Halafu Prof. Mruma na Ossoro walipewa magari mazito hadi ulinzi mkali. Sijui wana walinzi mpaka sasa??Professorial rubbish!!! Kipindi cha mwendazake maprofesa wote akili zote zilikuwa za kijalalani 🚮🚮🚮
Halafu Prof. Mruma na Ossoro walipewa magari mazito hadi ulinzi mkali. Sijui wana walinzi mpaka sasa??Professorial rubbish!!! Kipindi cha mwendazake maprofesa wote akili zote zilikuwa za kijalalani 🚮🚮🚮
Jiwe alikua pumbaf hajui Madini yote Dunia nzima ni Mali ya familia Moja tu na ole wako ujifanye mjuaji utaisoma Namba,
Yaani wao Ndio wanunuzi wakuu wa hayo Madini kiasi kwamba ukikataa kuwapa migodi na wao wakupe gawio kidogo hivyo hivyo angalau uambulie kitu wanakua wamefanya la maana kuliko waje wabebe Bure Tena Kwa mbinu Kali na usiambulie chochote au wagome kununua hayo Madini ubaki nayo kama mawe maana wao Ndio huyapa thamani,
Yeye akajidai anakuja na propaganda za ubeberu na masifa ya kumchezea chatu na Ile ripoti kioja iliyopingwa na Tundu Lissu Mpaka wakampiga risasi et msaliti,
Haya Nini kiliwakuta na Leo Kiko wapi?
Exposure ni kitu mhimu sana Kwa viongozi wetu!
Sasa hapo huoni wewe ndio mpumbavu?
Yani madini yapo nchini kwako alafu unasema ni ya familia moja?
Afrika ni masikini sababu ya wapumbavu kama nyie!
Magu alikuwa wakuungwa mkono ila nyie vibwengu na wale wapumbavu wenu walioko belgiji mkaona kama ndio sehemu yankutokea kisiasa!
Mijitu kama nyie ni risasi tu
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Hao maprofesa ndiyo walimdanganya rais kwa lengo la kujipendekeza. Hata sasa watu hao watu hao wapo, wanamwingiza chaka mama SamiaAlidhani akiwa Rais basi anaweza kudanganya dunia nzima
Ni kwasababu sisi ni wapumbavu!
Kama tungekuwa siyo wapumbavu tusingewaachia hizo familia zimiliki madini yetu.
Sasa anapotokea mtu anajaribu kutuzindua alafu tunaanza kumpinga hakuna jina lingine tunalostahili kuitwa zaidi ya wapumbavu. Na upumbavu siyo tusi.
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Hon.Lissu is an Interlectual and Genius.Tundu Lisu ni sawa na bunge zima!
Kwa kuongezea tena tu, Lissu mmoja ni sawa na CCM nzima.Kwa nyongeza ni kuwa Tundu Mmoja ni sawa na Baraza zima la mawaziri
Huyu waziri akiwa ziarani alihamasisha halmashauri zote zipande vitindi eti ni utalii navinaleta rutuba.Nilishika mdomotrue,kuna liwaziri limoja juzi linatamka eti ardhi ya tanzania ni mali ya rais
Neno upumbavu unalipenda lakini unalitumia pasipo mahali pake. Wakati wazungu wanagawana bara la afrika mwaka 1884 hapa Tanzania pote palikuwa ni pori tu simba na chui wakikimbizana.Ni kwasababu sisi ni wapumbavu!
Kama tungekuwa siyo wapumbavu tusingewaachia hizo familia zimiliki madini yetu.
Sasa anapotokea mtu anajaribu kutuzindua alafu tunaanza kumpinga hakuna jina lingine tunalostahili kuitwa zaidi ya wapumbavu. Na upumbavu siyo tusi.
Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
wewe na familia yako mpaka sasa mmefanyaje kuuvuna huo utajiri?Ukizaliwa masikini na ukafa masikini, ni kosa lako sio wazazi wako... kwamba anaona hizo trilioni 300 ni nyingi sana... haki ya mama... hivi anajua Africa ni kiasi gani cha utajiri wetu unachukukiwa na wazungu... asome hii report huyo mnyarwanda ili aujue kutoka gazeti la The Guardian.
[World is plundering Africa's wealth of 'billions of dollars a year']
Sehemu ya taarifa yao ni hii "It said African countries received $162bn in 2015, mainly in loans, aid and personal remittances. But in the same year, $203bn was taken from the continent, either directly through multinationals repatriating profits and illegally moving money into tax havens, or by costs imposed by the rest of the world through climate change adaptation and mitigation."
Ambapo inasema fedha zinazoibwa afrika ni nyingi ( $203bn ) kuliko zinazoingia kama misaada ( $162 bn)
Sio lazima ujue maisha yangu... fata yako mzeewewe na familia yako mpaka sasa mmefanyaje kuuvuna huo utajiri?
Huwa mnamkubali Lissu sana basi tu uchama unawasumbua.Tundu Lisu ni sawa na bunge zima!
Lissu ni mpumbavu tu kuwadi wa mabeberu.Mwanasheria gani anaogopa kushitakiwa?eti tutashitakiwa Miga, shame of oneKwa kuongezea tena tu, Lissu mmoja ni sawa na CCM nzima.
Japhet Hasunga ambaye alikuwa waziri katika Serikali ya Magufuli, amesema trilioni 300 ambazo zipo katika bodi ya rufaa za kodi za TRA ambazo zinatokana na ripoti ya Profesa Osoro na Mruma zilizoonesha kuwa makampuni ya madini yalikuwa yakitorosha makinikia yenye thamani kubwa na kuikosesha nchi mapato
Hasunga amesema hela hiyo ni sawa na bajeti ya Serikali kwa miaka 10 na tunapaswa kujiuliza deni hili lina uhalisia maana linaichafua nchi nyetu
Ripoti ya Osoro na Mruma ilizua mjadala mkubwa ambapo aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu alikuwa mkosoaji mkubwa wa ripoti hiyo na kuiita professional rubbish ambapo alipigwa risasi s siku chache baadae
Hatari tupuSiku zoote mimi huwaza hivyo.
Hapo hapo maza ako anajuta kukuzaa na dingi ango badala ya kukuzaa na Lissu ungekuwa na akili mingi snLissu ni mpumbavu tu kuwadi wa mabeberu.Mwanasheria gani anaogopa kushitakiwa?eti tutashitakiwa Miga, shame of one