ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 20,090
- 73,759
MasikharaKumbe ni Mwanamke! Nikajua ni Me.
MasikharaKumbe ni Mwanamke! Nikajua ni Me.
Inshallah..😍😍 japo najua unaweza amka ukarudi tena🤣🤣🤣kwa kweli hebu ni sign out nisianze kuandika vitu visivyo kuwepo,, see you tomorrow inshallah hom G 🥰🥰
Udc nilijua hawezi kupewa! Nilikua navizia mchele wa mbeyaAlikua anamvizia Lucas apate u DC ..kumbe Lucas nae hamna kitu Akaamua amuachie manyoya
hapan hii ni gudbai ya ukweli ukweli😀😀Inshallah..😍😍 japo najua unaweza amka ukarudi tena🤣🤣🤣
Eee! Fake p ni mwanamke
Uzee unakujia vibaya.
Penzi letu ni la urafiki
Hivyo hivyo tu twendeni .. wote tunaharaka.Kumbe ni Mwanamke! Nikajua ni Me.
Ulivyomuoga wewe 🤣🤣🤣Kuna sehemu pa kupumzika utanipeleka nikalale siku ngapi?
Hili jambo nalichelewesha mwenyewe
Gudbai zenu za mawazo sana kama yule gunerhapan hii ni gudbai ya ukweli ukweli😀😀
Umenibamba! Kimoyomoyo nimesema mbona sijioni nikienda vacation na fake p😂Ulivyomuoga wewe 🤣🤣🤣
Ngoja niangalia VAR ili nipate uhakika.Hivyo hivyo tu twendeni .. wote tunaharaka.
🤣🤣🤣 Uoga tu...!Umenibamba! Kimoyomoyo nimesema mbona sijioni nikienda vacation na fake p😂
Guner yule ni Kichaa aliyekataliwa mpaka na matibabu,yani matibabu yamesema huyu hatibiki hatumuwezi.Gudbai zenu za mawazo sana kama yule guner
Ni kama drone za Ukraine hazionekani na radar zozote ... Nipo hapa 🤣🤣🤣Ngoja niangalia VAR ili nipate uhakika.
Unamtafuta maneno😂Guner yule ni Kichaa aliyekataliwa mpaka na matibabu,yani matibabu yamesema huyu hatibiki hatumuwezi.
🤣🤣🤣🤣🤸🤸 Hali ya ugonjwa ni mbaya kuliko inavyosimuliwa yaniGuner yule ni Kichaa aliyekataliwa mpaka na matibabu,yani matibabu yamesema huyu hatibiki hatumuwezi.
Hakuna sehemu uliandika mume wako asipokupiga makofi husikii raha?🤔Ni kama drone za Ukraine hazionekani na radar zozote ... Nipo hapa 🤣🤣🤣
Mume whooooooooHakuna sehemu uliandika mume wako asipokupiga makofi husikii raha?🤔
Aje tu,mimi napenda ugomvi kuliko kula,Unamtafuta maneno😂
Hapo anadhurura jukwaani anatafuta mtu wa kugombana nae.
Mimi alinitukana jukwaani sikumjibu, nikakuta kanitumia pm za matusi sikumjibu baadae akaniuliza "mbona kimya hujibu chochote"🤣 Hapo nikahitimisha yule ni mwendawazimu de Gunner
Yule anaonekana ana ukishua flani hivi! Huoni dady nyingiAje tu,mimi napenda ugomvi kuliko kula,
Uwendawazimu wake unakolezwa na maisha magumu anayo yapitia,kajamaa kanaonekana kanashindia Popcorn na juice ya miwa.
Hakuna ukishua hapo,huo ukichaa wake ni ukichaa wa dhiki.Yule anaonekana ana ukishua flani hivi! Huoni dady nyingi
Sasa si umchukulie kama kijana wako mwenyewe matatizo ya akili...Hakuna ukishua hapo,huo ukichaa wake ni ukichaa wa dhiki.