Sasa si useme tu ni January Makamba.Unaficha nini.
huyu ni JYM aka kipara ngoto
Kipara Ngoto Songa Ugali Tule
huyu ni JYM aka kipara ngoto
Tunakunywa POMBE, tukigombana tunafanya SULUHU tunategemea MAJAALIWA ya Mola baada ya hapo tunaenda JOB
Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.
Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.
Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.
every politian lazima awe na ambition simlaumu kwa hilo