Mungu wa kwenye Biblia ameua watu wengi kuliko shetani. Shetani kaua watu 10 tu

Myebusi Mweusi

JF-Expert Member
Jan 23, 2022
668
1,505
Ukisoma Biblia utaona kuwa mungu wa biblia sio mungu wa amani anayetaka watu waishi bila shida. Ni mungu wa mauaji na mateso.

Kuna analysis ilifanywa na wataalamu wa statistics kuona kati ya mungu na shetani, nani ameua watu wengi kwenye biblia.

Kwenye biblia nzima, kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo, including vitabu ambavyo wakristo wengi hawasemi (apocrypha: Mfano: vitabu vya Enoch, na Injili ya Thomas) shetani ameua watu 10 tu!!! Watoto wa Ayubu... Basi.

Kwa kuangalia vitabu canonical tu (Vitabu 66 vinavyosomwa na madhehebu yote) Mungu ameua watu 2,476,633 ambao wametajwa kwamba wameuliwa na mungu au wameuliwa kwa amri ya mungu. Na hii haihesabu watu waliokufa kwenye gharika, au mauaji ambayo idadi haikutajwa.

Israel wanafanya exactly walichoambiwa wafanye kwenye biblia. Kuua watu wote wasio Waisraeli wanaojaribu kuishi eneo la Levant (Caanan).

So, kama unataka kujua mungu wa biblia ni mungu gani, angalia wanachofanya sasa hivi Israel. Huyo ndio mungu wa Biblia. Mungu wa kifo na sio uzima. Mungu wa vita na sio amani.

ASILI KWANZA!
 
"Kumbukumbu la Torati 30:19"
Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako;

Tafsiri!
Ndani ya Mungu wa Biblia hakuna kitu kinaitwa mauti (kuua/kifo). Ndani ya Mungu kuna uzima.
Mungu alitoa neno lake katika Biblia ambalo kwalo binadamu anachagua aende upande hupi na aache upande hupi. Kila uchaguzi binadamu anaouchagua unaendana na matokeo! Anayetekeleza matokeo ya neno la Mungu kutegemea na maamuzi ya binadamu ni (wa kwanza) ni shetani katika kuhakikisha adhabu inatolewa. Wa pili anayehakikisha neno linatekelezwa ni binadamu.

Kwahiyo mauaji yoyoye yaliyowahi kutokea na yanayotokea, na yatakayotokea ni kwa mujibu wa neno la Mungu na anayehakikisha haki inatendeka kwa anayetii neno na yule anayehasi neno ni shetani na binadamu. Ndani ya Mungu hakuna mauti, dhiki, magonjwa, hofu, wasiwasi, mashaka, njaa, n.k.
 
Sifa kuu za Mungu wa wakristo na waislam
1.mpenda sifa
2.muuaji namba moja
3.mwenye chuki
4.katili, anayependa watu wateseke na kuangaika ikiwa yeye mwenye uwezo yupo na anawaangalia tu
5.Anapenda umalaya, aliwapa vyeo vya juu watu wwnye wanawake zaidi ya 1000 aliwainua juu
6.Hawezi kujibu maombi yako na siku akijibu ni muujiza huo
7.anapenda kunyanyapaa vilema, viwete na kuwabagua wanawake refer, Walawi 21:7-20
8 mbaguzi kuliko viunbe wote
9.majivuno na kujikweza
10.ni kiumbe pekee kinachopenda kuwajaribu watoto wake na kuwaandalia moto wa kuwaangamiza

N.B Tenda wema karma itakulipa.
 
Ukisoma Biblia utaona kuwa mungu wa biblia sio mungu wa amani anayetaka watu waishi bila shida. Ni mungu wa mauaji na mateso.

Kuna analysis ilifanywa na wataalamu wa statistics kuona kati ya mungu na shetani, nani ameua watu wengi kwenye biblia.

Kwenye biblia nzima, kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo, including vitabu ambavyo wakristo wengi hawasemi (apocrypha: Mfano: vitabu vya Enoch, na Injili ya Thomas) shetani ameua watu 10 tu!!! Watoto wa Ayubu... Basi....

Kwa kuangalia vitabu canonical tu (Vitabu 66 vinavyosomwa na madhehebu yote) mungu ameua watu 2,476,633 ambao wametajwa kwamba wameuliwa na mungu au wameuliwa kwa amri ya mungu.... Na hii haihesabu watu waliokufa kwenye gharika, au mauaji ambayo idadi haikutajwa.

Israel wanafanya exactly walichoambiwa wafanye kwenye biblia. Kuua watu wote wasio Waisraeli wanaojaribu kuishi eneo la Levant (Caanan)...

So, kama unataka kujua mungu wa biblia ni mungu gani, angalia wanachofanya sasa hivi Israel... Huyo ndio mungu wa biblia... Mungu wa kifo na sio uzima. Mungu wa vita na sio amani...

ASILI KWANZA!!!!
Na lazima ataua hadi wewe hapo ulipo. Ombea Yesu arudi kabla ya siku zako hapa duniani kuisha, kama unataka asikuue. Vinginevyo hata wewe hapo ulipo lazima atakula kichwa na hilo ndiyo jambo jema sana kwake
Mungu ana standards zake tofauti na za kwako. Kama unaishi huku ukiwa na hofu ya kifo, acha kumkashifu Mungu
 
Na lazima ataua hadi wewe hapo ulipo. Ombea Yesu arudi kabla ya siku zako hapa duniani kuisha, kama unataka asikuue. Vinginevyo hata wewe hapo ulipo lazima atakula kichwa na hilo ndiyo jambo jema sana kwake
Mungu ana standards zake tofauti na za kwako. Kama unaishi huku ukiwa na hofu ya kifo, acha kumkashifu Mungu
Kitakachomuua ni neno na wala si Mungu na anayehakikisha haki inatendeka ni shetani akitekeleza matakwa ya neno na wakati mwingine binadamu anatekeleza matakwa ya neno hilo!
 
Vita ya Mungu sio ya damu na nyama ni vita ya kiroho...

Mungu anapigana na Shetani na wakala wake wachawi, majini nk...

Na anawashinda iktk Ulimwengu wa Roho...

Shetani yeye anaua mwili neno linasema Msiogope anayeua Mwili lakini hawezi kuua Roho...

Mathayo 10:28
 
"Kumbukumbu la Torati 30:19"
Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako;

Tafsiri!
Ndani ya Mungu wa Biblia hakuna kitu kinaitwa mauti (kuua/kifo). Ndani ya Mungu kuna uzima.
Mungu alitoa neno lake katika Biblia ambalo kwalo binadamu anachagua aende upande hupi na aache upande hupi. Kila uchaguzi binadamu anaouchagua unaendana na matokeo! Anayetekeleza matokeo ya neno la Mungu kutegemea na maamuzi ya binadamu ni (wa kwanza) ni shetani katika kuhakikisha adhabu inatolewa. Wa pili anayehakikisha neno linatekelezwa ni binadamu. Kwahiyo mauaji yoyoye yaliyowahi kutokea na yanayotokea, na yatakayotokea ni kwa mujibu wa neno la Mungu na anayehakikisha haki inatendeka kwa anayetii neno na yule anayehasi neno ni shetani na binadamu. Ndani ya Mungu hakuna mauti, dhiki, magonjwa, hofu, wasiwasi, mashaka, njaa, n.k.
safi kabisa, ukitafuta hotuba ya juzi ya natanyahu kule UN alisema kitu cha mfanano huu, kwamba kuna pande 2, upande wa baraka wa kuishi kwa amani na kufanikiwa, na upande wa laana wa kuishi kwa vita, machafuko na vilio, utachochagua ndicho utachokipata.
 
Ukisoma Biblia utaona kuwa mungu wa biblia sio mungu wa amani anayetaka watu waishi bila shida. Ni mungu wa mauaji na mateso.

Kuna analysis ilifanywa na wataalamu wa statistics kuona kati ya mungu na shetani, nani ameua watu wengi kwenye biblia.

Kwenye biblia nzima, kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo, including vitabu ambavyo wakristo wengi hawasemi (apocrypha: Mfano: vitabu vya Enoch, na Injili ya Thomas) shetani ameua watu 10 tu!!! Watoto wa Ayubu... Basi....

Kwa kuangalia vitabu canonical tu (Vitabu 66 vinavyosomwa na madhehebu yote) mungu ameua watu 2,476,633 ambao wametajwa kwamba wameuliwa na mungu au wameuliwa kwa amri ya mungu.... Na hii haihesabu watu waliokufa kwenye gharika, au mauaji ambayo idadi haikutajwa.

Israel wanafanya exactly walichoambiwa wafanye kwenye biblia. Kuua watu wote wasio Waisraeli wanaojaribu kuishi eneo la Levant (Caanan)...

So, kama unataka kujua mungu wa biblia ni mungu gani, angalia wanachofanya sasa hivi Israel... Huyo ndio mungu wa biblia... Mungu wa kifo na sio uzima. Mungu wa vita na sio amani...

ASILI KWANZA!!!!
😆😆😆😆
 
"Kumbukumbu la Torati 30:19"
Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako;

Tafsiri!
Ndani ya Mungu wa Biblia hakuna kitu kinaitwa mauti (kuua/kifo). Ndani ya Mungu kuna uzima.
Mungu alitoa neno lake katika Biblia ambalo kwalo binadamu anachagua aende upande hupi na aache upande hupi. Kila uchaguzi binadamu anaouchagua unaendana na matokeo! Anayetekeleza matokeo ya neno la Mungu kutegemea na maamuzi ya binadamu ni (wa kwanza) ni shetani katika kuhakikisha adhabu inatolewa. Wa pili anayehakikisha neno linatekelezwa ni binadamu. Kwahiyo mauaji yoyoye yaliyowahi kutokea na yanayotokea, na yatakayotokea ni kwa mujibu wa neno la Mungu na anayehakikisha haki inatendeka kwa anayetii neno na yule anayehasi neno ni shetani na binadamu. Ndani ya Mungu hakuna mauti, dhiki, magonjwa, hofu, wasiwasi, mashaka, njaa, n.k.
Ameen
 
Ukisoma Biblia utaona kuwa mungu wa biblia sio mungu wa amani anayetaka watu waishi bila shida. Ni mungu wa mauaji na mateso.

Kuna analysis ilifanywa na wataalamu wa statistics kuona kati ya mungu na shetani, nani ameua watu wengi kwenye biblia.

Kwenye biblia nzima, kuanzia kitabu cha mwanzo mpaka ufunuo, including vitabu ambavyo wakristo wengi hawasemi (apocrypha: Mfano: vitabu vya Enoch, na Injili ya Thomas) shetani ameua watu 10 tu!!! Watoto wa Ayubu... Basi.

Kwa kuangalia vitabu canonical tu (Vitabu 66 vinavyosomwa na madhehebu yote) Mungu ameua watu 2,476,633 ambao wametajwa kwamba wameuliwa na mungu au wameuliwa kwa amri ya mungu. Na hii haihesabu watu waliokufa kwenye gharika, au mauaji ambayo idadi haikutajwa.

Israel wanafanya exactly walichoambiwa wafanye kwenye biblia. Kuua watu wote wasio Waisraeli wanaojaribu kuishi eneo la Levant (Caanan).

So, kama unataka kujua mungu wa biblia ni mungu gani, angalia wanachofanya sasa hivi Israel. Huyo ndio mungu wa Biblia. Mungu wa kifo na sio uzima. Mungu wa vita na sio amani.

ASILI KWANZA!

kwan watu wa nani??? si wake? umba na ww watu wako ujiulie!

ni sawa na kumzuia mtu anaejifugia kuku wake kuwachinja
 
kwan watu wa nani??? si wake? umba na ww watu wako ujiulie!

ni sawa na kumzuia mtu anaejifugia kuku wake kuwachinja
Mungu tulieletewa na meli hizi simuelewi maana watu ni wake ila mateso ni mengi na hakuna kuhoji ni kutulia tu amri itekelezwe na bado kuna jehanam katuumbia watu wake tukifa ni kwenda kuhukumiwa dah.
Mambo ni mchanganyo.

Ila kikubwa tuamini katika imani tulizonazo ila akili kumkichwa.😒
 
Sifa kuu za Mungu wa wakristo na waislam
1.mpenda sifa
2.muuaji namba moja
3.mwenye chuki
4.katili, anayependa watu wateseke na kuangaika ikiwa yeye mwenye uwezo yupo na anawaangalia tu
5.Anapenda umalaya, aliwapa vyeo vya juu watu wwnye wanawake zaidi ya 1000 aliwainua juu
6.Hawezi kujibu maombi yako na siku akijibu ni muujiza huo
7.anapenda kunyanyapaa vilema, viwete na kuwabagua wanawake refer, Walawi 21:7-20
8 mbaguzi kuliko viunbe wote
9.majivuno na kujikweza
10.ni kiumbe pekee kinachopenda kuwajaribu watoto wake na kuwaandalia moto wa kuwaangamiza

N.B Tenda wema karma itakulipa.
Hii ni zaidi ya kukufuru aisee

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Na lazima ataua hadi wewe hapo ulipo. Ombea Yesu arudi kabla ya siku zako hapa duniani kuisha, kama unataka asikuue. Vinginevyo hata wewe hapo ulipo lazima atakula kichwa na hilo ndiyo jambo jema sana kwake
Mungu ana standards zake tofauti na za kwako. Kama unaishi huku ukiwa na hofu ya kifo, acha kumkashifu Mungu
Hapo naona umemchomekea mungu wako myahudi, au siyo?
 
Ntashangaa sana kama wale wenye mungu wa kiyahudi watamtosa, ingawa anawaita "mbwa".
 
kwanza kwanini Mungu hakumalizana na shetani.

mpaka anatupa shida sisi saivi... Ye kamshindwa akatutupia sisi ndo tupambane nae

huu ni uonevu.

hii script ngumu wazee walete waigizaji wengine
 
MUNGU wa Biblia ukimbariki anakubariki,ukimlaani unalaniwa,kwa hiyo mzingueni muone

Ukimwendea kwa adabu naye atakujia kistrabu


Ukiua Watu wake na wewe utauliwa

Mwanzo 12:1-
 
Back
Top Bottom