Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Je, Biblia ya ukweli/Halisi ni ipi?

Kwa hiyo unampinga Allah alivyosema hivi
  • Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.
Sasa kwani hakuna wana wa israel waafrika?

Hujui Yusufu ana watoto aliozaa na mwanamke wa afrika mmisri?

Hujui kuwa Musa ana watoto aliozaa na mke wake mkushi?

Hujui mfalme Seleman ana watoto wafrika, wako ethiopia hapo na baadhi wameenda kuishi Israel?

Au wewe ukisikia Afrika unadhani wabantu tu?

Nadhani next time inabidi uelewe kuwa Afrika is just a location, ila watu wa asili ya Afrika wanaweza kuishi popote pale duniani. Ndiyo maana kuna Waafrika Waethiopia huko Israel wanaitwa Falasha Jews, Au wewe huwajui?
 
Sasa kwani hakuna wana wa israel waafrika?

Hujui Yusufu ana watoto aliozaa na mwanamke wa afrika mmisri?

Hujui kuwa Musa ana watoto aliozaa na mke wake mkushi?

Hujui mfalme Seleman ana watoto wafrika, wako ethiopia hapo na baadhi wameenda kuishi Israel?

Au wewe ukisikia Afrika unadhani wabantu tu?

Nadhani next time inabidi uelewe kuwa Afrika is just a location, ila watu wa asili ya Afrika wanaweza kuishi popote pale duniani. Ndiyo maana kuna Waafrika Waethiopia huko Israel wanaitwa Falasha Jews, Au wewe huwajui?
Usiongee tu bila kuweka vifungu na ushahidi , weka aya za Koran zikisema hao uliowataja ni mitume kwa hizo nchi ulizo taja
maswali yapo pale pale
  • Kwa kuuliza kwako Ismail mama yake ametoka wapi ni wazi unataka kututhibitishia kwamba alikuwa mtume africa, wapi kwenye koran au hadith tunasoma hayo uliyothibitisha
  • Musa alikuwa mtume kwa Jews according to quran,
    • Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.
Nimesha pangua uongo (Takiya) wako wote turudi kwenye maswali yangu haya hapa
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja
La sivyo kiri
Nimeshakumaliza , na usirudie tena ,

Stupidity is amazing
 
Usiongee tu bila kuweka vifungu na ushahidi , weka aya za Koran zikisema hao uliowataja ni mitume kwa hizo nchi ulizo taja
maswali yapo pale pale
  • Kwa kuuliza kwako Ismail mama yake ametoka wapi ni wazi unataka kututhibitishia kwamba alikuwa mtume africa, wapi kwenye koran au hadith tunasoma hayo uliyothibitisha
  • Musa alikuwa mtume kwa Jews according to quran,
    • Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.
Nimesha pangua uongo (Takiya) wako wote turudi kwenye maswali yangu haya hapa
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja
La sivyo kiri
Nimeshakumaliza , na usirudie tena ,

Stupidity is amazing

Hakuna uwongo zaidi ya wewe kutaka kulazimisha vitu

1. Umeuliza kuna mtume yeyote kutoka Afrika?
Jibu ni ndiyo, Ni Musa katoka Afrika, Kazaliwa pale nchi ya Misri

2. Umeuliza kuna Mtume wa Jamii yoyote ya Waafrika jibu ni ndiyo
Mfalme Selemani ni nabii ambaye Waafrika wa Falasha pale Ethiopia wamekuwa wakifuata miongozo yake maana ni baba yao

Hujanimaliza , na wala huwezi kunimaliza kwa sababu logic yako na maswali yako yana collapse!

Inachoelekea, huelewi Afrika ni nini na Mwafrika ni nani!

Kwangu mimi Mwafrika ni mtu yeyote mwenye asili ya Afrika hata kama akiishi nje ya Bara La Afrika

Kuhusu Wana Wa Israel, WAPO WANA WA ISRAEL WAAFRIKA, KAMA HILI HULITAKI BASI NI KWA SABABU UNATAKA KULAZIMISHA MAMBO TU LAKINI UKWELI NI HUO, MFANO WA WANA WA ISRAEL WAAFRIKA NI HAO WAETHIOPIA WAJUKUU WA MFALME SELEMANI
 
Hakuna uwongo zaidi ya wewe kutaka kulazimisha vitu

1. Umeuliza kuna mtume yeyote kutoka Afrika?
Jibu ni ndiyo, Ni Musa katoka Afrika, Kazaliwa pale nchi ya Misri

2. Umeuliza kuna Mtume wa Jamii yoyote ya Waafrika jibu ni ndiyo
Mfalme Selemani ni nabii ambaye Waafrika wa Falasha pale Ethiopia wamekuwa wakifuata miongozo yake maana ni baba yao

Hujanimaliza , na wala huwezi kunimaliza kwa sababu logic yako na maswali yako yana collapse!

Inachoelekea, huelewi Afrika ni nini na Mwafrika ni nani!

Kwangu mimi Mwafrika ni mtu yeyote mwenye asili ya Afrika hata kama akiishi nje ya Bara La Afrika

Kuhusu Wana Wa Israel, WAPO WANA WA ISRAEL WAAFRIKA, KAMA HILI HULITAKI BASI NI KWA SABABU UNATAKA KULAZIMISHA MAMBO TU LAKINI UKWELI NI HUO, MFANO WA WANA WA ISRAEL WAAFRIKA NI HAO WAETHIOPIA WAJUKUU WA MFALME SELEMANI
  • Usikwepe swali , ni nimekwambia unapo jibu weka supportive ya kitabu chako (weka verse)
  • Allah kasema kila community lazima ipate mtume ndio aweze kuwahukumu jamii husika na ndipo maswali yangu yalipokuja
  • Huko nyuma ulidai pia Ismail mama yake alikuwa mtume alie toka Africa , hili hajathibitisha bado
  • Sulayman Koran inamtaja alikuwa pia mtume kwa Israil
  • Musa alikuwa mtume kwa Jews according to quran, na unaposema asili (kwamba musa alitokea afrika) unapingana na allah alipo sema Musa alikuwa kwa wana wa Israili tu
    • Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja (Hujaweka ushaidi mpaka sasa)
  • Kama hao uliowataja hapo walikuwa pia mitume weka majina na verses kutoka koran
 
  • Usikwepe swali , ni nimekwambia unapo jibu weka supportive ya kitabu chako (weka verse)
  • Allah kasema kila community lazima ipate mtume ndio aweze kuwahukumu jamii husika na ndipo maswali yangu yalipokuja
  • Huko nyuma ulidai pia Ismail mama yake alikuwa mtume alie toka Africa , hili hajathibitisha bado
  • Sulayman Koran inamtaja alikuwa pia mtume kwa Israil
  • Musa alikuwa mtume kwa Jews according to quran, na unaposema asili (kwamba musa alitokea afrika) unapingana na allah alipo sema Musa alikuwa kwa wana wa Israili tu
    • Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja (Hujaweka ushaidi mpaka sasa)
  • Kama hao uliowataja hapo walikuwa pia mitume weka majina na verses kutoka koran
Nimegundua una matatizo yafuatayo:

1. Huelewi mwafrika ni nani? (Yaani hujui kuwa ndani ya Afrika kuna ethnicity nyingi tu including hao wana wa Israel)
2. Huelewi nin maana ya mwana wa Israil
3. Unaangalia Mataifa kwa kufuata mipaka hii ya Kikoloni

Kwa hiyo kwa mujibu wa akili yako unadhani mwana wa Israil hawezi kuwa mwafrika!

Yaani wewe huwaoni wale Waethiopia akina Haile Selassie ambao wandai uzao wao unaenda hadi kwa Sulemani kama Waafrika!, Ajabu sana hii
 
Nimegundua una matatizo yafuatayo:

1. Huelewi mwafrika ni nani? (Yaani hujui kuwa ndani ya Afrika kuna ethnicity nyingi tu including hao wana wa Israel)
2. Huelewi nin maana ya mwana wa Israil
3. Unaangalia Mataifa kwa kufuata mipaka hii ya Kikoloni

Kwa hiyo kwa mujibu wa akili yako unadhani mwana wa Israil hawezi kuwa mwafrika!

Yaani wewe huwaoni wale Waethiopia akina Haile Selassie ambao wandai uzao wao unaenda hadi kwa Sulemani kama Waafrika!, Ajabu sana hii
SOMA VIZURI , NAONA UNAWEWESEKA , TAJA HAO MITUME koran imesema imeelezea kila kitu kwa undani wa hali ya juu
  • Kumbuka koran imesema hivi pia
    • 41:3 A Book whose verses have been detailed,
    • 16:89 .......We have revealed to you the Book as an explanation of all things........
    • 6:114 .......He who has revealed to you the Book explained in detail?"........
  • Kwa nini unashindwa kutumia Koran na yenyewe imesema imeelezea vitu vyote kwa details za kutosha
MASWALI HAYA HAPA
  • Allah kasema kila community lazima ipate mtume ndio aweze kuwahukumu jamii husika na ndipo maswali yangu yalipokuja
  • Huko nyuma ulidai pia Ismail mama yake alikuwa mtume alie toka Africa , hili hajathibitisha bado
  • Sulayman Koran inamtaja alikuwa pia mtume kwa Israil
  • Musa alikuwa mtume kwa Jews according to quran, na unaposema asili (kwamba musa alitokea afrika) unapingana na allah alipo sema Musa alikuwa kwa wana wa Israili tu
    • Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja (Hujaweka ushaidi mpaka sasa)
  • Kama hao uliowataja hapo walikuwa pia mitume weka majina na verses kutoka koran

Stupidity is amazing
 
SOMA VIZURI , NAONA UNAWEWESEKA , TAJA HAO MITUME koran imesema imeelezea kila kitu kwa undani wa hali ya juu
  • Kumbuka koran imesema hivi pia
    • 41:3 A Book whose verses have been detailed,
    • 16:89 .......We have revealed to you the Book as an explanation of all things........
    • 6:114 .......He who has revealed to you the Book explained in detail?"........
  • Kwa nini unashindwa kutumia Koran na yenyewe imesema imeelezea vitu vyote kwa details za kutosha
MASWALI HAYA HAPA
  • Allah kasema kila community lazima ipate mtume ndio aweze kuwahukumu jamii husika na ndipo maswali yangu yalipokuja
  • Huko nyuma ulidai pia Ismail mama yake alikuwa mtume alie toka Africa , hili hajathibitisha bado
  • Sulayman Koran inamtaja alikuwa pia mtume kwa Israil
  • Musa alikuwa mtume kwa Jews according to quran, na unaposema asili (kwamba musa alitokea afrika) unapingana na allah alipo sema Musa alikuwa kwa wana wa Israili tu
    • Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja (Hujaweka ushaidi mpaka sasa)
  • Kama hao uliowataja hapo walikuwa pia mitume weka majina na verses kutoka koran

Stupidity is amazing
Swali lako ni mtume wa Community "YOYOTE YA AFRICA" Au vipi?

Community ya "Falasha" wa Ethiopia mtume wao ni Musa na Suleimani

Labda kama hutaki kuitambua Communiry ya Falasha kuwa ni Waafrika

Nadhani maswali yako yamejibika ila tu sasa unalazimisha jibu unalolitaka wewe

1. Mwanzo uliuiza Mtume kutoja Afrika nikakujibu kuwa ni Musa, Maana Kazaliwa Afrika

2. Ukauliza Mtume wa Comunity yoyote Afrika, nikakwambia ni Musa na Suleiman, Ni mtume ambaye Community ya Falasha wanawafuata maana hao ni Wana wa Israil lakini Waafrika!

Tatizo lako wewe unadhani Waafrika hawawezi kuwa wana Wa Israil na hivyo mitume wote wa wana wa israel wakawa ni watume wao pia!
 
Swali lako ni mtume wa Community "YOYOTE YA AFRICA" Au vipi?

Community ya "Falasha" wa Ethiopia mtume wao ni Musa na Suleimani

Labda kama hutaki kuitambua Communiry ya Falasha kuwa ni Waafrika

Nadhani maswali yako yamejibika ila tu sasa unalazimisha jibu unalolitaka wewe

1. Mwanzo uliuiza Mtume kutoja Afrika nikakujibu kuwa ni Musa, Maana Kazaliwa Afrika

2. Ukauliza Mtume wa Comunity yoyote Afrika, nikakwambia ni Musa na Suleiman, Ni mtume ambaye Community ya Falasha wanawafuata maana hao ni Wana wa Israil lakini Waafrika!

Tatizo lako wewe unadhani Waafrika hawawezi kuwa wana Wa Israil na hivyo mitume wote wa wana wa israel wakawa ni watume wao pia!
Allah angekuwa na uwezo angekupiga Kofi, unampinga Sana
Allah anaongea
Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.

Nipe mstari Musa alipewa kitabu kwa Wana wa Ethiopia
 
Allah angekuwa na uwezo angekupiga Kofi, unampinga Sana
Allah anaongea
Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.

Nipe mstari Musa alipewa kitabu kwa Wana wa Ethiopia
Kwani hujui kuwaEthiopia kuna wana wa Israel!?
 
Embu tuwekee ambayo haijatolewa na iliyotolewa tujionee

Kwa nini kwenye bible zenu sometimes unakuta verse fulani zinapatikana katika version fulani lakini verse hizohizo hazimo kwenye version nyingine?

  • Kwa mfano verse hii (John 5:3–4), kwenye King James Version ipo, lakini kwenye New International Version haipo.
  • Mfano wa pili ni verse hii (1 John 5:7–8), Hii imo kwenye King James version lakini haimo kwenye New International version.

Kwa nini biblia moja ileile kila linapokuja toleo jipya watu waondoe aya nzima halafu tuendelee kuona kuwa kitabu hicho chote ni cha kuaminika?

Laiti wangekuwa wanatafsiri tofauti kwa lugha tofauti lakini maana ileile ingeeleweka, lakini kwa nini ukute toleo fulani aya kadha wa kadha wameziondoa? (mfano ni huo nilioutoa hapo juu)
 
Kwa nini kwenye bible zenu sometimes unakuta verse fulani zinapatikana katika version fulani lakini verse hizohizo hazimo kwenye version nyingine?

  • Kwa mfano verse hii (John 5:3–4), kwenye King James Version ipo, lakini kwenye New International Version haipo.
  • Mfano wa pili ni verse hii (1 John 5:7–8), Hii imo kwenye King James version lakini haimo kwenye New International version.

Kwa nini biblia moja ileile kila linapokuja toleo jipya watu waondoe aya nzima halafu tuendelee kuona kuwa kitabu hicho chote ni cha kuaminika?

Laiti wangekuwa wanatafsiri tofauti kwa lugha tofauti lakini maana ileile ingeeleweka, lakini kwa nini ukute toleo fulani aya kadha wa kadha wameziondoa? (mfano ni huo nilioutoa hapo juu)
Kasome original source, na uongo uache
 
Ina maana mpaka leo umeshindwa kuthibitisha kuwa Paulo sio mtume wa Uongo ??

Mpaka leo hujaweza kuthibitisha Uungu wa Yesu ?

Mpaka leo hujui Yesu ( unayemuita Mungu ) kazaliwa mwaka, mwezi, na tarehe gani ?
La Paul nilisha wamaliza mmebaki kuweweseka tu
Uungu wa Yesu hujawahi niliuliza swala hilo
Tarehe ya Yesu nilisha kwambia mwaka, tarehe unazotumia ni kwa mujibu wa Yesu do your calculation

Msaidia ndugu yako kujibu haya maswali, maana anapinga allah mchana kweupe , anamadai mazito mengi ikiwepo kudai mama yake ismail alikuwa mtume

OMA VIZURI , NAONA UNAWEWESEKA , TAJA HAO MITUME koran imesema imeelezea kila kitu kwa undani wa hali ya juu
  • Kumbuka koran imesema hivi pia
    • 41:3 A Book whose verses have been detailed,
    • 16:89 .......We have revealed to you the Book as an explanation of all things........
    • 6:114 .......He who has revealed to you the Book explained in detail?"........
  • Kwa nini unashindwa kutumia Koran na yenyewe imesema imeelezea vitu vyote kwa details za kutosha
MASWALI HAYA HAPA
  • Allah kasema kila community lazima ipate mtume ndio aweze kuwahukumu jamii husika na ndipo maswali yangu yalipokuja
  • Huko nyuma ulidai pia Ismail mama yake alikuwa mtume alie toka Africa , hili hajathibitisha bado
  • Sulayman Koran inamtaja alikuwa pia mtume kwa Israil
  • Musa alikuwa mtume kwa Jews according to quran, na unaposema asili (kwamba musa alitokea afrika) unapingana na allah alipo sema Musa alikuwa kwa wana wa Israili tu
    • Koran [17.2] Na tukampa Musa Kitabu, na tukakifanya uwongofu kwa Wana wa Israili.
  • Koran inasema kila community lazima ipate mtume ndio mwisho ufike sasa unaposema ilikuwa zamani huoni unapingana na Allah?
    • Koran 10:47 And for every community there is a messenger. After their messenger has come,1 judgment is passed on them in all fairness, and they are not wronged.
    • Koran 16:36 And We certainly sent into every nation a messenger,...................
  • Leta Jina la mtume alie tumwa na Allah kwa community yoyote africa ata kwa kutumia Historia kama Koran ime fail kutaja (Hujaweka ushaidi mpaka sasa)
  • Kama hao uliowataja hapo walikuwa pia mitume weka majina na verses kutoka koran
 
Kasome original source, na uongo uache
Original source ziko ngapi, maana inawezekanaje Watafsiri wawili tofauti mmoja awe na aya kadhaa ndani ya kitabu chake, lakini mtafsifiri mwingine hizo aya asiwe nazo, Kisha eti tuje tuone kuwa vitabu hivyo vyote ni sahihi?

Ndiyo maana tunasema biblia ziko nyingi tofauti sasa sijui ni ipi kati ya hizo ni sahihi zaidi!
 
Kwa nini kwenye bible zenu sometimes unakuta verse fulani zinapatikana katika version fulani lakini verse hizohizo hazimo kwenye version nyingine?

  • Kwa mfano verse hii (John 5:3–4), kwenye King James Version ipo, lakini kwenye New International Version haipo.
  • Mfano wa pili ni verse hii (1 John 5:7–8), Hii imo kwenye King James version lakini haimo kwenye New International version.

Kwa nini biblia moja ileile kila linapokuja toleo jipya watu waondoe aya nzima halafu tuendelee kuona kuwa kitabu hicho chote ni cha kuaminika?

Laiti wangekuwa wanatafsiri tofauti kwa lugha tofauti lakini maana ileile ingeeleweka, lakini kwa nini ukute toleo fulani aya kadha wa kadha wameziondoa? (mfano ni huo nilioutoa hapo juu)
 
Umezielewa hizo ayah ?

Ukinijibu hilo swali,, jibu na hili

Yesu ni nani kwako ?
Mimi nimeuliza Anaye Apia hapo nani?!
Ningeelewa ningeuliza??

Mimi Kwangu YESU NI MUNGU KAMILI NA MWANADAMU KAMILI [emoji123][emoji106]
 
Original source ziko ngapi, maana inawezekanaje Watafsiri wawili tofauti mmoja awe na aya kadhaa ndani ya kitabu chake, lakini mtafsifiri mwingine hizo aya asiwe nazo, Kisha eti tuje tuone kuwa vitabu hivyo vyote ni sahihi?

Ndiyo maana tunasema biblia ziko nyingi tofauti sasa sijui ni ipi kati ya hizo ni sahihi zaidi!
Kwa hiyo unazani wametafsiri kutoka wapi, acha ujinga mara moja
 
Kwa nini kwenye bible zenu sometimes unakuta verse fulani zinapatikana katika version fulani lakini verse hizohizo hazimo kwenye version nyingine?

  • Kwa mfano verse hii (John 5:3–4), kwenye King James Version ipo, lakini kwenye New International Version haipo.
  • Mfano wa pili ni verse hii (1 John 5:7–8), Hii imo kwenye King James version lakini haimo kwenye New International version.

Kwa nini biblia moja ileile kila linapokuja toleo jipya watu waondoe aya nzima halafu tuendelee kuona kuwa kitabu hicho chote ni cha kuaminika?

Laiti wangekuwa wanatafsiri tofauti kwa lugha tofauti lakini maana ileile ingeeleweka, lakini kwa nini ukute toleo fulani aya kadha wa kadha wameziondoa? (mfano ni huo nilioutoa hapo juu)
Hebu nijibu hapa
[emoji116][emoji116]
allah alidai kuwa amefunua Taurati na Injili.
allah yule yule alidai kuhifadhi vitabu vyake kutokana na ufisadi.
Walakini, allah huyo huyo anadai Torati na Injili ni fisadi.[emoji15]
Je! allah hana uwezo wa kuhifadhi vitabu vyake? Au allah alisema uwongo juu ya umiliki? Au allah alisema uwongo kuwa vitabu vimeharibika?[emoji15][emoji2956][emoji2956]
 
Ina maana mpaka leo umeshindwa kuthibitisha kuwa Paulo sio mtume wa Uongo ??

Mpaka leo hujaweza kuthibitisha Uungu wa Yesu ?

Mpaka leo hujui Yesu ( unayemuita Mungu ) kazaliwa mwaka, mwezi, na tarehe gani ?
ww allah amekuagiza uamini Biblia na usipo Iamini Umepotelea mbali
[emoji116][emoji116]

)يآ أيها الذين آمنوا آمنوا بالله و رسوله والكتاب الَذي نزل على رسوله والكتاب الذي أنزل من قبل. ومن يكفر با لله و ملا ئكته و كتبه و رسله واليوم الآخر فقد ضل ضلالا بعيدا(.
“Enyi mlio amini! Muaminini Mwenyezi Mungu na Mtume wake na Kitabu kilicho teremshwa kwa mtume wake na Kitabu kilicho teremshwa kabla yake. Na mwenye kumkufuru Mwenyezi Mungu na Malaika wake na Vitabu vyake na Mitume wake, na siku ya mwisho, hakika amepotea upotovu ulio mbali (na haki).“Qur’an tukufu

Halafu akakupiga ban kuuliza uliza maswali huoni ww ni kafir innsui[emoji83]
[emoji116][emoji116]
101. Enyi mlio amini! Msiulize mambo ambayo mkidhihirishiwa yatakuchukizeni. Na mkiyauliza inapo teremshwa Qur'ani mtabainishiwa. Mwenyezi Mungu amesamehe hayo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira Mpole. 101 all nahly

Umesha Potelea mbali [emoji817][emoji24][emoji24]
 
Back
Top Bottom