Kama Biblia ni kitabu cha kutungwa, nani alikitunga na chanzo na kusudio lake ni nini?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,307
33,925
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.

Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?

Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?

Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?

Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?

Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?

Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?

Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?

Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?

Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
 
Kuna dhana kwamba Biblia imejaa hadithi za kutungwa. Wasemaji wa utungaji huo wa hadithi za Biblia ni wale wapinzani wa yaliyomo hasa dhana na nadharia kwamba kuna MUNGU.

Lakini utungaji wa Biblia ulianza lini?

Hadithi za Biblia zilitungwa na kina nani na jee majina yao yanajulikana?

Watunzi Wa hadithi za kwenye Biblia walikuwa wangapi?

Hao watunzi walikuwa kutoka taifa Moja ama walitoka mataifa tofauti tofauti?

Walikubaliana wapi na vipi kuwa watunge hadithi hizo za Biblia na lengo lao lilikuwa lipi?

Jee walitumia vigezo gani kuchagua wahusika wa hizo hadithi zao na majina ya wahusika hao?

Ilichukua miaka mingapi hadithi hizo za Biblia kutungwa?

Baada ya utunzi wa hadithi hizo nani aliyetoa majina ya vitabu vinavyobeba hadithi hizo za kutungwa?

Baada ya wao kumaliza kutunga hizo hadithi Kuna watu wakati Wa zama zao waliowahi kutunga kitabu kingine kukanusha hizo hadithi zilizotungwa na hao watunzi wa hadithi za kwenye Biblia?
Biblia ni maandiko ya utamaduni na maisha ya watu hasahasa jamii ya waisraeli wa kale na nchi nyingi za mashariki ya kati.

Ndio maana kwenye Biblia hakuna Maisha ya waafrika watanzania, waafrika wakenya, waafrika waganda, waafrika wanyarwanda n.k

Maeneo mengi yaliyo tajwa kwenye Biblia ni maeneo ya Bara la Asia huko mashariki ya kati, Na baadhi ya maeneo machache ya Afrika yanayo pakana na nchi hizi, Na sehemu mbalimbali walizo tembelea wahusika wa kwenye Biblia,

kama palestina, Uturuki,Roma, na nchi nyinginezo

Waafrika pia walikuwa na vitabu vyao vya dini zao za kale na utamaduni wao

Lakini kupitia ujio wa wakoloni, Tamaduni nyingi na maandiko ya waafrika yalipotezwa.

Na waafrika waka anza kuaminishwa na kufundishwa dini(imani) na utamaduni wa wakoloni
(wazungu na waarabu) kupitia vitabu vyao hivyo (Biblia & Quran).
 
Huwezi kutunga hcho kitabu , ni either ukiamini au au usiamini , your choice , na usipoamini basi better ukae kimya , hakuna kitu cha kutungwa kinaweza last longly namna hyo , na kuwa widespreaded kiasi hcho Karne na Karne hakuna kitu kama hcho , vtu vyote vinavyodumu Karne zote ni halisi...
 
Hakuna kitabu Cha mungu kinachoitwa biblia vitabu vinavo julikana ni 4 na vilishushwa Kwa kila zama
1.Zaburi
2.Torati
3.Injili
4.Quran
Endeleeni kufata wazungu na warabu mkija kujua ukweli wa dunia inavoeenda mmechelewa
 
Kwann wawekeze nguvu nyingi kukipinga na kukosoa kama ni feki kingejifia chenyewe tu
Screenshot_20230515-172320.png
 
Maadui wa ukristo ni wayahudi
Maadui wa uislam ni wayahudi
Hitler alipowaua wayahudi alikua anajua anapigana na nani
Hao jamaa wametesa karibia mitume wote wa mungu kama unazani wayahudi ni rafiki zako kawasome tena
Mm nmeuliza hao ni Waisrael wenyewe au ni wale Ashpenaz
 
Yesu hajuwi Biblia ni nini, hajawahi kuiona wala kuisikia.
Kuna Mahali nimesema Yesu Kristo anaijua Biblia? Mbona unapenda kujizezetesha bila ya sababu za Msingi?
Biblia yenyewe haijijuwi, hutokuta ndani ya kitabu kinachoitwa biblia neno biblia.
Kwa ivo unataka kusema Ili Biblia iwe Biblia ni Lazima ndani mwake kuandikwe neno Biblia?? Acha kujichetua wewe Mzee!!
 
Biblia ni maandiko ya utamaduni na maisha ya watu hasahasa jamii ya waisraeli wa kale na nchi nyingi za mashariki ya kati.

Ndio maana kwenye Biblia hakuna Maisha ya waafrika watanzania, waafrika wakenya, waafrika waganda, waafrika wanyarwanda n.k

Maeneo mengi yaliyo tajwa kwenye Biblia ni maeneo ya Bara la Asia huko mashariki ya kati, Na baadhi ya maeneo machache ya Afrika yanayo pakana na nchi hizi, Na sehemu mbalimbali walizo tembelea wahusika wa kwenye Biblia,

kama palestina, Uturuki,Roma, na nchi nyinginezo

Waafrika pia walikuwa na vitabu vyao vya dini zao za kale na utamaduni wao

Lakini kupitia ujio wa wakoloni, Tamaduni nyingi na maandiko ya waafrika yalipotezwa.

Na waafrika waka anza kuaminishwa na kufundishwa dini(imani) na utamaduni wa wakoloni
(wazungu na waarabu) kupitia vitabu vyao hivyo (Biblia & Quran).
Jibu basi Maswali niliyouliza!!
 
Back
Top Bottom