ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,239
- 40,780
Uko poa mkuuLeo ShesRise_1 na win-one upo wapi mtaa ume poa kweli
Uko poa mkuuLeo ShesRise_1 na win-one upo wapi mtaa ume poa kweli
Niko poa, vipi weweUko poa mkuu
Kheri kabisa siku inaishia ishiaNiko poa, vipi wewe
Mbona kinyonge hivyo unaumwa au uchovuKheri kabisa siku inaishia ishia
Hakuna wala nipo okay mbonaMbona kinyonge hivyo unaumwa au uchovu
Ndio, andika zile nyuzi zako za kufikirisha weka kule, huwa una idea nzuri zinafaa kukaa kule ingawa zinaweza kuwa na wachangiaje wachache ila ni reply za kisomi zaidiHakuna wala nipo okay mbona
Hivi dosho12 uliwahi kuniambia nipandishe uzi kule jamii intelligence?
Nimeandika uzi aisee nime andika wee kila nikiandika na delete naona bado mwisho nikaona okayNdio, andika zile nyuzi zako za kufikirisha weka kule, huwa una idea nzuri zinafaa kukaa kule ingawa zinaweza kuwa na wachangiaje wachache ila ni reply za kisomi zaidi
nipo sema leo niko tight kidogo jiraniLeo ShesRise_1 na win-one upo wapi mtaa ume poa kweli
Ndio huwa ipo hivyo ukiandika huko, inachukua muda uzi wako kuachiwa nahisi huwa wana ureview kwanzaNimeandika uzi aisee nime andika wee kila nikiandika na delete naona bado mwisho nikaona okay
Heh napost naambiwa mpaka moderator apitishe tangu muda huo mpka now kimyaa!
Naam vitu vizuri hiviHahaha pole sana mshtue le bebez, mimi nazipenda hizoo😍😍kesho naingalia Vincenzo Jr naye si haba mambo yetu haya!💃🏽
Ok, next time, usiku mwemanipo sema leo niko tight kidogo jirani
Kweli kabisa no mtihani sana kwakweli95% ya wanaume wanakufa kwasababu ya stress za ndoa .
kwako pia dosho sleep well🥰Ok, next time, usiku mwema
Ahaa basi sawa ukiruhusiwa nikuoneNdio huwa ipo hivyo ukiandika huko, inachukua muda uzi wako kuachiwa nahisi huwa wana ureview kwanza
FactSina takwimu hyo ni observable, na sidhani kama inahitaji kua calculated.
SawaAhaa basi sawa ukiruhusiwa nikuone
The rest muachie mungu mama 😊hivi kwanini watu wanakufa?, kuna siri gani nyuma ya kifo maana kati ya madaktari wote duniani kwanini hakuna hata mmoja aloweza kuvumbua chanzo cha kuzuia mtu asife?,
mbona wameweza kubadilisha viungo vya mwili wa binadam kwanini wameshindwa kubadili hako ka kitu kanako sababisha mtu anakufa?
najitahidiThe rest muachie mungu mama 😊