Sensa ni haki kwa kila Mtanzania.
Haitapendeza ikidoda.
Kwanini na wakristo wasiombwe radhi pia,kwani takwimu zilikosewa kwa wote!
hujui kwamba unapoambiwa ukoo fulani ni mkubwa ni neema?ama unaposikia kabila fulani wapo wengi tanzania ni sifa?ama watu fulani ni wengi ktk idara fulani kwamba ni prestage?kwanini hawakusema kua waislamu ni asilimi 52 na wakristo 34 ingelikua takwimu zimewapendelea waislamu hata wasingali kuja juu na wakristo sidhani kama wangalinyamaza
Unahangaika na mambo madogo ambayo hayakusaidii kuleta mkate mezani kwako,ukiugua wewe na familia yako huwezi tibiwa kwasababu ya kutetea dini yako,elimu yako na wanao inategemea wewe kuchapa kazi siyo dini yako!! Hivi kwa akili yako ni nini majukumu ya serikali?
Hapo kwenye red::: 52%+32%+14%=?
Nadhani jibu ni 98%..........Hii haikutakiwa kuwa 100% kweli?
Hapo kwenye red::: 52%+32%+14%=?
Nadhani jibu ni 98%..........Hii haikutakiwa kuwa 100% kweli?
Hizi takwimu wajameni, zinakuwa manipulated na watu wengi hata hao wanaokataa kuhesabiwa leo. Nimewasikia hata hao wanaoitwa wanazuoni ktk mihadhara wakidai sensa ya mwisho iliyokuwa na kipengele cha dini ilionesha waislamu ni asilimia 62. Nani ataamini ujinga na upotoshaji huu?? Wadanganyane wao ktk miamsho yao!!
Unachanganya madaUnahangaika na mambo madogo ambayo hayakusaidii kuleta mkate mezani kwako,ukiugua wewe na familia yako huwezi tibiwa kwasababu ya kutetea dini yako,elimu yako na wanao inategemea wewe kuchapa kazi siyo dini yako!! Hivi kwa akili yako ni nini majukumu ya serikali?
hujui kwamba unapoambiwa ukoo fulani ni mkubwa ni neema?ama unaposikia kabila fulani wapo wengi tanzania ni sifa?ama watu fulani ni wengi ktk idara fulani kwamba ni prestage?kwanini hawakusema kua waislamu ni asilimi 52 na wakristo 34 ingelikua takwimu zimewapendelea waislamu hata wasingali kuja juu na wakristo sidhani kama wangalinyamaza
Fanyani yanayowahusu.
Nisaidieni mlioelewa please, TBC walirusha takwimu za uongo au walirusha takwimu kwa makosa? Kama Wikipedia imedanganya, walijuaje? Takwimu zimekuwa za uongo/makosa kwa sababu wahisilamu wamekasirika au?
hapo kwenye red::: 52%+32%+14%=?
Nadhani jibu ni 98%..........hii haikutakiwa kuwa 100% kweli?