Upo in love with usiku wa mananeeesijui kilicho nifanya nikapenda huu uzi ni kipi,, nishashindwa ku moveon nifocus na nyuzi nyingine
Tulia mkuu tuNataka kampani ya member mwenzangu wa jf leo. Taja kiwanja ambacho upo nije
Kukutana na wanajf kuna vibe lake. Kuna siku tumekutana members watatu halafu wote hatujuani id zetu. Ilikua moment nzuri sana maana lile vibe utafikiri washkaji wa siku nyingi kumbe ndio mara ya kwanza kuonana hatujuani hata majinaTulia mkuu tu
Hujataka kujua wewe nani na wewe nani anyway piga mziga mkuu hata mwenyeweKukutana na wanajf kuna vibe lake. Kuna siku tumekutana members watatu halafu wote hatujuani id zetu. Ilikua moment nzuri sana maana lile vibe utafikiri washkaji wa siku nyingi kumbe ndio mara ya kwanza kuonana hatujuani hata majina
Sabato hii00:16 Daslamu
Wewe ni msabato 😂😂Sabato hii
Msabato hapa😂😂Wewe ni msabato
SafiiiMsabato hapa😂😂
Wanaume hatuulizanagi majina. Urafiki wetu huwa tunajuana majina mbele kwa mbeleHujataka kujua wewe nani na wewe nani anyway piga mziga mkuu hata mwenyewe
Oohh safi kabisaWanaume hatuulizanagi majina. Urafiki wetu huwa tunajuana majina mbele kwa mbele
Unakaa karibu na Aic Changombe wale walioimba usiku wa manane😃😃😃sijui kilicho nifanya nikapenda huu uzi ni kipi,, nishashindwa ku moveon nifocus na nyuzi nyingine