Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 12,973
- 25,571
Mambo ya shem kuanzia leo tupa kule,,it's me and you now, umeshindaje mpendwashem ake ☺️ uko poa?
Kila kitu kwenye ulimwengu kina mwisho, hata ulimwengu wenyewe.hivi kwanini watu wanakufa?, kuna siri gani nyuma ya kifo maana kati ya madaktari wote duniani kwanini hakuna hata mmoja aloweza kuvumbua chanzo cha kuzuia mtu asife?,
mbona wameweza kubadilisha viungo vya mwili wa binadam kwanini wameshindwa kubadili hako ka kitu kanako sababisha mtu anakufa?
Duh ndiyo uwe mbogo hivi 🙌Mambo ya shem kuanzia leo tupa kule,,it's me and you now, umeshindaje mpendwa
kabla sijatupa kule kuna nini kati yenu au hautaki ushem wa mchongo?Mambo ya shem kuanzia leo tupa kule,,it's me and you now, umeshindaje mpendwa
mmefanyanaje Kwani mbona last time tuliishia pazuriDuh ndiyo uwe mbogo hivi 🙌
Nakumbuka mara yangu ya kwanza kuona maiti. Nilikuwa na miaka 13. Kuna mwalimu alifariki shuleni mwili wake ukaletwa tumuage.kwanini kifo hakizoeleki
0015
Please we elewa tu hivyo win,mambo mengine yaache kama yalivyokabla sijatupa kule kuna nini kati yenu au hautaki ushem wa mchongo?
aiseee basi sawa ngoja nilale zangu, nitarudi kesho hizi habari zimenitia simanzi,, nilikua naipenda couple yenu mno😪Please we elewa tu hivyo win,mambo mengine yaache kama yalivyo
Wachawi hata jf wapo,wameshafanya yao mumy, but it's okay life has to move onaiseee basi sawa ngoja nilale zangu, nitarudi kesho hizi habari zimenitia simanzi,, nilikua naipenda couple yenu mno😪
shem upo serious au unatania?,, unanichanganya ujueWachawi hata jf wapo,wameshafanya yao mumy, but it's okay life has to move on
Kumbe huwa mnatupiana ndoano za usiku usiku...mmefanyanaje Kwani mbona last time tuliishia pazuri
Mbona bado tupo pazuri mahi 😂😂mmefanyanaje Kwani mbona last time tuliishia pazuri
si ndio😅😅Kumbe huwa mnatupiana ndoano za usiku usiku...
Mambo ya giza giza.
sa mbona shem anasema wachawi wa JF washakuroga😟Mbona bado tupo pazuri mahi 😂😂
abee tresor
Naona uko vzr,nasoma chattingabee tresor
ndio niko vizuri kabisa,,, sawa hamna shida soma tuNaona uko vzr,nasoma chatting