Sasa Mungu akijidhihirisha katika umbile la kibinadamu, nani atakuwa Mungu katika kipindi hicho ?
Na nini haja ya kuwepo Mitume ikiwa Mungu ajidhihirishe katika umbo la kibinadamu ?
Uislamu na Ukristo ni vitu viwili tofauti kabisa.
Wasiojua wanashinda kubishana.
Uislamu ni Dini.
Ukristo ni Imani.
Mungu wa Waislamu hajawahi kuonekana kabisa.
Mungu wa Wakristo amewahi kuonekana katika maumbo ya Moto (alipomtokea Musa) { Qurani inakiri ktk bonde la TUA }
Na katika umbo la Binadamu ( soma Mwanzo 18 alipomtokea Ibrahimu)
Nk.
Pia ( alikuja katika umbo la Yesu Kristo )
Yesu ni Mtu kama sisi, hakuwahi kutenda dhambi, alifufua watu, alisamehe dhambi Nk { hizo ni kazi za Mungu aliyeishi ndani yake,}
Mungu alishuka na kuishi na sisi ili atufundishe kweli yake ktk umbo la binadamu Yesu.
aliondoka pale msalabani na Binadamu Yesu akalia, Mungu wangu Mbona unaniacha.
Elimu hii Waislamu hawana, ila wana elimu ya Majini ambao hawaonekani na sisi hatuwahoji.
Badala ya kuuliza taratibu wanabaki kubisha tu. Basi wasome Mwanzo 18 Waone Mungu wa Wakristo yupoje.
Ukristo ni Imani
Uislamu ni Dini
Ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mungu wa Wakristo anapenda kukutana na watu wake, ila akija katika umbo lake Binadamu atakufa kwakuwa ni zaidi ya ukali wa JUA.
Ndio maana anajibadilisha ili Binadamu aweze kuhimili.
Mama wa Musa alijigeuza mjakazi ili aishi na mtoto wake kwa Farao.
Mungu alipompa Nabii Musa Amri Kumi ktk mlima Sinai alikuja kwa Umbo la Moto.
Elimu hii Waislamu hawana.
Mungu wao hajawahi kukutana nao.
Allah hajulikani anaishi wapi.
Hajawahi kukutana na Muhammadi, wala kuwatokewa Waislamu na hawamjui.
Sisi Wakristo, tunakutana na Mungu wetu kila siku. Tukimwita anakuja katika umbo lolote analo taka.
Njooni basi tuwaoneshe Mungu wetu, yupo, hajifichi.
Kama hamtaki basi sawa tu.
Qurani inasema, kama kuna vitu hamvijui basi waulizeni waliopewa kitabu kabla yenu.
Badala ya kuuliza wanajifanya wajuaji basi sawa.
Basi sawa.
Kuna tofauti kati ya Dini na Imani.
Dini ni lazima uifuate. Ukiikana unabidi Uuawe, yaani Ufe.
Imani ni hiari, ukiikubali sawa tu ukiikana sawa tu.
Ila ukiikana hadi mwisho huta faidi matunda yake, utaishia Jehenam, Kuzimu.
Ukiikana Dini unauliwa leoleo kwakuwa ameondoka ktk utaratibu wa maisha flani wa lazima.
[emoji117]Dini ni Utamaduni au mila ambayo hutakiwi kuiacha.
Ndio mana Kuna andiko linasema
"Asiyetaka dini isiyo ya Kiislamu haitakubalika kwake, ndugu wa Mwislamu ni Mwislamu "
Uislamu ni lazima. La basi inabidi uchinjwe.
Ukristo ni hiari, yaani nenda kwa Mungu au kwa Shetani kwa hiari yako mwenyewe. (ndio maana Mashoga wanajiachia tu kwenye nchi zenye Wakristo wengi, wako huru kuikana Imani, kwenye Dini, kama ya Uislamu lazima Wachinjwe na wanajificha wanajua watauliwa, huwezi kuwaona.)
(Kama Jini anaweza kuishi ndani ya Mtu (binadamu) na akazungumza, akaroga, akatembea, Akasoma Qurani kwa kichwa kama a.k.a Masharifu
Mungu ndio ashindwe kuishi ndani ya Yesu ?
au ndani yako ?
Jini na Mungu nani ana UWEZA ?
Ndivyo ilivyokuwa kwa Mtu, Binadamu Yesu Kristo wa Nazarati, alikuwa Mtu, kama wewe.
Yohana 10:38
lakini nikizitenda, ijapokuwa hamniamini mimi, ziaminini zile kazi; mpate kujua na kufahamu ya kuwa Baba yu ndani yangu, nami ni ndani ya Baba.