Nakumbuka siku ameingia ofisini alisema umeme ukikatika meneja wa eneo hilo hana kazi. Jambo la kushangaza toka ameingia ofisini umeme umezidi kukatika kuliko alivyokuwa Kalemani.
Mbagala kila umeme unakatika bila hata taarifa sijasikia meneja kafukuzwa kama sio muongo na mnafiki tumuiteje?
Meneja kufukuzwa sio suluhisho la tatizo. Tatizo ni miundombinu ya umeme mibovu kila mahali nchi hii lakini mabosi wa hao mameneja ndio shida na wako busy kula keki ya nchi
Meneja kufukuzwa sio suluhisho la tatizo. Tatizo ni miundombinu ya umeme mibovu kila mahali nchi hii lakini mabosi wa hao mameneja ndio shida na wako busy kula keki ya nchi