Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

ww allah amekuagiza uamini Biblia na usipo Iamini Umepotelea mbali
[emoji116][emoji116]

)يآ أيها الذين آمنوا آمنوا بالله و رسوله والكتاب الَذي نزل على رسوله والكتاب الذي أنزل من قبل. ومن يكفر با لله و ملا ئكته و كتبه و رسله واليوم الآخر فقد ضل ضلالا بعيدا(.
“Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake na Kitabu kilicho teremshwa kwa mtume wake na Kitabu kilicho teremshwa kabla yake. Na mwenye kumkufuru Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake, na siku ya mwisho, hakika amepotea upotovu ulio mbali (na haki).“Qur’an tukufu

Halafu akakupiga ban kuuliza uliza maswali huoni ww ni kafir innsui[emoji83]
[emoji116][emoji116]
101. Enyi mlio amini! Msiulize mambo ambayo mkidhihirishiwa yatakuchukizeni. Na mkiyauliza inapo teremshwa Qur'ani mtabainishiwa. Mwenyezi Mungu amesamehe hayo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira Mpole. 101 all nahly

Umesha Potelea mbali [emoji817][emoji24][emoji24]
Yaani biblia hii ambayo kuna maandishi ya watu binafsi kama Paulo?
Yaani unazungumzia biblia hiihii ambayo unakuta zipo zaidi ya moja tofauti?, Unakuta moja ina vitabu zaidi ya 70, nyingine ina vitabu 66, nyingine ina vitabu zaidi ya 80?, Nyingine aya fulani na fulani wamezifuta?

Tunapoambiwa tuamini vitabu vilivyopita maana yake ni kuamini kuwa kuna revelation aliyoishusha Mungu in the past, sehemu ya revelation hiyo bado ipo hiyo tunaikubali, ila kuna sehemu nyingine ni fabrication tu, yaani "kalamu ya waandishi imeingiza ya watu binafsi". Bahati nzuri matoleo mapya ya biblia wanasema wazi siku hizi pindi wakifuta verses au pindi nyingine wakiziweka kwenye square brackets [ ], kuwa aya hii ina utatanishi ukicompare na earliest manuscripts
 
Hebu nijibu hapa
[emoji116][emoji116]
allah alidai kuwa amefunua Taurati na Injili.
allah yule yule alidai kuhifadhi vitabu vyake kutokana na ufisadi.
Walakini, allah huyo huyo anadai Torati na Injili ni fisadi.[emoji15]
Je! allah hana uwezo wa kuhifadhi vitabu vyake? Au allah alisema uwongo juu ya umiliki? Au allah alisema uwongo kuwa vitabu vimeharibika?[emoji15][emoji2956][emoji2956]
Lete andiko kuhusu haya uliyoyasema
 
Kwanini kuwe na sources nyingi za Biblia mkuu... Huoni kwamba hio ndo imetengenezwa nafasi Biblia kuchakachuliwa...

Kwanini kusiwe na source moja tu ? Alafu hizi zengine ziwe tafsiri tu ?
Ni mjinga gani kakwambia kuna source nyingi ,
 
Ni mjinga gani kakwambia kuna source nyingi ,
Hili nalo mpaka niambiwe na mtu ?

Unakuta moja ina vitabu zaidi ya 70, nyingine ina vitabu 66, nyingine ina vitabu zaidi ya 80?, Nyingine aya fulani na fulani wamezifuta

Huoni kwamba hii Biblia imechakachuliwa !!
 
Swadakta !!

Na huu ndio uthibitisho kuwa Ukristo ni dini ya uongo !!
Ukristo sio Dini.
Ni kuwa muumini wa Masihi, Yesu Kristo wa Nazareti.
Matendo ya Mitume 11: 26

Wengi hamjui jambo hili.

Dini ni Uislamu, Uhindu, Ubudha, nk.
 
Una matatizo ya akili !!

Hayo maswali ndo kiboko yako aisee,, yajibu kwanza ndio nione kweli ww kidume unaijua vema dini yako..ndo maana ulitukimbia kwenye ule uzi mwengine wiki iliyopita

Mpaka leo hujathibitisha kuwa Paulo ni mtume wa kweli
Mpaka leo hujathibitisha Uungu wa Yesu
Mpaka leo hujui Yesu kazaliwa mwaka, mwezi na tarehe gani

Jitafakari sana ikiwa umeshindwa kuyajibu hayo....
Ni uthibitisho kuwa unaamini dini ya uongo
hypocrisy ndio tatizo lako , yani unauliza Paul kapatae utume , alafu hapo hapo wewe una mtume wako haujui kapataje utume embu acha hypocrisy
turudi kwenye maswali yangu ambayo mwenzako kayashindwa
Msaidia ndugu yako kujibu haya maswali, maana anapinga allah mchana kweupe , anamadai mazito mengi ikiwepo kudai mama yake ismail alikuwa mtume

OMA VIZURI , NAONA UNAWEWESEKA , TAJA HAO MITUME koran imesema imeelezea kila kitu kwa undani wa hali ya juu

  • Kumbuka koran imesema hivi pia
    • 41:3 A Book whose verses have been detailed,
    • 16:89 .......We have revealed to you the Book as an explanation of all things........
    • 6:114 .......He who has revealed to you the Book explained in detail?"........
  • Kwa nini unashindwa kutumia Koran na yenyewe imesema imeelezea vitu vyote kwa details za kutosha
MASWALI HAYA HAPA

  • Allah kasema kila community lazima ipate mtume ndio aweze kuwahukumu jamii husika na ndipo maswali yangu yalipokuja
  • Huko nyuma ulidai pia Ismail mama yake alikuwa mtume alie toka Africa , hili hajathibitisha bado
  • Sulayman Koran inamtaja alikuwa pia mtume kwa Israil
  • Musa alikuwa mtume kwa Jews according to quran, na unaposema asili (kwamba musa alitokea afrika) unapingana na allah alipo sema Musa alikuwa kwa wana wa Israili tu
    • Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja (Hujaweka ushaidi mpaka sasa)
  • Kama hao uliowataja hapo walikuwa pia mitume weka majina na verses kutoka koran
 
Hili nalo mpaka niambiwe na mtu ?

Unakuta moja ina vitabu zaidi ya 70, nyingine ina vitabu 66, nyingine ina vitabu zaidi ya 80?, Nyingine aya fulani na fulani wamezifuta

Huoni kwamba hii Biblia imechakachuliwa !!
Hili lilishajibiwa vizuri rudi kasome, turudi kwenye hoja zangu kwa nini allah anadanganya kwamba kila community na kila taifa lazima lipate mtume wakati hana ushahidi
 
Hivi unaelewa maana ya hypocrisy ? Au unalitaja tu !!
Hypocrisy ipo kwako ww mkuu na wenzako ambao mnazusha vitu vya uongo kuhusu Uislamu ilimradi mjitengenezee releif !!

Mtume wangu yupi huyo ambaye sijui kapataje utume ?

Okay,, tufanye kwamba yupo mtume ambaye sijui kapataje huo utume,, je, hilo litaondoa the fact kwamba Paulo ni mtume wa Uongo ?

Mkuu dawa ya swali ni kulijibu,, sio kulikimbia !!

Nani kasema anashindwa kutumia Qur'an ?? Au ww ndo huwezi ?

Unajua tofauti kati ya messenger na Prophet ?

Ikiwa kuna community ambayo haikupatiwa messenger, Je, Imekuwaje Uislamu usambae duniani kote ?
Usirudie tena , beba maswali yangu nenda nayo kwa kiongozi wako wa dini ulete majibu
 
Hivi unaelewa maana ya hypocrisy ? Au unalitaja tu !!
Hypocrisy ipo kwako ww mkuu na wenzako ambao mnazusha vitu vya uongo kuhusu Uislamu ilimradi mjitengenezee releif !!

Mtume wangu yupi huyo ambaye sijui kapataje utume ?

Okay,, tufanye kwamba yupo mtume ambaye sijui kapataje huo utume,, je, hilo litaondoa the fact kwamba Paulo ni mtume wa Uongo ?

Mkuu dawa ya swali ni kulijibu,, sio kulikimbia !!

Nani kasema anashindwa kutumia Qur'an ?? Au ww ndo huwezi ?

Unajua tofauti kati ya messenger na Prophet ?

Ikiwa kuna community ambayo haikupatiwa messenger, Je, Imekuwaje Uislamu usambae duniani kote ?
Unashindwa kutumia Koran kwa sababu huweki verse kutetea hoja yako , unatunga tu majibu yako
kama Koran imeshindwa kujieleza na yenyewe inadai ina maelezo ya kila kitu huoni kuna shida kubwa
 
Hivi unaelewa maana ya hypocrisy ? Au unalitaja tu !!
Hypocrisy ipo kwako ww mkuu na wenzako ambao mnazusha vitu vya uongo kuhusu Uislamu ilimradi mjitengenezee releif !!

Mtume wangu yupi huyo ambaye sijui kapataje utume ?

Okay,, tufanye kwamba yupo mtume ambaye sijui kapataje huo utume,, je, hilo litaondoa the fact kwamba Paulo ni mtume wa Uongo ?

Mkuu dawa ya swali ni kulijibu,, sio kulikimbia !!

Nani kasema anashindwa kutumia Qur'an ?? Au ww ndo huwezi ?

Unajua tofauti kati ya messenger na Prophet ?

Ikiwa kuna community ambayo haikupatiwa messenger, Je, Imekuwaje Uislamu usambae duniani kote ?
Ulitakiwa kuweka wewe tofauti kati ya Messenger na Prophet sio unauliza swali tena
 
Hakuna sehemu Allah ameitaja Biblia.... Ukinionesha hio sehemu nakuwa mkristo sasa hv !!

HAPA PENYE
[emoji116][emoji116]
)يآ أيها الذين آمنوا آمنوا بالله و رسوله والكتاب الَذي نزل على رسوله والكتاب الذي أنزل من قبل. ومن يكفر با لله و ملا ئكته و كتبه و رسله واليوم الآخر فقد ضل ضلالا بعيدا(.
“Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake na Kitabu kilicho teremshwa kwa mtume wake na Kitabu kilicho teremshwa kabla yake. Na mwenye kumkufuru Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake, na siku ya mwisho, hakika amepotea upotovu ulio mbali (na haki).“Qur’an tukufu
[emoji116][emoji116]
[NIKUULIZE KITABU GANI KILICHO TEREMSHWA KABLA YA MUHAMMAD]
[emoji115][emoji115]
Swadakta,, katika hivo vitabu hakuna Biblia....

Angalia sasa unaleta uongo na uzushi.... Ayah ya 101 surat an-Nahl haisemi hivoo....Msahafu ninao hapa,, unadhani unaweza kutudanganya kirahisi hivo !!
Hivi kumbe ndo mnavofundishwa kuleta uzushi !!
[emoji116][emoji116]
APA SEMA WALAHI BILAHI TALAHI ALLAH HAJAAGIZA HIVYO!
UNAANGALIA # SIO UJUMBE [emoji13]

Aliyepotea mbali ni yule anayemuani Paulo muongo aliyeleta Ukristo

[emoji115][emoji115][emoji116][emoji116]
HII KAMBISHIE ALLAJ [emoji106]
 
Una matatizo ya akili !!

Hayo maswali ndo kiboko yako aisee,, yajibu kwanza ndio nione kweli ww kidume unaijua vema dini yako..ndo maana ulitukimbia kwenye ule uzi mwengine wiki iliyopita

Mpaka leo hujathibitisha kuwa Paulo ni mtume wa kweli
Mpaka leo hujathibitisha Uungu wa Yesu
Mpaka leo hujui Yesu kazaliwa mwaka, mwezi na tarehe gani

Jitafakari sana ikiwa umeshindwa kuyajibu hayo....
Ni uthibitisho kuwa unaamini dini ya uongo
Mwenye matatizo ya akili muhammad
Ushahidi huu
[emoji116][emoji116]
IMG_20210607_130707.jpg
 
Prophet ni mtume... Huyu anapokea revelation kutoka kwa Mola..

Messenger ni karani tu... Mtu yeyote anaweza kuwa messenger kwa kusambaza Uislamu kwenye eneo lake..

Umeona sasa ulivyokuwa IGNORANT
Aisee hii comment ungeifuta mapema
Prophet ni Mtume 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Mimi huwa si dabate bila ushaidi kuwa makini sana pata dawa hapa
  • Koran 3:144 Muḥammad is no more than a messenger;...........
  • Koran 48:29 Muhammad is the messenger of Allah.........
  • Koran 33:40 ...............but (he is) the Messenger of Allah and the...........
You have to show respect kwa messenger wako Muhammad an sio kumuita karani, engekuwa mimi nimemwita sawa maana simuamini.
Umemdharau sana Muhammad tena mbele za watu unamuita Karani tu Na rasmi umesha ukana uislamu
Korana inasema mtii messenger kwanza alafu kwa kufanya hivyo umemtii Allah , messenger na Allah wapo sawa kwenye kuwatii unaanza kumtii messenger kwanza
  • 24:54] "Whoever obeys the Messenger has obeyed Allah ...

Call your SHEIKH sina mda tena wa ku debate na watoto,
 
Hii ni mpya kutoka kwako !!

Dunia nzima inatambua kuwa Ukristo ni dini !!
Kumbe hujui hata maana ya deen[emoji13]
deen ni utaratibu alio jitungia mwadamu ili kumtafuta, kumjua, Muumba Wake, kisha kumtumikia, na kumuabudu kwa Haqi!

UKRISTO NI MUNGU MWENYEWE ANAYE TUTAFUTA TUMJUE KISHA KUTUOKOA[emoji106][emoji106]
 
Bado inazidi kuthibitisha kuwa upo Ignorant..

All Prophets are messengers,, but not all messengers are prophets...

kiHesabu tunasema,, the word Prophet is a subset of the word messenger..
  • Abdool umeharibu sana kumtukana Muhammad na kumfananisha na Karani tu (Yani umemuita Just a mere secretary)
Prophet ni Mtume 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
  • Mimi huwa si dabate bila ushaidi kuwa makini sana pata dawa hapa
    • Koran 3:144 Muḥammad is no more than a messenger;...........
    • Koran 48:29 Muhammad is the messenger of Allah.........
    • Koran 33:40 ...............but (he is) the Messenger of Allah and the...........
  • You have to show respect kwa messenger wako Muhammad an sio kumuita karani, engekuwa mimi nimemwita sawa maana simuamini.
  • Umemdharau sana Muhammad tena mbele za watu unamuita Karani tu Na rasmi umesha ukana uislamu
  • Korana inasema mtii messenger kwanza alafu kwa kufanya hivyo umemtii Allah , messenger na Allah wapo sawa kwenye kuwatii unaanza kumtii messenger kwanza
    • 24:54] "Whoever obeys the Messenger has obeyed Allah ...
Call your SHEIKH sina mda tena wa ku debate na watoto,
 
  • Naona mnaongezeka kusaidiana, Yani Allah katengezeza Issa bandia anaefanana na Issa original kamuondoa original kamuweka bandia asulubiwe ili watu wwamini kwamba Issa kasalubiwa akakaaaaaaa miaka kama 2100 ndio allah akarudi akasema niliwadanganyaga yule alikuwa nimewafananishia original nilimleta kwangu, whats a stupid idea is this
Stupidity is amazing
Soma mada juu hapo, usibadili magoli...

<iframe width="560" height="315" src="YouTube" title="YouTube video player" frameborder="0" allow="accelerometer; autoplay; clipboard-write; encrypted-media; gyroscope; picture-in-picture" allowfullscreen></iframe>
 
  • Abdool umeharibu sana kumtukana Muhammad na kumfananisha na Karani tu (Yani umemuita Just a mere secretary)
Prophet ni Mtume 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
  • Mimi huwa si dabate bila ushaidi kuwa makini sana pata dawa hapa
    • Koran 3:144 Muḥammad is no more than a messenger;...........
    • Koran 48:29 Muhammad is the messenger of Allah.........
    • Koran 33:40 ...............but (he is) the Messenger of Allah and the...........
  • You have to show respect kwa messenger wako Muhammad an sio kumuita karani, engekuwa mimi nimemwita sawa maana simuamini.
  • Umemdharau sana Muhammad tena mbele za watu unamuita Karani tu Na rasmi umesha ukana uislamu
  • Korana inasema mtii messenger kwanza alafu kwa kufanya hivyo umemtii Allah , messenger na Allah wapo sawa kwenye kuwatii unaanza kumtii messenger kwanza
    • 24:54] "Whoever obeys the Messenger has obeyed Allah ...
Call your SHEIKH sina mda tena wa ku debate na watoto,
Hapo unataka kulisha watu matango pori. Jisomee maana zote za secretary...

 
Back
Top Bottom