kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Bila kumung'unya maneno na unafiki Makamba acha kuhujumu Tanesco. Wewe ndio muhujumu nambari moja wa shirika kwa kushirikiana na watu wako
Unamiliki biashara za majenereta na mafuta. Una share kwenye makampuni ya kuingiza mafuta hapa Tz
Taifa gas napo nasikia una percentage yako ndio maana ulifanya ziara ya kugawa mitungi ya gesi kumbe ni ajenda zako binafsi
Huu umeme unakatika hivi kwasababu ya ajenda za Makamba anafanya biashara katengeneza tatizo la mgao ili anufaike na apige hela
Wewe sio mzalendo hata kidogo ni mtu usiyefaa kabisa kuongoza hiyo wizara ni aibu sana kwa mtu kama wewe kuendelea kuaminiwa kwa kupewa wizara nyeti kama hizo.
Shame on you mimi sio mnafiki wala simungunyi maneno, unastahili kuchunguzwa na kufunguliwa mashtaka ya uhujumu uchumi
Nimeandika na sifuti, mimi sio chawa au mchumia tumbo wa mtu yoyote kwa maana sipendag unafiki ukweli ni lazima usemwe
Unamiliki biashara za majenereta na mafuta. Una share kwenye makampuni ya kuingiza mafuta hapa Tz
Taifa gas napo nasikia una percentage yako ndio maana ulifanya ziara ya kugawa mitungi ya gesi kumbe ni ajenda zako binafsi
Huu umeme unakatika hivi kwasababu ya ajenda za Makamba anafanya biashara katengeneza tatizo la mgao ili anufaike na apige hela
Wewe sio mzalendo hata kidogo ni mtu usiyefaa kabisa kuongoza hiyo wizara ni aibu sana kwa mtu kama wewe kuendelea kuaminiwa kwa kupewa wizara nyeti kama hizo.
Shame on you mimi sio mnafiki wala simungunyi maneno, unastahili kuchunguzwa na kufunguliwa mashtaka ya uhujumu uchumi
Nimeandika na sifuti, mimi sio chawa au mchumia tumbo wa mtu yoyote kwa maana sipendag unafiki ukweli ni lazima usemwe