January Makamba naamini amepata cha kujifunza

January Makamba naamini amepata cha kujifunza

kishaandaliwa uwaziri wa mambo ya nje na miaka kumi ijayo ndo atakuja kuwa mgombea wa uraisi!!! kila kitu kwenye siasa kimeshapangwa kabla....

yaaan hadi waiba mitihan ya form 4 na kufutiwa matokeo wana ndoto za kua waziri kamili achilia mbali uwazir mkuu? HE IS JUST SMART TALKING GUY upstair ni mweupe kabisaaaaa!!!! aje atueleze kwa nn hakujiamin kuingia ktk chumba cha mitihan kwa akili yake hadi akataka kuingia na desa akakamatwa nalo akatimuliwa!!!
 
Alichukulia ule usemi usemao ukiwa karibu na uaridi lazima unukie kumbe hakujua kuwa kukaa karibu na changu sio ticket ya kupata naniliu bure

SITASAHAU ILE SIKU NILIPONENEPESHWA USO GHAFLA NA YULE MDUDU MTENGENEZAJI WA VITU VITAMU(naambiwa nyuki) NILIPOKUWA NACHEZEA UA LA WARIDI KWENYE BUSTANI.
 
Mbona urais 2025 ni riz mkwere ndio nasikia ashajiandaa kimasomaso. Full ukoloni na ufalme
 
Wasitegemee vya bwerere kutika kwa Magufuli. Magufuli haangalii wachonga midomo na wapiga tarumbeta. Anaangalia utendaji.
 
mwaka huu ni mwendo wa surprize tu,..!!! sitoshangaa january kutokuwemo kabxa kwenye ministers cabinet!!! Vivaa jpm!!!!
 
Niliskia sehemu kuwa huyu dogo wa mwezi mgumu ndio aliyemuwahisha yule mwenzake mtata bungeni kwa muumba wa vyote sababu eti ndio alikuwa awe mkuu wa jamvi la mawaziri, so akijua kuwa lazima angekabidhiwa hilo jukumu na anavypenda masifa ya kijinga yeye na mwi-gu-lu.
But ajiandae 2025 akipigana vikumbo vzr na riz-moko wakati huo mwenyekiti sijui nae atakuja na majina yake, u never knw hata 2020 maana magufuli naona kama ashakuwa mpweke vile yaani naona kitu kama kitatokea 2020 anaweza kuwekewa mpinzani na akaondoshwa maana hana watu chamani, hakijui chama,hana fweza....(angalieni 2020 miembe na february wnaweza simama dhidi ya magu) hayo tu kwa leo
 
MAKAMBA J,
NAPE
KIGWANGALA
MWINYI
MWIGULU
MWAKYEMBE
hawa ni baadhi ya mawaziri katika baraza jipya litakalotangazwa siku chache zijazo.
 
Kwenye Maisha kimbelembele hakifai kabisa, kujikweza sana karibu na wakubwa sio tiketi ya kupata wadhifa wa juu.

Nampa pole January Makamba, asubirie Uwaziri tu lakini sio Uwaziri Mkuu.

Wahenga wasema, kukaa karibu na Mahakama sio kujua sheria.

Mie wala sikuweka ktk akili yangu kitu kama hicho, isingewezekana kabisa kwa magufuli labda kwa awamu ya 4. Huyu jamaa huwa hapendi vimbelembele
 
ila acheni uchochezi na kiherre here aliwahi kuandika wapi anapigania uwaziri mkuu? ili chama kishinde lazima kuwe na watu wanaohakikisha zoezi la kampeni linaenda vizuri kwakujitoa
 
makamba amepigwa za uso hana hamu, Lukuvi pia kala za uso na juzi kati alifukuzwa na magufuli pale ikulu alipoenda kumtambulisha yule muhindi mwizi mfadhili wa ccm
Kitufe cha like sikioni.
 
MAKAMBA J,
NAPE
KIGWANGALA
MWINYI
MWIGULU
MWAKYEMBE
hawa ni baadhi ya mawaziri katika baraza jipya litakalotangazwa siku chache zijazo.
Hamna lolote.Hiyo ni orodha ya watu watafuta misifa.Katika baraza la mawaziri tegemea watu waungwana wasio na majina makubwa ila wachapakazi zaidi na makelele machache.
 
Binadamu ndivyo tulivyo, mtu akifanya kazi yake eti kajipendekeza, January ana malengo yake na wala siyo uwaziri mkuu,,, acha kuanzisha mada za kiumbea na zisizo na msingi kwa nchi yetu

Nakubaliana na wewe mia kwa mia.Mleta mada ana umbea na fitina za mitaani mitaani.
 
Back
Top Bottom