January Makamba naamini amepata cha kujifunza

January Makamba naamini amepata cha kujifunza

Niliwahi kuandika humu kwamba kwa tabia ya Magufuli, January Makamba na Harrison Mwakyembe hawataingia ktk baraza lake la mawaziri.

Unaibu waziri wa January alioubahatisha ktk awamu ya JK ndiyo ataishia huo huo.

Ni suala la muda, kusubiri na kuona.
 
makamba atakuja kuwa RAIS WA nchi hii ya mazombi?? labda KATIBA YA SASA, NEC, LUBUVA & JECHA viendelee kuishi!!

January ni mpuuzi kabisa HANA UWEZO HATA CHEMBE! Maneno mengi kweny majukwaa na karatasi! uongozi ni vitendo na maono yakinifu, hekima na uwezo kuntu!!

labda aje apitishwe kiboya kama hyu ----- wasaivi wamempitisha! mfyuuuuuuuuuuuuuuuuh...
 
Nimefurahi sana January kukosa uPM. Vibaraka wake wa TOT makalio yamewashuka. Kimbaumbau hana jinsi aendelee kula bure kwa baba.
 
kwani alihisi ataupata? Guys tuache utani na masuala ya Kitaifa..kusimamia makampuni ya simu mashakaaa mnataka apewe portfolio kubwa hivyo? HAPANA.
 
January ni waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa
 
kwa jinsi nnavyomfahamu magufuli, hata huo uwaziri atausikia kwenye redio tu. magufuli hapendi watu wenye kiherehere kama wanawake malaya wa kwa macheni. ataisoma namba safari hii, mammaae zake!
 
Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.

Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.

Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.

Hata uwaziri namwomba Mungu asipate, dogo ana kiherehere sana
 
Back
Top Bottom