January Makamba naamini amepata cha kujifunza

January Makamba naamini amepata cha kujifunza

tpaul una mawazo kama yangu 100% maana mimi nina uhakika hata ikitokea mawaziri wote warudi isipokuwa mmoja, makamba ndiye atakayeachwa nje. Magufuli hawezi kumpa uwaziri mtu kama Makamba au Kigwangala. Nyie Magufuli msikie tu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwa sifa na kujikomba anaweza kumfikia Paulina Makondakta? Maana yule sio kufunga viatu tuu hata kumtawaza mkubwa au mtoto wake kwake sio issue

Afadhali Paulina mkondakta.....a.k.a mfunga viatu
 
Jamani,hivi kuna watanzania waliokuwa wanaamini kuwa January Makamba aweza kuwa PM?Aisee mimi sijawahi hata tu kuota achilia mbali kuwaza.
 
tpaul una mawazo kama yangu 100% maana mimi nina uhakika hata ikitokea mawaziri wote warudi isipokuwa mmoja, makamba ndiye atakayeachwa nje. Magufuli hawezi kumpa uwaziri mtu kama Makamba au Kigwangala. Nyie Magufuli msikie tu.

Kwa haya maneno mliyosema ndio sasa yatamfanya magufuli ampe uwaziri.
 
kwenye maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.

Nampa pole january makamba, asubirie uwaziri tu lakini sio uwaziri mkuu.

Wahenga wasema, kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria.

hivi kweli mnadhani mh. January yusufu makamba hakujua nafadi hii 2015 si yake.? Kwa weredi na uanasiasa wake wazi anaonekana ni mwenye kujitambua kuliko sisi tunaoshangilia tusivovijua, jaji mkuu anatoka tanga, hii ilitosha kukuonyesha wazi january alitqmbua yeye siye ktk nafasi hiyo ya juu ya nchi inayozalishwa na mfumo na si kura za wananchi, tambueni dhamiri yake ya urais ingaliweza kuvuka nguvu ya mfumo kama mwalimu alivyowahi kuhudumu na chief justice nyalali.

January yusufu makamba amejipambanua kwa uaminifu,weredi na utayari wa kuhudumu ndani ya nchi na nje ya nchi kwa nafasi yoyote, amefanikiwa kukivuka kivuli cha mzee yusufu makamba, anasimama kwa miguu yake, anajisimamia jambo ambalo sisi wenzake wengi kwa rika alilomo bado tunasumbuka nalo.

Nilidhani vijana wenzangu ambao 5yrs to come tutakuwa wa makamo kidogo tujivunie huyu msambaa kwani kwa maoni yangu ametuwakilisha vyema sana tena akituondolea mauzauza ya ngeleja,maige ,masha vijana kama siye walishindwa kuhudumu accordingly.

Alipo jqnuary panahitaji mbolea yetu kumlinda,kumkuza,kumuombea ili apevuke akiwa imara na muadilifu tena na tena...

Congrats january yusufu makamba, karibu malinyi ...tuijenge tanzania
 
hivi kweli mnadhani mh. January yusufu makamba hakujua nafadi hii 2015 si yake.? Kwa weredi na uanasiasa wake wazi anaonekana ni mwenye kujitambua kuliko sisi tunaoshangilia tusivovijua, jaji mkuu anatoka tanga, hii ilitosha kukuonyesha wazi january alitqmbua yeye siye ktk nafasi hiyo ya juu ya nchi inayozalishwa na mfumo na si kura za wananchi, tambueni dhamiri yake ya urais ingaliweza kuvuka nguvu ya mfumo kama mwalimu alivyowahi kuhudumu na chief justice nyalali.

January yusufu makamba amejipambanua kwa uaminifu,weredi na utayari wa kuhudumu ndani ya nchi na nje ya nchi kwa nafasi yoyote, amefanikiwa kukivuka kivuli cha mzee yusufu makamba, anasimama kwa miguu yake, anajisimamia jambo ambalo sisi wenzake wengi kwa rika alilomo bado tunasumbuka nalo.

Nilidhani vijana wenzangu ambao 5yrs to come tutakuwa wa makamo kidogo tujivunie huyu msambaa kwani kwa maoni yangu ametuwakilisha vyema sana tena akituondolea mauzauza ya ngeleja,maige ,masha vijana kama siye walishindwa kuhudumu accordingly.

Alipo jqnuary panahitaji mbolea yetu kumlinda,kumkuza,kumuombea ili apevuke akiwa imara na muadilifu tena na tena...

Congrats january yusufu makamba, karibu malinyi ...tuijenge tanzania

umemaliza au unatafuta maneno ya kumalizia? hujitambui wewe mpuuzi mkubwa na kibaraka wa makamba....watu kama wewe ndio mnaowalamba watoto wa vigogo miknd ili wawatemee makombo ya rasilimali za nchi wanazotafuna. utaishia hivyo hivyo na ukibarka wako hayawani mkubwa!
 
Binadamu ndivyo tulivyo, mtu akifanya kazi yake eti kajipendekeza, January ana malengo yake na wala siyo uwaziri mkuu,,, acha kuanzisha mada za kiumbea na zisizo na msingi kwa nchi yetu

Tuambie japo malengo matatu da mwamvita
 
Makambi tarajiwa ndani ya ccm in the near future;
Makamba
Nape
Mwigulu
 
hivi kweli mnadhani mh. January yusufu makamba hakujua nafadi hii 2015 si yake.? Kwa weredi na uanasiasa wake wazi anaonekana ni mwenye kujitambua kuliko sisi tunaoshangilia tusivovijua, jaji mkuu anatoka tanga, hii ilitosha kukuonyesha wazi january alitqmbua yeye siye ktk nafasi hiyo ya juu ya nchi inayozalishwa na mfumo na si kura za wananchi, tambueni dhamiri yake ya urais ingaliweza kuvuka nguvu ya mfumo kama mwalimu alivyowahi kuhudumu na chief justice nyalali.

January yusufu makamba amejipambanua kwa uaminifu,weredi na utayari wa kuhudumu ndani ya nchi na nje ya nchi kwa nafasi yoyote, amefanikiwa kukivuka kivuli cha mzee yusufu makamba, anasimama kwa miguu yake, anajisimamia jambo ambalo sisi wenzake wengi kwa rika alilomo bado tunasumbuka nalo.

Nilidhani vijana wenzangu ambao 5yrs to come tutakuwa wa makamo kidogo tujivunie huyu msambaa kwani kwa maoni yangu ametuwakilisha vyema sana tena akituondolea mauzauza ya ngeleja,maige ,masha vijana kama siye walishindwa kuhudumu accordingly.

Alipo jqnuary panahitaji mbolea yetu kumlinda,kumkuza,kumuombea ili apevuke akiwa imara na muadilifu tena na tena...

Congrats january yusufu makamba, karibu malinyi ...tuijenge tanzania

honera kwa kujiandikia. Vijana kama akina Deo Filikunjombe(RIP ) ndo vijana waliojitambua. Wewe marope umejaaa mijisifa hata uwaziri hutapata labda kwa huruma ya baba yako.....
 
Hawa Wakina Makamba, Nape, Rizwan wamebebwa na majina na ukwasi wa wazazi wao hawana uwezo wowote katika uongozi. .....wapo kwy mbeleko za baba zao....
 
sawa na magufuli nae aliandaliwa...ccm sio ya kina jk ya sasa ni pata potea...keep on dreaming

kishaandaliwa uwaziri wa mambo ya nje na miaka kumi ijayo ndo atakuja kuwa mgombea wa uraisi!!! kila kitu kwenye siasa kimeshapangwa kabla....
 
Back
Top Bottom