JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Sheikh koyoga jau nilipomsimulia kaanza kucheka eti na wewe unaibiwa ? Ananipanga eti siku nyingine nipite kwa fundi viatu upande wa pili kule nimuachie viatu aendelee kubrashi na mimi nivae zile ndala zenye rangi tofauti nizame msikitini
😂😂😂😂 Mkuu fata mbinu niliyokuambia... Unaweka kimoja huku kingine kule basi hapo unyama.

Mambo ya kwenda kwa fundi NI kuaribu ratiba ya pesa

Sema pole sana aiseee mi nawajua watoto wa hapo wote ningekuepo basi mapema ungepata
 
hapendi ninywe maana huwa nazima kwa flying fish mbili tu🤣 wengine wakinywa wanapata mood ya kuchangamka ila mimi napata usingizi mzito yani mambo inakua taflani

hiyo pesa ya kreti fanya,kunitumia kwa lipa namba😜,,,
Hakika bado mgeni kama ugimbi unakupeleka usingizini haujazoea .

Shida mawakala nawakuta wapi usiku huu ewe mpenda unene ?
 
😂😂😂😂 Mkuu fata mbinu niliyokuambia... Unaweka kimoja huku kingine kule basi hapo unyama.

Mambo ya kwenda kwa fundi NI kuaribu ratiba ya pesa

Sema pole sana aiseee mi nawajua watoto wa hapo wote ningekuepo basi mapema ungepata
Nakubali kaka ,ila nitarudi kuvitafuta hata kama mwezi utaisha lazima nivipate japo nilipata fununu kuna mtu walimuona ni kama alivibeba alipanda vile vigari vya kwenda inyala ila naapa nitampata tu
 
Hakika bado mgeni kama ugimbi unakupeleka usingizini haujazoea .

Shida mawakala nawakuta wapi usiku huu ewe mpenda unene ?
kwani huko kwenu saivi ni usiku sana? mbon mi nilipo ndo kwanzaaa mama ntilie washaanza kuchemsha supu na mihogo🤣🤣

ndio mimi ni mgeni kabisa enyew nazimua mara moja kwa mwezi tu
 
kwani huko kwenu saivi ni usiku sana? mbon mi nilipo ndo kwanzaaa mama ntilie washaanza kuchemsha supu na mihogo🤣🤣

ndio mimi ni mgeni kabisa enyew nazimua mara moja kwa mwezi tu
Ni usiku kiasi chake maana barabara zote ziko tupu ni kelele za hapa nilipo na wapiga ugimbi
 
Nakubali kaka ,ila nitarudi kuvitafuta hata kama mwezi utaisha lazima nivipate japo nilipata fununu kuna mtu walimuona ni kama alivibeba alipanda vile vigari vya kwenda inyala ila naapa nitampata tu
Duuuh we jamaa acha basi...
😂😂😂😂 Mzee dingi anafanya kazi inyala sasa kama unataka tupigane live humu basi takiwasha na siogopi mtu
 
Niombee niwe hai ,maana dunia inazunguruka hapa nilipo watu nawaona wafupi mno ,eti wanaitana Ami ami yaani nacheka mimi kweli kweli
ni kwamba umekolea ugimbi au?😆,, sasa ami ami ndo majina ya wapi yarabi

naona ushaanza kuleta visingizio vya kuwa hai kwan umeskia wapi unataka kutolewa uhai😏,,
 
Night owl 🦉 kama kawaida yangu naendelea kula chakula cha ubongo

IMG_20260807_011428.jpg

The world is soo quite hadi raha..
 

Attachments

  • IMG_20260807_011428.jpg
    IMG_20260807_011428.jpg
    510.8 KB · Views: 4
ni kwamba umekolea ugimbi au?😆,, sasa ami ami ndo majina ya wapi yarabi

naona ushaanza kuleta visingizio vya kuwa hai kwan umeskia wapi unataka kutolewa uhai😏,,
Relax win ,lazima upate muamala ,wanaitana ami ami sasa mimi nashangaa ya mwanaume kuingia bar na msuli ,yarabi
Inachekesha na kuogopesha
 
Relax win ,lazima upate muamala ,wanaitana ami ami sasa mimi nashangaa ya mwanaume kuingia bar na msuli ,yarabi
Inachekesha na kuogopesha
haya ndo mambo sasa🥰 ole wako unisaliti nitakususa😆😆

sikuhizi wanaita ndo fashion wameend mbali na kusema aibu utaona wew😀😀😀😀 Haya toka hapo uende home ukapumzishe fuvu
 
haya ndo mambo sasa🥰 ole wako unisaliti nitakususa😆😆

sikuhizi wanaita ndo fashion wameend mbali na kusema aibu utaona wew😀😀😀😀 Haya toka hapo uende home ukapumzishe fuvu
Home ? Nina home sasa mwenzio ni hapa hapa kwenye vyumba wanaita vya wageni ,nitalala soon usiwaze
 
Back
Top Bottom