Binadamu ndivyo tulivyo, mtu akifanya kazi yake eti kajipendekeza, January ana malengo yake na wala siyo uwaziri mkuu,,, acha kuanzisha mada za kiumbea na zisizo na msingi kwa nchi yetu
MAKAMBA J,
NAPE
KIGWANGALA
MWINYI
MWIGULU
MWAKYEMBE
hawa ni baadhi ya mawaziri katika baraza jipya litakalotangazwa siku chache zijazo.
ataisoma namba
kishaandaliwa uwaziri wa mambo ya nje na miaka kumi ijayo ndo atakuja kuwa mgombea wa uraisi!!! kila kitu kwenye siasa kimeshapangwa kabla....
tukipigaJob tunaTuliaTunakunywa POMBE, tukigombana tunafanya SULUHU tunategemea MAJAALIWA ya Mola baada ya hapo tunaenda JOB
Mbona urais 2025 ni riz mkwere ndio nasikia ashajiandaa kimasomaso. Full ukoloni na ufalme
Niliskia sehemu kuwa huyu dogo wa mwezi mgumu ndio aliyemuwahisha yule mwenzake mtata bungeni kwa muumba wa vyote sababu eti ndio alikuwa awe mkuu wa jamvi la mawaziri, so akijua kuwa lazima angekabidhiwa hilo jukumu na anavypenda masifa ya kijinga yeye na mwi-gu-lu.
But ajiandae 2025 akipigana vikumbo vzr na riz-moko wakati huo mwenyekiti sijui nae atakuja na majina yake, u never knw hata 2020 maana magufuli naona kama ashakuwa mpweke vile yaani naona kitu kama kitatokea 2020 anaweza kuwekewa mpinzani na akaondoshwa maana hana watu chamani, hakijui chama,hana fweza....(angalieni 2020 miembe na february wnaweza simama dhidi ya magu) hayo tu kwa leo
Najuwa hapa JF wapo watu wazoefu na pia watafiti wa maswala.Nimeenda huko tweeter nikakuta stor za waziri mkuu wa tweeter kakatwa
Nimejaribu kuumiza kichwa nikakosa jibu,Waziri mkuu wa tweeter?
Nikaona nije hapa wataalamu wa maswala ya kisiasa mnaweza kumjuwa na kumweka hadharani na tukajuwa huyu waziri ilikuwa je kubatizwa jina hilo la mtandao huo maarufu.
Ni nani huyo?
Ni fundi wa kutweet sana?
huyu ni JYM aka kipara ngoto