mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,254
- 9,174
Kwa hiyo ile kauli ya Allah alipo agizaKwani wewe ulisoma kitabu chochote kile kabla ya Muhammad? [emoji16]
Hilo linawezekenaje wakati Muhammad kazaliwa karne ya 6 na wewe umezaliwa karne ya 20,na kafa kabla hujazaliwa Inawezekanaje uwe umesoma kitabu kabla yake?
Hiyo aya haikuhusu wewe, inawahusu waliosoma kitabu kabla ya Muhammad!
[emoji116][emoji116]
Malik aliripoti: Mtume wa Mwenyezi Mungu, Rehema na Amani zimshukie, alisema, "Nimekuachia mambo mawili ambayo hayatakupotosha, maadamu utayashikilia: Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunnah ya Nabii wake. . ”
Chanzo: al-Muwaṭṭa '1661
Daraja: Sahih (halisi) kulingana na Ibn Abdul Barr
عن مالك أن رسول الله صلى الله عليه وسلم قال تركت فيكم أمرين لن تضلوا ما تمسكتم بهما كتاب الله وسنة نبيه
1661 موطأ مالك كتاب الجامع باب القدر خلق آدم ثم مسح ظهره بيمينه فاستخرج منه ذرية
24/331 المحدث ابن عبدالبر خلاصة حكم المحدث محفوظ معروف مشهور في التمهيد
halafu kungwi yako aliye kufunda somo la kumjua allah hana Sifa wala Malaka ya Kufundisha deen hii ya warabu wa makka![emoji13]