January Makamba naamini amepata cha kujifunza

January Makamba naamini amepata cha kujifunza

acha majungu ww....makamba ni president in the making....mliwekewa front kwenye kampeni kama strategy ya kuvutia vijana na pia mumzoee kwenye mambo makubwa ya kichama....ataingia kwa cc ya ccm, atapewa muda wa kukomaa na kuiva and finally mtaletewa kama mgombea urais...

january hawezi kuwa rais unless anajirekebisha ....sidhani kama magufuli anaenda kumpa umuhumi kwenye utawala wale ...although uwaziri anaweza kupata ..
Apunguze sifa na kujionesha
 
Japo siipendi CCM ila ndio ukweli wenyewe, watu wepesi sana kusahau kuwa siasa ni mipango,Makamba hakuwa na uwezo wa kuwa PM kwa sasa hata kwenye mawazo yangu binafsi hakuwa kwenye list.
Ila alikuwa na uwezo wa kuwa raisi?
 
makamba amepigwa za uso hana hamu, Lukuvi pia kala za uso na juzi kati alifukuzwa na magufuli pale ikulu alipoenda kumtambulisha yule muhindi mwizi mfadhili wa ccm

Jamani hivi mkiitwa na TCRA mthibitishe hayo
myasemayo mtakuwa na ushahidi....??
Jamani tuwe na akiba ya maneno.
 
Historia haikosei ni wazir mkuu mmoja tu tena wa Tanganyika ndiye aliweza kua rais wa JMT. Hivyo Makamba kukosa uwaziri mkuu ilipangwa ili aje kupitishwa na ccm 2025 kama mgombea urais wao.

makamba asubiri 2035 kwani 2025 ni zamu yetu wazanzibari
 
january hawezi kuwa rais unless anajirekebisha ....sidhani kama magufuli anaenda kumpa umuhumi kwenye utawala wale ...although uwaziri anaweza kupata ..
Apunguze sifa na kujionesha
Hivi kwa sifa na kujikomba anaweza kumfikia Paulina Makondakta? Maana yule sio kufunga viatu tuu hata kumtawaza mkubwa au mtoto wake kwake sio issue
 
Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.

Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.

Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.

Looh! amekatwa!!
 
Muda atakuwa kakimbilia wataalam wa sayansi nyeusi waisafishe nyota yake asije kuukosa uwaziri wa mawasiliano.
 
makamba amepigwa za uso hana hamu, Lukuvi pia kala za uso na juzi kati alifukuzwa na magufuli pale ikulu alipoenda kumtambulisha yule muhindi mwizi mfadhili wa ccm

Mkuu funguka zaidi kuhusu hilo Hindi.
 
Kelele tu za makanyaboya.. Hakuwahi sema ana shida na u PM.
 
Binadamu ndivyo tulivyo, mtu akifanya kazi yake eti kajipendekeza, January ana malengo yake na wala siyo uwaziri mkuu,,, acha kuanzisha mada za kiumbea na zisizo na msingi kwa nchi yetu

Kama wewe siye Makamba, basi utakuwa mkewe, maana hiyo bidii ya kumtetea si bure!
 
Jamani hivi mkiitwa na TCRA mthibitishe hayo
myasemayo mtakuwa na ushahidi....??
Jamani tuwe na akiba ya maneno.

niitwe naweza kuthibitisha , LUKUVI amefukuzwa IKULU kwa kwenda kumtambulisha muhindi kwa magufuli, weka namba yako hapa nikutumie clip
 
tukiachilia mbali chuki na wivu unaowasumbua yule bwana mdogo j. makamba ni miongoni mwa viongoni vijana wenye uelewa mpana wa mambo na pengine miongoni mwa viongozi wazuri kabisa katika taifa hili.

Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.

Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.

Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.

wamkate na uwaziri
 
Aache haraka na kimbelembele asubiri maana bado mtoto mdogo
 
Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.

Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.

Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.

Alichukulia ule usemi usemao ukiwa karibu na uaridi lazima unukie kumbe hakujua kuwa kukaa karibu na changu sio ticket ya kupata naniliu bure
 
Back
Top Bottom