hivi kweli mnadhani mh. January yusufu makamba hakujua nafadi hii 2015 si yake.? Kwa weredi na uanasiasa wake wazi anaonekana ni mwenye kujitambua kuliko sisi tunaoshangilia tusivovijua, jaji mkuu anatoka tanga, hii ilitosha kukuonyesha wazi january alitqmbua yeye siye ktk nafasi hiyo ya juu ya nchi inayozalishwa na mfumo na si kura za wananchi, tambueni dhamiri yake ya urais ingaliweza kuvuka nguvu ya mfumo kama mwalimu alivyowahi kuhudumu na chief justice nyalali.
January yusufu makamba amejipambanua kwa uaminifu,weredi na utayari wa kuhudumu ndani ya nchi na nje ya nchi kwa nafasi yoyote, amefanikiwa kukivuka kivuli cha mzee yusufu makamba, anasimama kwa miguu yake, anajisimamia jambo ambalo sisi wenzake wengi kwa rika alilomo bado tunasumbuka nalo.
Nilidhani vijana wenzangu ambao 5yrs to come tutakuwa wa makamo kidogo tujivunie huyu msambaa kwani kwa maoni yangu ametuwakilisha vyema sana tena akituondolea mauzauza ya ngeleja,maige ,masha vijana kama siye walishindwa kuhudumu accordingly.
Alipo jqnuary panahitaji mbolea yetu kumlinda,kumkuza,kumuombea ili apevuke akiwa imara na muadilifu tena na tena...
Congrats january yusufu makamba, karibu malinyi ...tuijenge tanzania