Wote waliosoma shule za kikoloni na bure ndiyo wametuambukiza ujinga wa dini za kigeni/imani

HAKI KWA WOTE

JF-Expert Member
Nov 30, 2022
607
553
Habarini,
Kabla ya kuja wakoloni Waafrika tulikuwa na imani zetu kupitia dini zetu za asili.

Walipofika wazungu na waarabu wakaanzisha mashule na makanisa ili kuwaambukiza wachache ujinga walionao nao na kuwakalilisha vya kizungu na kiarabu na kuwaondoa ktk imani za Kiafrika kwa kuwapa certificate,diplo,adegreebk kama utambulisho kuwa wamehitimu kuambukizwa ujinga wa kiislam na ukristu na kuacha mila zao huku wakifundishwa zaidi kuacha Uafrika na kufuata uzungu na uarabu kwa kuamini waliyofundishwa huko madrasa na makanisani ndiyo yatakayowafikisha mbinguni kwa Mungu kupitia yesu na mohamed kitu ambacho nakipinga sana,sana, na ndicjo kinachowatafuna Waafrika kuamini vitu vya kuletewa.

Hao waliotuletea habari za yesu na muhamed wanatoa makafara katika mila zao za kishenzi/uwuzu sisi wanatukataza kuabudu mila zetu eti ni za kishenzi kupitia hawa Waafrika walafi wa madaraka eti wachungaji na mashehe.

Hakuna maisha baada ya kufa kama ilivyo miti na wanyama uhai ukikutoka umeenda ndiyo maana mti unakuwa na kufa kisha kuwa mbolea na binadamu vivyo hivyo hufa na kuwa mbolea.

Huu ni wakati wa kubadilika sasa kuachana na makanisa na misikiti ili kurejerea MILA na DESTURURU zetu.

Iweje watu waliotuleyea habari za Mungu na wokovu wawe wezi,mabepari,mafisadi,nk hivi Mungu gani anaweza kuwatuma watu hao?

Kila janga wao ndiyo chanzo vita,magongwa,nk

Waafrikwa badilikeni sasa na kujitambua WATAKATIFU/MALAIKA/MITUME wote ni ama wazungu au waarabu hakuna mchina,mjapani,mwafrika,mhindi,nk ?

Kwa ujinga huu lazima waafrikwa wote mchomwe moto kama kweli upo
 
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine.

Mungu hayupo wala jehanamu haipo.

Mungu wa isaka, mungu wa Yakobo, mungu wa Elia ni muungu wa wayahudi, ni sawa na muungu wa kisukuma ama kisambaa. Hauhusiani na makabila mengine.

Ukisoma tu hata biblia inaeleza wazi kwamba huyo ni mungu wa wayahudi tu na sio mungu wa watu wote. Kila jamii ina mungu wao. Mungu wa kwenye biblia alikua anawaonya wayahudi wasiabudu miungu wa watu wengine kwani yeye ndio mungu wao na ana wivu kuona wayahudi wakiabudu mungu wa jamii, watu wengine, akawaonya hapendi.

Sasa leo unakuta mtu amekomaa, anakesha anafunga na kuomba usiku kucha anaomba mungu wa wayahudi, badala aombe mungu wa kabila lake anakomaa na mungu wa wayahudi, utakesha unaomba utakufa kama kibudu hakuna maombi kujibiwa maana unaomba mungu asiekujua.

Actually dini ni utapeli, wizi. Mungu anatajwa kwenye dini hayupo.
 
Eti dini inasema nifunge nisile, niombe ndio mungu atasikia maombi yangu, yaani maombi yangu yanahusiana na nini na chakula changu kilichoko tumboni? Mungu anafurahia nini kuona nina njaa ndio ajibu maombi yangu?

Chakula kilicho tumboni kinahusiana nini na maombi? Kwa hiyo mungu anaona raha sana nikimuomba huku nina njaa, sio?😂 Anaona rahaaaa mwenyewe, anachekeleaaa meno yote nje kuona anaombwa na watu wenye njaa, watu wanaoteseka, sio?

Sasa kama anataka wenye njaa ndio wamuombe awajibu maombi yao, wale omba omba wanaoshinda barabarani njaa mchana kutwa wakiomba mbona hajibu maombi yao?

Mara eti mungu hataki nile chakula ama nyama ya mnyama flani ama samaki flani, anaona rahaaa mwenyewe nisipokula hiyo nyama, sio?😂😂.

Cha ajabu eti mungu anataka nimpelekee hela zangu ndio afurahi, yaani akiona hela anacheka meno yote nje. Aisee.
 
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine.

Mungu hayupo wala jehanamu haipo.

Mungu wa isaka, mungu wa Yakobo, mungu wa Elia ni muungu wa wayahudi, ni sawa na muungu wa kisukuma ama kisambaa. Hauhusiani na makabila mengine.

Ukisoma tu hata biblia inaeleza wazi kwamba huyo ni mungu wa wayahudi tu na sio mungu wa watu wote. Kila jamii ina mungu wao. Mungu wa kwenye biblia alikua anawaonya wayahudi wasiabudu miungu wa watu wengine kwani yeye ndio mungu wao na ana wivu kuona wayahudi wakiabudu mungu wa jamii, watu wengine, akawaonya hapendi.

Sasa leo unakuta mtu amekomaa, anakesha anafunga na kuomba usiku kucha anaomba mungu wa wayahudi, badala aombe mungu wa kabila lake anakomaa na mungu wa wayahudi, utakesha unaomba utakufa kama kibudu hakuna maombi kujibiwa maana unaomba mungu asiekujua.

Actually dini ni utapeli, wizi. Mungu anatajwa kwenye dini hayupo.
Inafikirisha
 
Eti dini inasema nifunge nisile, niombe ndio mungu atasikia maombi yangu, yaani maombi yangu yanahusiana na nini na chakula changu kilichoko tumboni? Mungu anafurahia nini kuona nina njaa ndio ajibu maombi yangu?

Chakula kilicho tumboni kinahusiana nini na maombi? Kwa hiyo mungu anaona raha sana nikimuomba huku nina njaa, sio?😂 Anaona rahaaaa mwenyewe, anachekeleaaa meno yote nje kuona anaombwa na watu wenye njaa, watu wanaoteseka, sio?

Sasa kama anataka wenye njaa ndio wamuombe awajibu maombi yao, wale omba omba wanaoshinda barabarani njaa mchana kutwa wakiomba mbona hajibu maombi yao?

Mara eti mungu hataki nile chakula ama nyama ya mnyama flani ama samaki flani, anaona rahaaa mwenyewe nisipokula hiyo nyama, sio?😂😂.

Cha ajabu eti mungu anataka nimpelekee hela zangu ndio afurahi, yaani akiona hela anacheka meno yote nje. Aisee.
Aaahaaaas
 
Dini ni utapeli kama utapeli mwingine.

Mungu hayupo wala jehanamu haipo.

Mungu wa isaka, mungu wa Yakobo, mungu wa Elia ni muungu wa wayahudi, ni sawa na muungu wa kisukuma ama kisambaa. Hauhusiani na makabila mengine.

Ukisoma tu hata biblia inaeleza wazi kwamba huyo ni mungu wa wayahudi tu na sio mungu wa watu wote. Kila jamii ina mungu wao. Mungu wa kwenye biblia alikua anawaonya wayahudi wasiabudu miungu wa watu wengine kwani yeye ndio mungu wao na ana wivu kuona wayahudi wakiabudu mungu wa jamii, watu wengine, akawaonya hapendi.

Sasa leo unakuta mtu amekomaa, anakesha anafunga na kuomba usiku kucha anaomba mungu wa wayahudi, badala aombe mungu wa kabila lake anakomaa na mungu wa wayahudi, utakesha unaomba utakufa kama kibudu hakuna maombi kujibiwa maana unaomba mungu asiekujua.

Actually dini ni utapeli, wizi. Mungu anatajwa kwenye dini hayupo.
Una hoja kuntu,,, nimekuelewa
 
Back
Top Bottom