Leo mimi na wake zangu wote 2 tunasherehe na baadhi ya majirani na ndugu,hatujalala tunakula na kunywa,kwa kumuaga mke wangu wa 2 ambae anarejea Marekani ambako ndio anaishi kwa sasa.Ni furaha kubwa mno,Mungu azidi kutupa furaha na amani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.