Ertugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 12,953
- 25,532
Duh poleni sana Tanesco wamefanya yao tayarHuku Giza Now....
Duh poleni sana Tanesco wamefanya yao tayarHuku Giza Now....
Kabisa 👀Duh poleni sana Tanesco wamefanya yao tayar
Are sure my dear,mbona kuna bonge la bandiko nishatupiaSafii sijaona waraka leo
Poleni sanaKabisa 👀
yani acha tu ndugu yangu😆 na wew una kumbukumbu khaaa 🖖Ya business za usiku,halafu wababa kabla hawaja nunua huwauliza wake zao je wachukue mzigo au laa,hapo ndio wanapo kukera
Ni tag pleaseAre sure my dear,mbona kuna bonge la bandiko nishatupia
Kusahau hiyo vipiiiiyani acha tu ndugu yangu😆 na wew una kumbukumbu khaaa 🖖
ni kusahau tu😅😅😅Kusahau hiyo vipiiii
Ila wewe ungefaa sana kwenye comedy huwa nakusoma sehemu mbali mbali humu jf,una ukomedi flan hv so amazing sana ujueni kusahau tu😅😅😅
weee kwahiyo huwa unani FUATILIA KWA UKARIBU SANA😀😀😀,,,Ila wewe ungefaa sana kwenye comedy huwa nakusoma sehemu mbali mbali humu jf,una ukomedi flan hv so amazing sana ujue
Yep huwa napenda nice people wenye vibe la kwenda,huwa nainjoy kukusoma ,maisha yenyewe mafupi hard feelings za niniweee kwahiyo huwa unani FUATILIA KWA UKARIBU SANA😀😀😀,,,
kiukweli mimi sinaga hard feelings napenda utani na ugomvi ila ugomvi usiwe kwangu😅😅
basi mi nawew tunaendana kabisa ert....Yep huwa napenda nice people wenye vibe la kwenda,huwa nainjoy kukusoma ,maisha yenyewe mafupi hard feelings za nini
Ila hilo la kupenda ugomvi halafu usiwe kwako hiyo vipiii sasa😂😂😂
Dah huwa napenda sana battles za wadau humu ndani,ila zisiwe za matusi,basi napiga kimya nafuatilia mtanange, kwangu buruuuudan kabisa🤣🤣basi mi nawew tunaendana kabisa ert....
yani napenda mashengesha ya watu mfano ice agombane na mtu mi nakaa pembeni kama mtazamaji nikichukua notce😅😅 ila sipendi ule ugomvi mkubwa wa mapanga just kuchambana kwa utani nafurahi mnooo😄
mi pia😄😄😄,,, sana sana ule utani wa kina adrz au kubwa la maadui huwa unanipa rahaDah huwa napenda sana battles za wadau humu ndani,ila zisiwe za matusi,basi napiga kimya nafuatilia mtanange, kwangu buruuuudan kabisa🤣🤣
2350Hours2348 leo nina hasira sana natamani nipate mtu wa kugombana nae nitoe nyongo
512350Hours
naomba tugombane