Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,276
- 6,436
Mpaka hapo hauoni kuwa dini haina mahusiano na kuzuia maendeleo?Wao (wazungu) hawadanganywi bali wanadanganya.
Walikuja Afrika wakatudanganywa kuwa wanaeneza dini kumbe wanapora mali zetu na kuondoka. Fuatilia makundi ya wazungu waliokuja afrika walikuja kwa misingi ipi? Kutawala tu.
Sent using Jamii Forums mobile app