win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 9,133
- 31,156
nitajaribu😜Kunibembeleza utaweza?🌚
alafu nimekumbuka kitu
nitajaribu😜Kunibembeleza utaweza?🌚
Enhe, kitu gani hicho?nitajaribu😜
alafu nimekumbuka kitu
Eeehadui yako hatoki mbali wanetu msisahau hilo 0015
ndioEeeh
Ila wewe mchokozi wewe🤣ushamaliza kusoma? tuliwahi kupeana ahadi za kuja mbeya kwenye mahafari🤭😄 ila naamini ushasahau
kilicho kukimbiza ni kipi au ulichoka maparachichi😄😄😄Ila wewe mchokozi wewe🤣
Nilikimbia mbio mbio sikutaka kubaki kule kabisa.
Unaweza ukanipongeza tu hamna shida🌚
Ningebaki kule ungenifuata kwenye lile vumbi?kilicho kukimbiza ni kipi au ulichoka maparachichi😄😄😄
sa uchokozi upo wapi hapo jamani🤭
aku ishapita hivyo siwezi tena😅
eti poda" nimecheka😅😅 mi nishawahi kukaa tukuyu kidogo ila nilikuaga sizunguki mitaani sanaNingebaki kule ungenifuata kwenye lile vumbi?
Kuna vumbi hilo wakazi wanaliita "poda".
Rafiki gani, rafiki ndo kuitana "katoto"?eti poda" nimecheka😅😅 mi nishawahi kukaa tukuyu kidogo ila nilikuaga sizunguki mitaani sana
ndio ningekufuata Kwani nini maana ya urafiki"?
we ndo ulianza kuniita mshangazi sa ulitaka mi nikuite vipi🤣🤣Rafiki gani, rafiki ndo kuitana "katoto"?
Yaani nilimaindi kweli kweli.we ndo ulianza kuniita mshangazi sa ulitaka mi nikuite vipi🤣🤣
pole lakini saiv si ushaachilia? au bado umemindYaani nilimaindi kweli kweli.