JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

kama uwezo wangu ni magimbi na mihogo nitafanyaje sasa😪😪
Mh sio kweli Win .
Basi hiyo hiyo mihogo ila ikule kila mara usiruhusu hata mara moja kuhisi njaa ,yaani wewe ni kula tu ,ukipigiwa simu baada ya kukata ,kula

Ukipiga umbea kidogo uwe na likipande la muhogo unalisukuma ado ado yaani mpaka taya za meno ziume kwa shughuli ya uchakataji
 
Mh sio kweli Win .
Basi hiyo hiyo mihogo ila ikule kila mara usiruhusu hata mara moja kuhisi njaa ,yaani wewe ni kula tu ,ukipigiwa simu baada ya kukata ,kula

Ukipiga umbea kidogo uwe na likipande la muhogo unalisukuma ado ado yaani mpaka taya za meno ziume kwa shughuli ya uchakataji
we unataka nifutuke sasa niwe kama nguruwe 😆😆😆 ndo kula gani hiyo jamni,, kwanza kula chakula kimoja masaa mengi au kila siku kinachosha mno
 
we unataka nifutuke sasa niwe kama nguruwe 😆😆😆 ndo kula gani hiyo jamni,, kwanza kula chakula kimoja masaa mengi au kila siku kinachosha mno
Basi njoo huku kwenye kukata ugimbi ,yaani bia mbili na nyama kilo moja ,hiyo haipiti hata wiki mbili tutashindwa kujua mbele ni wapi na nyuma ni wapi hivyo iblnabidi upige hivyo huku unafanya mazoezi ya kukata tumbo
 
Basi njoo huku kwenye kukata ugimbi ,yaani bia mbili na nyama kilo moja ,hiyo haipiti hata wiki mbili tutashindwa kujua mbele ni wapi na nyuma ni wapi hivyo iblnabidi upige hivyo huku unafanya mazoezi ya kukata tumbo
hapo kweny mazoezi ni mvivu wa kutupwa labda nipate mtu wa kunivuruta mpaka gym🤣,, pekeangu siwezi aseee

mi sio mnywaji ndo najifunza yani bia mbili nishalewa naanza kusinzia
 
Jana nimeibiwa viatu vyangu hapa msikiti wa uyole ,hivi unaweza kuwa unawajua vibaka wa hapa nianze kupita kuwaomba wanirudishie viatu vyangu ?

Maana nilipewa zawadi na shemeji
Ahahahahha we jau..
Inakuaje ukaweka viatu pamoja.

Sheria ukivua viatu msikitini kimoja weka kuleeeeeeee
Kingine wekaaaa kuleeeee an hata huyo mwizi mpaka aanze kutafuta tayari watu washafika 😂😂😂😂

Ngoja nimcheki hapa shekhe koyoga anaweza kukusaidia ahahah
 
hapo kweny mazoezi ni mvivu wa kutupwa labda nipate mtu wa kunivuruta mpaka gym🤣,, pekeangu siwezi aseee

mi sio mnywaji ndo najifunza yani bia mbili nishalewa naanza kusinzia
Wewe huna gharama kama bia mbili tayari ,basi asubuhi njoo zenji ,nikubebeshe kreti mbili ukanywe mwezi mzima .

Basi uweke zoezi la kila ukinywa ukutane na shemeji afanye yake huku kiuno kikiwa kinakatwa haswa ili usije kukosa umbo halisia kwa ugimbi
 
Ahahahahha we jau..
Inakuaje ukaweka viatu pamoja.

Sheria ukivua viatu msikitini kimoja weka kuleeeeeeee
Kingine wekaaaa kuleeeee an hata huyo mwizi mpaka aanze kutafuta tayari watu washafika 😂😂😂😂

Ngoja nimcheki hapa shekhe koyoga anaweza kukusaidia ahahah
Sheikh koyoga jau nilipomsimulia kaanza kucheka eti na wewe unaibiwa ? Ananipanga eti siku nyingine nipite kwa fundi viatu upande wa pili kule nimuachie viatu aendelee kubrashi na mimi nivae zile ndala zenye rangi tofauti nizame msikitini
 
Wewe huna gharama kama bia mbili tayari ,basi asubuhi njoo zenji ,nikubebeshe kreti mbili ukanywe mwezi mzima .

Basi uweke zoezi la kila ukinywa ukutane na shemeji afanye yake huku kiuno kikiwa kinakatwa haswa ili usije kukosa umbo halisia kwa ugimbi
hapendi ninywe maana huwa nazima kwa flying fish mbili tu🤣 wengine wakinywa wanapata mood ya kuchangamka ila mimi napata usingizi mzito yani mambo inakua taflani

hiyo pesa ya kreti fanya,kunitumia kwa lipa namba😜,,,
 
Back
Top Bottom