Jana shetani alirudi na flight ya jioni.

Jana shetani alirudi na flight ya jioni.

Hehehehee

Mida ya saa kumi na mbili hivi kuelekea saa moja kamili si ndo ile ndege ikatua, jamaa kashuka zake baada ya kuwa break mwezi mzima.

Aisee sio kwa ufuska nilioona jana, ngoja niishie hapo ila kabla sijaishia hapo walau niseme kisa kimoja.

Nilikua club moja hapahapa mjini baada ya kutoka club X sababu palikua pamejazana machoko. Kule sasa sijatulia ikaingia team ya kanga moko, aisee hii kufuru ni hatari hata sijui niisimulie vipi.
Kwakweli shida sana
 
Nilikua club moja hapahapa mjini baada ya kutoka club X sababu palikua pamejazana machoko. Kule sasa sijatulia ikaingia team ya kanga moko, aisee hii kufuru ni hatari hata sijui niisimulie vipi.
Halafu muache uchokozi.

Ina maana hao hawakuonekana mwezi mzima mpaka ndege iliporejea na mteja wao. Walikuwa wanamkaribisha!!!!😎😎😎
 
Back
Top Bottom