Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 12,973
- 25,580
Shem ujue unaniuzi sasa,kwahiyo unapenda maumivu au ,tumia dawa kikamilifu hiyo ni kwa ustawi wako wewe mwenyewehuwa natumia za hosp sema sifuatishi dose ni mpka niumwe kama hivi ndo nakumbuka dawa, yan sipendi kunywa dawa kabisa