JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

😂😂😂😂 Hiki ndo kinanifanya nisihame jf

Yaani niwape wapinzani The Icebreaker ephen_ na binti kiziwi bila kusahau Lamomy point 3 kibindoni..l?

Naona kuna huyu mpy Fake P Mwambie I dawa yake iko jikoni. Infact mnanijua nyote mimi sio mtu wa mzaha mzaha..

Mimi nikikukalia kooni na hakikisha mavi yanakutoka, Sina huruma
 
Sasa si umchukulie kama kijana wako mwenyewe matatizo ya akili...
Huyu Dogo mwanzoni kabisa nilimpa mbinu za kuendesha mijadala ya nyuzi zake na jinsi ya kuishi humu,akakaza fuvu,

Sasa hivi tonge la moto limemkaa kooni,hawezi kulimeza wala hawezi kulitema,mbele moto,nyuma moto kama Mbuzi aliyelamba chuma cha Reli.
 
Huyu Dogo mwanzoni kabisa nilimpa mbinu za kuendesha mijadala ya nyuzi zake na jinsi ya kuishi humu,akakaza fuvu,

Sasa hivi tonge la moto limemkaa kooni,hawezi kulimeza wala hawezi kulitema,mbele moto,nyuma moto kama Mbuzi aliyelamba chuma cha Reli.
Kwa Imani yangu na malezi na mafunzo yote siruhusiwi kumcheka Wala kumdhihaki mtu mwenye matatizo ya akili popote napokutana nae..
Halafu Bado sijazaa kwakweli,
 
😂😂😂😂 Hiki ndo kinanifanya nisihame jf

Yaani niwape wapinzani The Icebreaker ephen_ na binti kiziwi bila kusahau Lamomy point 3 kibindoni..l?

Naona kuna huyu mpy Fake P Mwambie I dawa yake iko jikoni. Infact mnanijua nyote mimi sio mtu wa mzaha mzaha..

Mimi nikikukalia kooni na hakikisha mavi yanakutoka, Sina huruma
Mzee una hekaheka kama nesi wa zamu
 
Back
Top Bottom