Jaribio la kugomea Sensa: Mwitikio wa Serikali

kila muislamu atakayekubali mpango wa kugoma sensa ifikapo agosti 26 atakuwa ameshiriki kuhujumu mipango ya maendeleo ya awamu ya nne inayoongozwa na rais jakaya kikwete.

Serikali ikishindwa kufikia mipango yake ya maendeleo wapo watakaosema ni "mfumo kristo" au itaelezwa kwamba ni mkakati wa upinzani kwani tunapenda majibu mepesi/marahisi yasiyo na vielelezo.

Msukumo wa kugomea sensa una mantiki moja tu nzito, kumwangusha jk.

kwanini wakiristo wamejiingiza sana kuhusu hili? Wao si wanapata tayari gawio lao la mapesa ya umma kupitia mkataba wa mou?
 
kutojua umuhimu wa sensa kwa maendeleo yako ni upungufu wa weredi hata tukiamua kusingizia mfumo mohammed au mfumo kristo.
 
Kila muislamu atakayekubali mpango wa kugoma sensa ifikapo Agosti 26 atakuwa ameshiriki kuhujumu mipango ya maendeleo ya awamu ya nne inayoongozwa na Rais Jakaya Kikwete.

serikali ikishindwa kufikia mipango yake ya maendeleo wapo watakaosema ni "mfumo kristo" au itaelezwa kwamba ni mkakati wa upinzani kwani tunapenda majibu mepesi/marahisi yasiyo na vielelezo.
Ni wakati gani baada ya uhuru serikali imepanga maendeleo yake kufuatilia sensa?
Kama ni hivyo basi Tanga tayari imeshakwamishwa kimaendeleo kwa sababu sensa iliyofanyika 1988 wakazi wa Tanga ni millioni 1.5, sensa iliyofanyika miaka 14 baadae 2002 inaonyesha idadi ileile kuwa wakazi wa Tanga ni milioni 1.5!!
Maajabu ya Tanga hayo! lakini mikoa yenye Wakristo wengi idadi yao inaongezeka kila sensa inapofanyika!
Sensa is not for us!
 
kwanini wakiristo wamejiingiza sana kuhusu hili? Wao si wanapata tayari gawio lao la mapesa ya umma kupitia mkataba wa mou?

Rais wetu Ally hassan mwinyi ndiye mwasisi wa MOU mwaka 1992 na bado yuko hai anaweza kusaidia kutupa jibu.

Mkataba huu ulijitokeza baada ya serikali yake na hata ya mwalimu kushindwa kupeleka huduma za Afya na shule (vyuo) kwa wananchi na kuliomba kanisa kutumia baadhi ya mahospitali yake na shule kwa ahadi ya kuzipa ruzuku asilimia 40 na asilimia 60 zinatolewa na kanisa.

Japo wazo hili lilikuwa zuri tulitegemea kwamba badala ya serikali kuegemea au kutegemea huduma ya kanisa milele ingejenga mahospitali na mashule (vyuo) vyake ili kuachana na kifungo cha mkataba huo.
 
Ni wakati gani baada ya uhuru serikali imepanga maendeleo yake kufuatilia sensa?
Kama ni hivyo basi Tanga tayari imeshakwamishwa kimaendeleo kwa sababu sensa iliyofanyika 1988 wakazi wa Tanga ni millioni 1.5, sensa iliyofanyika miaka 14 baadae 2002 inaonyesha idadi ileile kuwa wakazi wa Tanga ni milioni 1.5!!
Maajabu ya Tanga hayo! lakini mikoa yenye Wakristo wengi idadi yao inaongezeka kila sensa inapofanyika!
Sensa is not for us!

Tangu tupate uhuru mwalimu amekaa Ikulu miaka 23 na mkapa 10 jumla wakiristo wamekaa Ikulu miaka 33 na Marais Waislamu wamekaa Ikulu miaka 20 ( Mwinyi 10 na Kikwete 10) kama ni rahisi hivyo imekuwaje wasipeleke maendeleo hayo Tanga???? kama ni kweli Wakristo walikuwa wanahujumu mkoa wa Tanga?, miaka 20 Ikulu si michache kurekebisha kasoro za waliotangulia.
 
rais wetu ally hassan mwinyi ndiye mwasisi wa mou mwaka 1992 na bado yuko hai anaweza kusaidia kutupa jibu.

Mkataba huu ulijitokeza baada ya serikali yake na hata ya mwalimu kushindwa kupeleka huduma za afya na shule (vyuo) kwa wananchi na kuliomba kanisa kutumia baadhi ya mahospitali yake na shule kwa ahadi ya kuzipa ruzuku asilimia 40 na asilimia 60 zinatolewa na kanisa.

Japo wazo hili lilikuwa zuri tulitegemea kwamba badala ya serikali kuegemea au kutegemea huduma ya kanisa milele ingejenga mahospitali na mashule (vyuo) vyake ili kuachana na kifungo cha mkataba huo.
lowasa alimuhujumu
 
au mnaogopa waislam wakionekana wapo wengi huku wakiristo ndio waliotufisha hapa kwenye umaskini kwa kupeana vyeo makazini?

Kama kweli wewe mwenyewe una akili tuambie ulisoma wapi shule ya awali, msingi, sekondari na chuo ambako matokeo yako yalihujumiwa baada ya kuwa miongoni mwa wanafunzi bora darasani tuambie na mkristo aliyehujumu juhudi zako

Lakini ni wapi ulipeleka vyeti vyako ukanyimwa ajira huku matokeo yako yakiwa bora kuliko waliopata ajira ikiwezekana tupe jina la kampuni iliyofanya ubaguzi huo.

Kama unaona shule haina maana jaribu ujinga.

kawaulize January Makamba, Hussein mwinyi, Mustafa Mkulo, Ramadhan Dau na wengine kama walipata nafasi hizo kwa sababu ya dini zao.
 
Naona sasa Tz udini umeshika kasi, kila hoja ni udini. Sisi sote ni ndugu, dini tumeletewa na waarabu na wazungu
 
au mnaogopa waislam wakionekana wapo wengi huku wakiristo ndio waliotufisha hapa kwenye umaskini kwa kupeana vyeo makazini?
Kupeana vyeo!? Tukitaka kupata ukweli wa hili jambo inabidi tuangalie sekta binafsi-ambako waajiri wanatafuta zaidi faida na hivyo kuajiri mtu anayeweza kuzalisha zaid na zaidi. Tuende kwenye kampuni kama Vodacom, PWC, Airtel,Tigo etc. Halafu tutafakari takwimu tutakazozipata!
 
lowasa alimuhujumu

Kama ni hujuma bado serikali inaweza kujitoa kwenye mkataba huu hivyo serikali ndio inatakiwa kulaumiwa kutumia huduma za kanisa.

Fedha za MOU haziingii kanisani bali serikali inalipa moja kwa moja kwenye huduma husika kama vile mishahara ya walimu na madaktari wanatibu wananchi bila kujali dini zao bila kusahau madawa.

serikali ikijitoa kutoa ruzuku haina tatizo bali huduma za afya zitapanda bei na mashule ya kanisa inawezekana hayatapokea wanafunzi wa imani zote kwani hakuna utaratibu utakalibana kanisa kutibu au kusomesha wananchi bila kujali imani zao.
 
... sensa iliyofanyika 1988 wakazi wa Tanga ni millioni 1.5, sensa iliyofanyika miaka 14 baadae 2002 inaonyesha idadi ileile kuwa wakazi wa Tanga ni milioni 1.5!!
...
Labda wanahama hama, au walikufa kwa rate kubwa kuliko kuzaliana, au walikataa kuhesabiwa kama waumini fulani wanavyotaka kukataa !
 
kwanini wakiristo wamejiingiza sana kuhusu hili? Wao si wanapata tayari gawio lao la mapesa ya umma kupitia mkataba wa mou?

tatizo lolote ulilonalo jawabu ni wewe mwenyewe...ukifikiri ni wakristu ndio tatizo unapoteza muda. Kusoma uamue mwenyewe, kazi uamue mwenyewe na hata uvivu pia ni kitu cha kuamua mwenyewe. Hospitali zijenge tena kwa wingi tu uone kama serikali itakutupa. Shule nazo hivyo hivyo...mwisho wa siku kikulacho ki nguoni mwako.
 
kwa kifupi sensa ni usanii wala haina chamaana sana. uhalisia wa sensa ni sawa lakini kwa Tanzania maana halisi ya sensa si kama tunavyoitofasiri. Maana nchi yetu imekuwa na udhaifu mkubwa sana kufuatilia mambo muhimu ya kimaendeleo.
 
kwanini wakiristo wamejiingiza sana kuhusu hili? Wao si wanapata tayari gawio lao la mapesa ya umma kupitia mkataba wa mou?

utakalia hayohayo,wenzenu wanapga shule,wanafanya harambee na kuchanga mamilion,nyie mkiambiwa tujenge shule,yahe sie hatjui kufyatua tofari! Twendeni tutafika tu! Bora tuendelee kuzchukua coz hao waislam waliopo juu ni mabweghe,wapo busy na majini.
 
au mnaogopa waislam wakionekana wapo wengi huku wakiristo ndio waliotufisha hapa kwenye umaskini kwa kupeana vyeo makazini?

kazi mpewe na nan wakat mpo busy na uganga na uchawi, shehe mskitn na vifurush vyake vya uganga,shule NO. BIBLIA inasema MSHIKE SANA ELIMU usimwache aende zake.
 
kwanini wakiristo wamejiingiza sana kuhusu hili? Wao si wanapata tayari gawio lao la mapesa ya umma kupitia mkataba wa mou?

Shekhe mi naomba hao wakisto waongezewe Mapesa ili waendelee kujenga mashule, mahospitali na hata Makanisa kwani hata sie tunatumia miundobinu hiyo!....usikunje sura kwa jazba pata glass moja ya maji shekhe! Teh teh!
 
Back
Top Bottom