Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,049
- 1,022
Kwani alikwambia anautaka uwaziri mkuu??? Makamba jembe, kila kitu kinachotokea kimepangwa my bro
hapa kazi tu
Jembe kivipi mkuu?
Kwani alikwambia anautaka uwaziri mkuu??? Makamba jembe, kila kitu kinachotokea kimepangwa my bro
hapa kazi tu
Tunakunywa POMBE, tukigombana tunafanya SULUHU tunategemea MAJAALIWA ya Mola baada ya hapo tunaenda JOB
mimi sijaelewa
mimi sijaelewa
Binadamu ndivyo tulivyo, mtu akifanya kazi yake eti kajipendekeza, January ana malengo yake na wala siyo uwaziri mkuu,,, acha kuanzisha mada za kiumbea na zisizo na msingi kwa nchi yetu
tukiachilia mbali chuki na wivu unaowasumbua yule bwana mdogo j. makamba ni miongoni mwa viongoni vijana wenye uelewa mpana wa mambo na pengine miongoni mwa viongozi wazuri kabisa katika taifa hili.
Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.
Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.
Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.
hivi kweli mnadhani mh. January yusufu makamba hakujua nafadi hii 2015 si yake.? Kwa weredi na uanasiasa wake wazi anaonekana ni mwenye kujitambua kuliko sisi tunaoshangilia tusivovijua, jaji mkuu anatoka tanga, hii ilitosha kukuonyesha wazi january alitqmbua yeye siye ktk nafasi hiyo ya juu ya nchi inayozalishwa na mfumo na si kura za wananchi, tambueni dhamiri yake ya urais ingaliweza kuvuka nguvu ya mfumo kama mwalimu alivyowahi kuhudumu na chief justice nyalali.
January yusufu makamba amejipambanua kwa uaminifu,weredi na utayari wa kuhudumu ndani ya nchi na nje ya nchi kwa nafasi yoyote, amefanikiwa kukivuka kivuli cha mzee yusufu makamba, anasimama kwa miguu yake, anajisimamia jambo ambalo sisi wenzake wengi kwa rika alilomo bado tunasumbuka nalo.
Nilidhani vijana wenzangu ambao 5yrs to come tutakuwa wa makamo kidogo tujivunie huyu msambaa kwani kwa maoni yangu ametuwakilisha vyema sana tena akituondolea mauzauza ya ngeleja,maige ,masha vijana kama siye walishindwa kuhudumu accordingly.
Alipo jqnuary panahitaji mbolea yetu kumlinda,kumkuza,kumuombea ili apevuke akiwa imara na muadilifu tena na tena...
Congrats january yusufu makamba, karibu malinyi ...tuijenge tanzania
Na kweli,"mtu akijipendekeza,et kafanya kazi yake"binadamu hawana jemaBinadamu ndivyo tulivyo, mtu akifanya kazi yake eti kajipendekeza, January ana malengo yake na wala siyo uwaziri mkuu,,, acha kuanzisha mada za kiumbea na zisizo na msingi kwa nchi yetu
Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.
Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.
Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.
huu umbea sasa aliyekwambia makamba alikuwa anautafuta waziri mkuu nani ?Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.
Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.
Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.
Mcpende kujudge watu mliambiwa anataka uwaziri mkuu..... Acheni kujipa pressure makamba anaweza
Makamba hafai kuwa hata waziri. Magufuli akiwatosa yeye pamoja na riz watz watazidi kumwamini na kumuona hatoi vyeo kishkaji