HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Habarini,
Mwafrika yoyote aliyesoma kweli na kujitambua lazima keshaelewa kuwa uislama na ukristo ni uongo kulingana na malengo na hasara zake kwa waafrika ikiwepo kupiteza asili na utamaduni wa Waafrika wa ukweli ktk kuabudu na kuamini.
Hivi kweli inawezekanaje mtu amesoma kuanzia la kwanza hadi chuo kikuu ashindwe kutambua kuwa yooooote ktk ukristo na uislam siyo asili yake yaani anakana hadi majina na mila za waasisi wake na kungangania kwa wazungu na warabu ,kweli huyu nu msomi au msomwa??
Ujinga wa easomi wa kuafrika ni mzigo kwa vizazi vyote vya kiafrika kwani wameshindwa kujikomboa kutoka kwenye UTUMWA WA KIFIKRA na kubadilika kufuata ukweli baada ya kupata elimu ya kizungu na kiarabu kwa kuutafuta ukweli.
Mwafrika yoyote aliyesoma kweli na kujitambua lazima keshaelewa kuwa uislama na ukristo ni uongo kulingana na malengo na hasara zake kwa waafrika ikiwepo kupiteza asili na utamaduni wa Waafrika wa ukweli ktk kuabudu na kuamini.
Hivi kweli inawezekanaje mtu amesoma kuanzia la kwanza hadi chuo kikuu ashindwe kutambua kuwa yooooote ktk ukristo na uislam siyo asili yake yaani anakana hadi majina na mila za waasisi wake na kungangania kwa wazungu na warabu ,kweli huyu nu msomi au msomwa??
Ujinga wa easomi wa kuafrika ni mzigo kwa vizazi vyote vya kiafrika kwani wameshindwa kujikomboa kutoka kwenye UTUMWA WA KIFIKRA na kubadilika kufuata ukweli baada ya kupata elimu ya kizungu na kiarabu kwa kuutafuta ukweli.