwenye shingo ndefu, So Trex na Spanous ambao ndio Apex Predate Size ya mwili wao ni mkubwa kuliko Tembo ila sio ukubwa wa kuweza kummeza Tembo atamla kwa vipande vipande mpaka aishe Kwanzaa hawana sifa ya kumeza wanamega na kutafuna...
Mhh huko vijiji vipo karibu na wananchi si hatari sana nilipokua naanza kupita chirundu hapo Zimbabwe jamaa walinisihi nisijaribu kutoka nje kuanzia kona ya Kariba mpaka chirundu yenyewe kuna Simba wakali sana na nikipita nilikua nasikia majanga tuu kuwa wapo wazungu wawili wameuawa na kuliwa maana wenzetu wanaambiwa harafu wakifika mbele wanapaki gari na kusogea porini kidogo aah hakuna anaerudi huko ingawaje matangazo yapo mengi hiyo bara bara na pia upande wa Hwange hapo pana Simba hatari sana upande wa Botswana tembo wao ndio wakubwa na wengine wakali ila Simba sio wakali wakati huo huo tembo wa Zimbabwe upande wa Kariba wanapishana tuu na Raia ...Haiwezekani mbegu za kule zikaletwa huku wakazaana na wa huku?
Hawa wanyama mchawi meno na makucha tu! Mungu asingewapa meno na makucha makali hata binadamu tungekuwa tunapigana nao fresh tu katika harakati za kuokoa uhai!Mkuu kumbuka kuna aina nyingi za jaguar
hadi black jaguar
View attachment 1732447View attachment 1732448
Cheetah! The fastest animal on earth!Hivi Duma mnamuitaje kwa Kiingereza ?