DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,001
- 45,511
Kama kijana mahala popote ulipo hakikisha unayapambania mahusiano mazuri na watu wenye umuhimu kwako.
Jinsi ambavyo unayapambia mahusiano ya kimapenzi ili yakupe short pleasure as the same pambana mara kumi yake kupambania kujenga mahusiano mazuri na watu wako wa muhimu.
Usikubali mtu afahamu wewe ni mtu wa kuomba na kutangaza habari za shida , no unaweza ukawa unaishi mtaani kwako hakikisha unakuwa na duka lako moja ambalo unanua kila kitu hapo na kukopa ,hii itakufanya ujiondoe kwenye kundi la kukosa chakula na kulala na njaa.
Kumbuka ili mtu akukope unabidi kuwa na mahusiano naye mazuri ikiwemo kuheshimiana ,na kumuungisha mara kwa mara .
Watu wako wa kazini au wateja wako wako katika Biashara ishi nao vizuri kwa kuwaonyesha unawathamini na kuwajali .
Hakikisha unajiondoa katika kundi la watu wanomba hela ukipenda kuwaomba hela watu basi watu wataanza kutoshika simu zako we omba kazi tu .
Kuhusu Mwanamke Kama kijana wa kiume Wanawake kwanza hawanaga huruma na mtu so usitegemee kujiingiza bila mikakati na ukadhani utatoka salama . Kuna vijana wengi tatizo lao la afya Akili limeanzia huko na leo wamepoteza kila kitu na kufa huku bado unaishi.
Kumbuka Afya yako ya Akili ndo kila kitu, then kuwa imara kiroho Sana
Jinsi ambavyo unayapambia mahusiano ya kimapenzi ili yakupe short pleasure as the same pambana mara kumi yake kupambania kujenga mahusiano mazuri na watu wako wa muhimu.
Usikubali mtu afahamu wewe ni mtu wa kuomba na kutangaza habari za shida , no unaweza ukawa unaishi mtaani kwako hakikisha unakuwa na duka lako moja ambalo unanua kila kitu hapo na kukopa ,hii itakufanya ujiondoe kwenye kundi la kukosa chakula na kulala na njaa.
Kumbuka ili mtu akukope unabidi kuwa na mahusiano naye mazuri ikiwemo kuheshimiana ,na kumuungisha mara kwa mara .
Watu wako wa kazini au wateja wako wako katika Biashara ishi nao vizuri kwa kuwaonyesha unawathamini na kuwajali .
Hakikisha unajiondoa katika kundi la watu wanomba hela ukipenda kuwaomba hela watu basi watu wataanza kutoshika simu zako we omba kazi tu .
Kuhusu Mwanamke Kama kijana wa kiume Wanawake kwanza hawanaga huruma na mtu so usitegemee kujiingiza bila mikakati na ukadhani utatoka salama . Kuna vijana wengi tatizo lao la afya Akili limeanzia huko na leo wamepoteza kila kitu na kufa huku bado unaishi.
Kumbuka Afya yako ya Akili ndo kila kitu, then kuwa imara kiroho Sana