Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Umesoma na hizi
[emoji116][emoji116]

لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ
أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ ( 82 )
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Manasara. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao makasisi na wamonaki, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَىٰ {51}

"Enyi Mlioamini msiwafanye marafiki mayahudi na manswara." (5:51)

Yaani adui #.1 wa waumini sio shetani ila wayahudi![emoji56]
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Ndio maana Eti Malaika Mtoa Roho za watu wanamwita Israeli.
Kulekule kwa wayahudi.
 
Hivi kweli Mungu ashuke katika umbo la kibinadamu alafu hao binadamu waje kumkataa ? Akataliwe kwao? Huyo Mungu atakuwa na madhaifu makubwa sana...

Kama Mungu aliamua kushuka duniani,, nini lengo la kuleta Mitume sasa ?


Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Kama Yesu ni Mungu, Je, hapa alikuwa anamuongelea Mungu gani ?
Hapo mwisho wa aya inasema " na yesu Kristo uliyemtuma",, Swali,, Hivi anayetumwa na Mungu naye utamwita Mungu ? Au utamwita Mtume ?
We nani kakuambia Yesu Ni Mungu
 
Hivi kweli Mungu ashuke katika umbo la kibinadamu alafu hao binadamu waje kumkataa ? Akataliwe kwao? Huyo Mungu atakuwa na madhaifu makubwa sana...

Kama Mungu aliamua kushuka duniani,, nini lengo la kuleta Mitume sasa ?


Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Kama Yesu ni Mungu, Je, hapa alikuwa anamuongelea Mungu gani ?
Hapo mwisho wa aya inasema " na yesu Kristo uliyemtuma",, Swali,, Hivi anayetumwa na Mungu naye utamwita Mungu ? Au utamwita Mtume ?
Mitume wote walitenda dhambi hawakuwa mfano bora.
Akiwepo Muhammadi

Usifananishe Mungu na Binadamu,
Mungu ni Omnipresence.

Sio kwamba akiwa ndani ya Yesu basi Mbinguni hayupo.
Labda nikuambie
Nguvu kubwa ya Mungu ilikuwa ndani ya Yesu.
Labda utaelewa kidogo hapo.

Soma hapa

Luka 4:18
Roho wa Bwana yu juu yangu, Kwa maana amenitia mafuta kuwahubiri maskini habari njema. Amenituma kuwatangazia wafungwa kufunguliwa kwao, Na vipofu kupata kuona tena, Kuwaacha huru waliosetwa,
 
" pia alikuja katika umbo la Yesu Kristo"

Hio inamaanisha nn ?
Hivi Mtoto mchanga ambaye ana Majini yanayomwezesha kukariri Qurani yote kwa kichwa.
Pale anapotamka hivi anatamka yule mtoto au yale Majini ?

Nijibu
 
Kwanini Mungu aamue kushuka katika Taifa ambalo limemkataa ?

Je huyo Mungu atakuwa omnipotent katika hali hiyo ?

Huoni kwamba unajiContradict
Naye NENO

Yohana 1:1 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu.
Yohana 1:2 Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu.
Yohana 1:3 Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika.
Yohana 1:4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu.
Yohana 1:5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.
Yohana 1:6 Palitokea mtu, ametumwa kutoka kwa Mungu, jina lake Yohana.
Yohana 1:7 Huyo alikuja kwa ushuhuda, ili aishuhudie ile nuru, wote wapate kuamini kwa yeye.
Yohana 1:8 Huyo hakuwa ile nuru, bali alikuja ili aishuhudie ile nuru.
Yohana 1:9 Kulikuwako Nuru halisi, amtiaye nuru kila mtu, akija katika ulimwengu.
Yohana 1:10 Alikuwako ulimwenguni, hata kwa yeye ulimwengu ulipata kuwako, wala ulimwengu haukumtambua.
Yohana 1:11 Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.
Yohana 1:12 Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;
Yohana 1:13 waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

Yohana 1:14
[emoji117]Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu; nasi tukauona utukufu wake, utukufu kama wa Mwana pekee atokaye kwa Baba; amejaa neema na kweli.
 
Bado hujajibu hili swali

Yohana 17:3
Na uzima wa milele ndio huu, Wakujue wewe, Mungu wa pekee wa kweli, na Yesu Kristo uliyemtuma.

Kama Yesu ni Mungu, Je, hapa alikuwa anamuongelea Mungu gani ?
Hapo mwisho wa aya inasema " na yesu Kristo uliyemtuma",, Swali,, Hivi anayetumwa na Mungu naye utamwita Mungu ? Au utamwita Mtume ?
Ha ha ha.

Mungu Ni Roho Dogo.
Roho wa Mungu alikuwa ndani ya Kijana Yesu Kristo.
Hivi wewe unapagawa na Majini
Jirani yako anayaona Majini hao
Unapo agua (piga ramli) hivi unagua wewe au Hayo Majini yako.
Mbona yakitulia huwezi kupiga ramli
 
Sijifungui lakini lazima itakuwa nilimpa mwanamke mimba... Sasa hii kitu haipo Mungu,,

Je, Mungu naye anatia mtu mimba ?
Kwahiyo Masharifu wakipagawa na Majini hushangai.
Yesu akitawaliwa na Roho Mtakatifu unashangaa.

Ni Ajabu na Kweli.
 
Kama Yesu alitumwa na Mungu,, ilikuwaje Mungu Roho amuingie ndani ?

Kwanini asingemwacha atimize jukumu lake alilotumwa ?
Angekosea, Angetenda Dhambi hangekuwa Dhabihu Bora.
Ndio maana Damu yake ina nguvu kubwa ya Kiroho.
Damu Takatifu
Asingekuwa Mfano Bora Wa Mungu.
 
Na kwanini Mungu akataliwe kwao ?

Je, Mungu atakuwa Omnipotent katika hali hii ?

Yaani Mungu ashuke duniani kupitia kwa Yesu, alafu akataliwe.... Does that make sense ?

It's a clear contradiction
Kwani Mungu anakubaliwa na viumbe wake wote ?
Mbona Shetani anamkatalia.
Yesu pia hakuaminina na Waisraeli wote, wengine wanamkataa hadi leo hii.
 
Bado nasubiri unitajie dhambi alofanya Mtume Muhammad SAW

You can fool all the people some of the time, and some people all the time, but you can't fool all the people all the time.
Muulize Allah
Aliyemwamrisha atubu dhambi zake na za Umma wake.
 
Kwahiyo Mungu huwa anafeli katika majukumu yake ?
Yaani amejitwisha kazi ambayo ameshindwa kuifanya.... Hivi inakuingia akilini mkuu ?

You can fool all the people some of the time, and some people all the time, but you can't fool all the people all the time.
Mungu ndiye Mwanzilishi wa Demokrasia.
Anatoa uhuru wa kuamua kwa viumbe wake. Ama ushike Amri zake au Uache. Hulazimishwi
Mungu sio Dikteta.
 
Rasmi sasa hv naweza kukuita Mzushi... Kwasababu umemzushia Muhammad kitu cha uongo ikiwa huna ushahidi..

Mbona sisi Waislamu hatujawahi kumzushia uongo Yesu,, na tunaamini mambo yote alofanya kasoro moja tu ( Uungu).
Ha ha ha, hata ile ya Kumfukuza kipofu alipotaka amsaidie huioni.
 
Subhannallah,, huu ni uzushi mwengine...
Wala hakumfukuza,, Ebu soma hapa chini

Surat A'basa
1. Alikunja uso na akageuka
2. Kwasababu alimjia kipofu.
3. Na nini kitakujulisha pengine yeye atatakasika ?

Nioneshe dhambi ipi alofanya ?
Nimekuwambia Allah ndiye anayejua Dhambi zake.
Ndio maana aliamrishwa atubu, pamoja na hiyo ya Kipofu.
 
Ndio nikakwambia nitajie dhambi hata moja,, hujataja..

Mtume Muhammad ni mfano wa kuigwa kwa Waislamu ndo mana Aliamrishwa atubu ( japokuwa hakuwahi kutenda dhambi) ilimradi tupate kujifunza jinsi ya kutubu kutoka kwake mtume,, lakini hii haimaanishi kuwa alifanya dhambi !!
Na ile ya kumtisha Mwanawe wa kifikia hadi kumpora Mke wake huioni.
 
Back
Top Bottom