Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,307
- 33,925
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.
Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?
Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?
Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?
Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?
Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?
Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?
Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?
Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?
Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?
Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?
Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?
Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?
Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?
Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?
Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?
Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?
Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?