Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 29,097
- 84,556
Aww basi niambie mimi ni mtu wa aina gani?Muandiko unaonesha mengi sana, mengi sana.
Naweza nione tu hivihivi.. sichekeshi😆Kukimbia unaweza?🤣 Sio unatoka tu kama ng'ombe kafunguliwa.
Aww basi niambie mimi ni mtu wa aina gani?Muandiko unaonesha mengi sana, mengi sana.
Naweza nione tu hivihivi.. sichekeshi😆Kukimbia unaweza?🤣 Sio unatoka tu kama ng'ombe kafunguliwa.
Mbishi halafu mjeuri kwa mbali.Aww basi niambie mimi ni mtu wa aina gani?
Mi mbishi tu! Jeuri 🤔 inawezekana lakini! Kwahiyo hizo ndio character mbili umetoa kwangu?Mbishi halafu mjeuri kwa mbali.
Mtu wa maombi na unapenda kudeka...Mi mbishi tu! Jeuri 🤔 inawezekana lakini! Kwahiyo hizo ndio character mbili umetoa kwangu?
Namdekea nani kwanza? Usinichekeshe 🤣 sasa ukisema mimi wa maombi, story zangu za bangi na gambe utaziweka wapi? Mshamba ni ngumu sana kumjua mtu vizuri labda uishie ku guess tu..!Mtu wa maombi na unapenda kudeka...
Hauna wa kumdekea kwani? Eti?🌚Namdekea nani kwanza? Usinichekeshe 🤣 sasa ukisema mimi wa maombi, story zangu za bangi na gambe utaziweka wapi? Mshamba ni ngumu sana kumjua mtu vizuri labda uishie ku guess tu..!
Hahaa namdekeaje kwanza! Kuhusu nini yani..!Hauna wa kumdekea kwani? Eti?🌚
Tunakatazwa lakini..bangi na gambe ni masuala ya kidunia tu hayazuii imani
Hehehe! Umenikumbusha kuna siku niliandika sehemu mimi ni kafupi halafu keusii ti akili fupi wakapita nayo! Unanikadiria sana! Naongea kama chiriku nikiwa wapi sasa? Kwanza sina circle inayoongea kama chiriku so naongea na nani? Na mie siongeagi especially sehemu ya watu watu na kama sikujui! Kiufupi siko katika mazingira ya kuongea ka mwendawazimu!Pia wewe ni kafupi na utakuwa unaongea kama chiriku ukiwa mazingira rafiki.
Utakubali sasa?Hahaa namdekeaje kwanza! Kuhusu nini yani..!
Tunakatazwa lakini..
Hehehe! Umenikumbusha kuna siku niliandika sehemu mimi ni kafupi halafu keusii ti akili fupi wakapita nayo! Unanikadiria sana! Naongea kama chiriku nikiwa wapi sasa? Kwanza sina circle inayoongea kama chiriku so naongea na nani? Na mie siongeagi especially sehemu ya watu watu na kama sikujui! Kiufupi siko katika mazingira ya kuongea ka mwendawazimu!
Nakuogopa?Utakubali sasa?
Issue sio mimi nikoje, unatakiwa uamini kuna vitu vichache sana mtu akiandika vina-relate na uhalisia wa mtu ambaye hajajifunua! Mimi nianze hapa kukukadiria we mnene mfupi kwa mwandiko tu na sijawahi kukuona!Kwahiyo upoje sasa hebu niambie...
Labda unaficha u-gangster wako.Nakuogopa?
Hamna bwana, kuna vitu mtu anaandika kutoka moyoni ukisoma unaona kabisa.Issue sio mimi nikoje, unatakiwa uamini kuna vitu vichache sana mtu akiandika vina-relate na uhalisia wa mtu ambaye hajajifunua! Mimi nianze hapa kukukadiria we mnene mfupi kwa mwandiko tu na sijawahi kukuona!
Khee! Ili nini labda😆Labda unaficha u-gangster wako.
Yeah ni kweli kabisa! Basi chagua mazuri ya huyo mtu pia, achana na udhaifu tu, sjui unaongea kama chiriku.. kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa mtu! Negativity haitakusaidia kitu!Hamna bwana, kuna vitu mtu anaandika kutoka moyoni ukisoma unaona kabisa.
Unalalaje na hicho kiumbe ndani?Nimemtumbua Kunguni now
Jamani kwahiyo kusema tu unaongea kama chiriku ni negativity?Khee! Ili nini labda😆
Yeah ni kweli kabisa! Basi chagua mazuri ya huyo mtu pia, achana na udhaifu tu, sjui unaongea kama chiriku.. kuna mambo mengi ya kujifunza kutoka kwa mtu! Negativity haitakusaidia kitu!
Nimetolea mfano tu! Sijui kama ni sifa nzuri..Jamani kwahiyo kusema tu unaongea kama chiriku ni negativity?
Hahha au sio!Uchangamfu ni sifa nzuri.
Umeshasema sana ushaona najali?Ningesema una sura ya baba je?🌚
Mimi fighter nazurura maeneo mbalimbali, kwenye harakati zangu sometimes nalala sehemu ngumu, kama mtu kazi sichagui kambiUnalalaje na hicho kiumbe ndani?
Safi sana! Basi usiwachekee hao wadudu siwapendi! wanang’ang’aniaga ndani kama mnalipa wote kodi! Nina rafiki yangu wamemsumbua sana mpaka anataka kutupa kitanda!Mimi fighter nazurura maeneo mbalimbali, kwenye harakati zangu sometimes nalala sehemu ngumu, kama mtu kazi sichagui kambi