Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 786
- 946
Mkuu yote yanafanana lakini muongozo,sheria,Amri,maagizo ya Mungu n.k yapo katika kila kitabu cha Nabii au Mtume.... Sasa kimoja kinapoachwa na kanisa fulani huoni kuna maagizo ya Mungu yataachwa?? Je huoni tayari wanakinzana na mistari hii miwili
Mkuu ukisoma kitabu cha matendo ya mitume wakati ambapo ndimi za moto ziliwashukia wale mitume ambao kiuhalisia ndio kanisa la kwanza (Kama ntakua nimekosea mtanirekebisha katika hili) walivyotoka pale kila mmoja aliongea kwa lugha tofauti. Kwa iyo wale waliopokea neno la Mungu kila mmoja alilitafsiri kwa jinsi alivojaliwa na roho wa Mungu.
Nadhan Roman ndio waliochangia kwa kiasi kikubwa mpaka Leo hii kuna biblia nyingi zenye tafsir tofauti
....