de Gunner
JF-Expert Member
- Nov 2, 2021
- 10,607
- 21,133
Hapana kwa kweli endeleeni tu.Nafurahi kaka ,karibu tukeshe pamoja ,je unaweza kuroga ? Au kuna haja nikufunze kiasi ?
Hapana kwa kweli endeleeni tu.Nafurahi kaka ,karibu tukeshe pamoja ,je unaweza kuroga ? Au kuna haja nikufunze kiasi ?
oooh sawa sio mbaya pia kama umeridhiaHome ? Nina home sasa mwenzio ni hapa hapa kwenye vyumba wanaita vya wageni ,nitalala soon usiwaze
Hivyo win ,kwanini unasema nikalale unahitaji Kulala pia ?oooh sawa sio mbaya pia kama umeridhia
Sikuwahi kuwaza kama na wewe ni muoga ,sawa bro nice to see youHapana kwa kweli endeleeni tu.
ndio ikifika na dakik 30 naondoka zangu ila pia nataka nikuepushe na hao vijana wa misuriHivyo win ,kwanini unasema nikalale unahitaji Kulala pia ?
Eti vijana wa misuli 😀 , hawa nawaweza maana hata mimi kabla sijawa mtu mzima nilikuwa navaa sana misuli nikiwa napunga upepo nyumbanindio ikifika na dakik 30 naondoka zangu ila pia nataka nikuepushe na hao vijana wa misuri
ooh kumbe familia?,,, basi poaa mtu wangu mi napumzika zangu, uwe na wakati mwemaEti vijana wa misuli 😀 , hawa nawaweza maana hata mimi kabla sijawa mtu mzima nilikuwa navaa sana misuli nikiwa napunga upepo nyumbani
Halali mtu mpaka tujue barua ni shinikizo au ni maamuzi binafsi ya wadudu kula asali hiihey wazee mmembonji?
Kwako pia winooh kumbe familia?,,, basi poaa mtu wangu mi napumzika zangu, uwe na wakati mwema
ila nikukumbushe mda gani kuhusu kreti? si unajua weekend inaanza kesho eeh💃😅
sawa byee nitakuja kweny huu uzi kukuitaKwako pia win
Asubuhi na mapema tu
Sawa sawasawa byee nitakuja kweny huu uzi kukuita
ohooo,mkuu kwani kutakuwa na tamko mida hii?Halali mtu mpaka tujue barua ni shinikizo au ni maamuzi binafsi ya wadudu kula asali hii
Pombe tu kaka naelewa chochote basiohooo,mkuu kwani kutakuwa na tamko mida hii?
hakika mzee, ila semanini,tupige kazi tupelekee familia mkate wa kila siku na kujipa laha wenyewe kama hivo mkuu, mana siasa zetu ukizifikilia sana unaweza kupata sonona,Pombe tu kaka naelewa chochote basi
Ni hatari mkuu ,kikubwa kupambana na mitikasi yako tu maana siasa ni hatati mno .hakika mzee, ila semanini,tupige kazi tupelekee familia mkate wa kila siku na kujipa laha wenyewe kama hivo mkuu, mana siasa zetu ukizifikilia sana unaweza kupata sonona,
Kumbe.01:48