Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 14,598
- 18,418
Unazijua Allah na Qurani kwani hajaitwa Mtakatifu.Hili sikatai,, Yesu hakuwahi kufanya dhambi
Sasa ukisema Muhammad ana madhambi inabidi utuoneshe hayo madhambi
Unazijua Allah na Qurani kwani hajaitwa Mtakatifu.Hili sikatai,, Yesu hakuwahi kufanya dhambi
Sasa ukisema Muhammad ana madhambi inabidi utuoneshe hayo madhambi
Soma Surat MariamMtakatifu ni Allah peke yake,, nioneshe wapi Yesu ameitwa Mtakatifu kwenye Qur'an...
Kumbuka kwenye Qur'an Muhammad SAW ametajwa yeye ndiye kiumbe bora kuliko wote.
We leo isome kesho ndo utaniambia umeona au la.Naijua vzr hio sura,, sasa nataka unioneshe huo sehemu Yesu ameitwa Mtakatifu,, huenda kuna mmoja hakuelewa vzr.
Ww kwasababu inaonekana unaijui hio sehemu,, huna budi kunionesha
Nasubiri
Jibu la kifaza sana mkuu.Labda niandike kitu tu kwasababu nilikuwa nimepita hapa. Nina umri miaka 60 sasa na hilo nimeanza kulisikia zaidi ya miaka 40 iliyopita.
Mimi ni mkristo, nakushauri swali la 2 usingeliweka.
Maana wakujibu swali hilo ni Mungu tu.
Maana yeye ndio ungeaandika vyoote akwambie kipi ni halali na kipi sio halali
Nashangaa hilo swaki limeelekezwa kwa wasomaji ambao bila shaka kila mtu ana dini yake ndio waseme Biblia ni Halali au sio halali
Pili. Katika vitabu vyote vya dini karibu zote tu kuna maaandiko mengi na hadithi pia ambapo Mungu ameonyesha maamuzi yake hayazingatii "wengi wape".
Kwa hiyo watu woote wakisema ni halali hiyo haiifanyi Biblia kuwa halali na watu woote wakisema sio halali haiifanyi isiwe halali maana Mhusika Mkuu mpaka kitabu kikaitwa kitakatifu hayupo. Tunaongea sisi kwa sisi.
Uwe na Amani Bw.Mdogo
Amri zote.10 za Mwenyezi Mungu muham mad kazikanyaga [emoji83]Mtu muongo utamjua tu,, angalia sasa hapa unaaibika...
Nitajie dhambi moja tu,, usitaje zote...
Usilete uzushi,, ongea vitu vya ukweli...
Kwa nini mawazo yako yapo ki-ngonoka ngonoka tu!Mkuu hii kitu sio sahihi,, umekosea sana
Mungu hazai wala hakuzaliwa...
Kumbe huna hata historia kutoka yeshu mpk Muhammad Ni karne 6Stupidity is amazing
- Naona mnaongezeka kusaidiana, Yani Allah katengezeza Issa bandia anaefanana na Issa original kamuondoa original kamuweka bandia asulubiwe ili watu wwamini kwamba Issa kasalubiwa akakaaaaaaa miaka kama 2100 ndio allah akarudi akasema niliwadanganyaga yule alikuwa nimewafananishia original nilimleta kwangu, whats a stupid idea is this
Weka ushahidi wa maandikoSio sahihi,, Mungu alimwambia Musa ukiweza kuuangalia ule moto ndo utaweza kuniona mm... Lakini alishindwa kuutazama, hivyo alishindwa kuonana na Mungu
Haujajibu maswali Allah alivyo vaa moto nanai alikuwa Allah kwa kipindi Allah kavaa moto.Hivi kweli Mungu ashuke katika umbo la kibinadamu alafu hao binadamu waje kumkataa ? Akataliwe kwao? Huyo Mungu atakuwa na madhaifu makubwa sana...
Kama Mungu aliamua kushuka duniani,, nini lengo la kuleta Mitume sasa ?
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Kama Yesu ni Mungu, Je, hapa alikuwa anamuongelea Mungu gani ?
Hapo mwisho wa aya inasema " na yesu Kristo uliyemtuma",, Swali,, Hivi anayetumwa na Mungu naye utamwita Mungu ? Au utamwita Mtume ?
Ndugu, miaka hiyo kulikuwa hakuna taiga LA Tanzania hata USA na baadhi.... Na Mungu alijidhihirisha kwa mataifa mengine kupitia Israel....Mkuu ndio napojiuliza ina maana kila kitabu cha Biblia ni kisiwa?? Yaani Musa akikataza uzinzi basi anaongea na waisrael sio watanzania au wakristo?? Tukienda kwa staili hii ina maana hata amri 10 za Mungu kwakuwa zilitolewa kwa Waisrael basi watanzania hazituhusu si ndio maana yake mkuu ??
Mkuu ndio napojiuliza ina maana kila kitabu cha Biblia ni kisiwa?? Yaani Musa akikataza uzinzi basi anaongea na waisrael sio watanzania au wakristo?? Tukienda kwa staili hii ina maana hata amri 10 za Mungu kwakuwa zilitolewa kwa Waisrael basi watanzania hazituhusu si ndio maana yake mkuu ??
Wewe na Allah wote hamna uelewa , Allah mwenyewe anasema hawezi kuwa na mtoto maana hana mke , alivyo banwa Sana akasema akasema anaweza kuchukua mke Malaika au horis akazaa nae.Sijifungui lakini lazima itakuwa nilimpa mwanamke mimba... Sasa hii kitu haipo Mungu,,
Je, Mungu naye anatia mtu mimba ?
Kwa hiyo unambishia Allah alie mpa Muhammad leseni ya kufanya dhambiRasmi sasa hv naweza kukuita Mzushi... Kwasababu umemzushia Muhammad kitu cha uongo ikiwa huna ushahidi..
Mbona sisi Waislamu hatujawahi kumzushia uongo Yesu,, na tunaamini mambo yote alofanya kasoro moja tu ( Uungu).
Huwa nawacheka Sana yani andiko nimekuwekea alafu unajifanya hulioniWapi hapo imesema Allah alikuwa moto ?
Pia unambishia Allah ambae aliona Muhammad hana hekima , na sio mkweli mpaka Allah akatuma Malaika kwenye kumpasua Muhammad kuanzia shingoni mpaka kwenye gonads wakatoa mautumbo wakayaosha na maji ya zamzam na kumuweke makarai ya hekima na ukweliNdio nikakwambia nitajie dhambi hata moja,, hujataja..
Mtume Muhammad ni mfano wa kuigwa kwa Waislamu ndo mana Aliamrishwa atubu ( japokuwa hakuwahi kutenda dhambi) ilimradi tupate kujifunza jinsi ya kutubu kutoka kwake mtume,, lakini hii haimaanishi kuwa alifanya dhambi !!
Soma vizuri , kutoka ISSA mpaka Muhammad ni miaka 2100 , Allah alichanganya kidogo kumuweke ISSA na Musa na Haruni na baba yao imran akichanganya Mariam na Miriam dada wa mussa na harruniKumbe huna hata historia kutoka yeshu mpk Muhammad Ni karne 6
hivi huko kwenu uswazi mzee wa busara anajigeuza nyau unaamini!; hadi mnawazuia wanenu wasiwe wanawapiga nyau!Hivi kweli Mungu ashuke katika umbo la kibinadamu alafu hao binadamu waje kumkataa ? Akataliwe kwao? Huyo Mungu atakuwa na madhaifu makubwa sana...
Kama Mungu aliamua kushuka duniani,, nini lengo la kuleta Mitume sasa ?
Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.
Kama Yesu ni Mungu, Je, hapa alikuwa anamuongelea Mungu gani ?
Hapo mwisho wa aya inasema " na yesu Kristo uliyemtuma",, Swali,, Hivi anayetumwa na Mungu naye utamwita Mungu ? Au utamwita Mtume ?
Tamka "HAWEZI" Ili ufe kafir uzaliwe nguruwe!!¡Anawezaje ?
HapaWapi hapo imesema Allah alikuwa moto ?
Kwa hiyo mwanadamu amemzidi sifa AllahHichi ndo kitu hamuelewi..
Mwenyezi Mungu ametakasika na hizi sifa za kibinadamu kama kuwa na mtoto...