JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Attachments

  • 1000143332.jpg
    1000143332.jpg
    22.8 KB · Views: 3
Guner yule ni Kichaa aliyekataliwa mpaka na matibabu,yani matibabu yamesema huyu hatibiki hatumuwezi.
Unamtafuta maneno😂
Hapo anadhurura jukwaani anatafuta mtu wa kugombana nae.

Mimi alinitukana jukwaani sikumjibu, nikakuta kanitumia pm za matusi sikumjibu baadae akaniuliza "mbona kimya hujibu chochote"🤣 Hapo nikahitimisha yule ni mwendawazimu de Gunner
 
Unamtafuta maneno😂
Hapo anadhurura jukwaani anatafuta mtu wa kugombana nae.

Mimi alinitukana jukwaani sikumjibu, nikakuta kanitumia pm za matusi sikumjibu baadae akaniuliza "mbona kimya hujibu chochote"🤣 Hapo nikahitimisha yule ni mwendawazimu de Gunner
Aje tu,mimi napenda ugomvi kuliko kula,

Uwendawazimu wake unakolezwa na maisha magumu anayo yapitia,kajamaa kanaonekana kanashindia Popcorn na juice ya miwa.
 
Back
Top Bottom