Japo sio lazima kuhoji kila kitu kwa kuuliza maswali lakini mtu mwenye akili zake timamu ni lazima ajiulize. Ukimya wetu, msitufanye mazuzu kuna...

Nimesoma comments almost zote inaonekana wengi hamjui tabia za serikali yetu.

Kuchelewesha kutoa taarifa za msiba kulianzia kwa Magufuli, wakatuficha mwanzo mwishowe wakasema kweli, hii tabia imeendelea hata kwa Mzee Mwinyi, nae ikawa hivyo hivyo.

Siamini kama Magufuli aliuwawa na yeyote, ni Corona ndio ilimuondoa kwa sababu hakuchukua hatua yoyote kujilinda licha ya wasaidizi wake baadhi kutangulia kufa.
 
Hoji sasa hivi current issue hili la Magufuli lilishapita. The page of Magufuli was/is closed. Nchi inachangamoto nyingi mno kwasasa. Plz hoji kwa niaba ya Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…