chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,009
- 20,683
Mwalimu Nyerere Foundation wakati inaanzishwa, ilikuwa na malengo makubwa sana. Ilivutia wafadhili, ilivutia serikali kuweka fedha. Na Kila mtu alitarajia kwamba itakuwa ndio kisima Cha mawazo ya kisiasa, kiuchumi, kijamii, kidiplomasia kwa Kila namna.
Mwanzoni ilianza vizuri, kabla haijawekwa mikononi mwa Butiku. Hapo ndipo tulishuhudia taasisi hii ikiporomoka umaarufu wake.
Kwa Sasa taasisi hii haina inalifanya, iko kwenye makaratasi tu, hakuna mijadala inaendeshwa na taasisi hii, hakuna scholarship inatoa.
Taasisi inapokea mabilioni, lakini anayejua ziko wapi ni Butiku pekee.
Nashauri taasisi hii ikabidhiwe Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam ili ifanye kazi kwa ufanisi.
Mwanzoni ilianza vizuri, kabla haijawekwa mikononi mwa Butiku. Hapo ndipo tulishuhudia taasisi hii ikiporomoka umaarufu wake.
Kwa Sasa taasisi hii haina inalifanya, iko kwenye makaratasi tu, hakuna mijadala inaendeshwa na taasisi hii, hakuna scholarship inatoa.
Taasisi inapokea mabilioni, lakini anayejua ziko wapi ni Butiku pekee.
Nashauri taasisi hii ikabidhiwe Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam ili ifanye kazi kwa ufanisi.