LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Achana na watu wanao komenti kwa kukuogopa kwenye page yako huko instagram. Ukweli ni kwamba wimbo wako sio mzuri na hauendani na nyakati zilizopo.
Nakushauri ufanye tena research yako vizuri. Kisha nenda upya studio uje na wimbo mpya.
Ni hayo tu dadake
Nakushauri ufanye tena research yako vizuri. Kisha nenda upya studio uje na wimbo mpya.
Ni hayo tu dadake