Abdool wewe ndo umenyooka mpaka unajibu vitu haviendaniHapa utakula nyundo mpaka unyooke
Kule ibn Kathir kakuvuta gonads 😂 😂 😂 😂
Abdool wewe ndo umenyooka mpaka unajibu vitu haviendaniHapa utakula nyundo mpaka unyooke
Abdul Acha kuchanganya madesa kama Muhammad
Kama kuna agano la kale na agano jipya basi kuna agano la mwisho.
Si lingine ni Qur'an. Kitabu pekee duniani kilichohifadhiwa kwenye mioyo ya watu wengi zaidi duniani na kitabu pekee duniani ambacho aya zake husomwa kwa ghaibu (bila kufungua kitabu) kila siku mara tano na Waislam wasiopungua billion moja duniani.
Hakika Qur'an ni muujiza unaoishi.
Abdool Nilishakujibu Yahweh ana trinity , rudi kwa Allah jibu maswaliHebu soma biblia kisa cha ujenzi wa mnara wa babeli Mwanzo 11:5-7
5 Ndipo Mwenyezi-Mungu akashuka chini kuuona mji huo na mnara walioujenga binadamu. 6 Mwenyezi-Mungu akasema, “Tazama, watu hawa ni taifa moja na wote wana lugha moja; huu ni mwanzo tu wa yale watakayoyafanya. Lolote wanalokusudia kulifanya watafanikiwa. 7 Haya, na tushuke chini na kuivuruga lugha yao ili wasielewane wao kwa wao.”
Unaoina plural of Majesty kwenye hiyo verse au unadhani hapo Mungu alitaka kushuka chini na nani?
Na sehemu nyingine kwenye biblila anapotumia pronoun "MIMI", Hiyo Trinity inakuwa imeyeyuka au inakuwa imeenda wapi?Abdool Nilishakujibu Yahweh ana trinity , rudi kwa Allah jibu maswali
Ulimpa wewe hiyo Trinity?Abdool Nilishakujibu Yahweh ana trinity , rudi kwa Allah jibu maswali
Abdool wewe ndo umenyooka mpaka unajibu vitu haviendani
Kule ibn Kathir kakuvuta gonads 😂 😂 😂 😂
Hamtoamini mpaka muwe wachamungu
- Elimu ya cloning ilianzishwa na Allah, Yani allah Ali m clone Issa watu wakamuona Issa Kasulubiwa , alafu allah akasubiria mpaka kipindi cha Muhammad kuwaambia watu kwamba aliwadanganya na Issa bandia, who is the donkey here
Uislamu muongozo wake Ni quran na sunna[emoji23][emoji23][emoji23] Tutajie Dhehebu hata moja la Kikristo wanao hitlafiana kihusu Kifo na Kufufuka kwa Yesu!
Wanao Hitlafiana ni Waislamu!
Sunni and the like wanasema Yesu Hakufa!
Qadian wanasema Yesu Kafa!
Itakuchukua karne kuielewa quranKoran ni mashahiri , Yasiyo na muendelezo na kuna verse zingine zinakuacha hewani huelewi muandishi alikuwa anazungumza nini
Allah kuna verse zingine anajisahau kwamba Yeye ndo anatakiwa kuwa mungu
Koran 2:29. Yeye ndiye aliye kuumbieni vyote vilivyomo katika ardhi.... Huyu ni Allah anaongea moja kwa moja Alafu Anasema tena Yeye (who is Yeye)
Ukristo Ni Nini?? Sehemu gani katika biblia yesu kasema muwe wakristoAsie Amini ktk U.3 Sio Mkristo!
Imesimuliwa Na Nani ? Padri wako??Gavana Ni kweli mnatumia maji kama kiongozi wenu huyu
Imesimuliwa Abu Huraira: Nilimfuata Mtume wakati alikuwa anaenda kujisaidia. Alikuwa haangalii kushoto wala kulia. Kwa hivyo, nilipokaribia karibu naye aliniambia, "Nitafutie mawe ili nisafishie sehemu zangu za siri(au alisema kitu kinachofanana), na usilete mfupa au kipande cha dung." Basi nikaleta mawe katika kona ya vazi langu na kuziweka kando yake kisha nikamwacha. Alipomaliza (kutoka kusaidia) aliitumia mawe kujisafisha. (Sahih Bukhari 1: 4: 157)
Abdool Acha mara moja kupindisha mada ulio anzisha mwenyewe, Jadili ni kwa jinsi gani Muhammad aliweza kutumia mawe kuchambaImesimuliwa Na Nani ? Padri wako??
Tunaelewa nyinyi wengine bila kuwapatia harufu maaskofu wenu mnajiona hamjaokoka
KJV ni the most nearest to the original Bible.
Mbona ww mndenge hufuati huu muongozo wa quran??
Hizo ni propaganda pages za waupingao uislamu na waislamu huku wakiwa na chuki kubwaMbona ww mndenge hufuati huu muongozo wa quran??
[emoji116][emoji116]
وَكَذَٰلِكَ أَوْحَيْنَا إِلَيْكَ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لِّتُنذِرَ أُمَّ الْقُرَىٰ وَمَنْ حَوْلَهَا وَتُنذِرَ يَوْمَ الْجَمْعِ لَا رَيْبَ فِيهِ ۚ فَرِيقٌ فِي الْجَنَّةِ وَفَرِيقٌ فِي السَّعِيرِ
7.
Na namna hivi tumekufunulia Qur'ani kwa Kiarabu ili uwaonye watu wa Mama wa Mji wa Makka na walio pembezoni mwake. Na uhadharishe na Siku ya Mkutano, haina shaka hiyo. Kundi moja litakuwa Peponi, na kundi jengine Motoni.
وَأَنذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ ( 214 )
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
ARABS are the true Muslims and the true descendants of Prophet Muhammad (pbuh)..
"Non—Arabs who without shame, called themselves Muslims are just plain Converts whom are lowly cowards with unhonourable souls That were overwhelmed with ease by the Swords of Allah, thus they deserved to be called as our Dogs."
View attachment 1804816