Nimekwambia Mungu kwenye Qur'an anatumia pronoubs apendavyo
anatumia first person singular, anatumia third person anatumia pural of Majesty
Wewe unasema plural of Majesty inatumika kwenye presence ya wengi, Hiyo siyo lazima, Kwa mfano Mfalme/Malkia anaweeza kuandika decree akiwa peke yake na akasema "We decree that every Tuesday will be a holiday",Na ikaeleweka kuwa anamaanisha "I decree that every Tuesday will be a holiday".
Tatizo ninaloiona kwako ni ufahamu mdogio wa grammar na context meaning za lugha ya kiarabu, Yaani unashikia bango kitu ambacho Makafiri wa Kiarabu waliokuwa wakimpinga Muhammad hawajawahi kuona ni ishu. Mnakuja nyie miaja 1500 nachukua translation katika lugha nyingine then mnashangaa kwa nini kiarabu hakiendani na aina ya grammar za lugha zenu