mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 23,390
- 75,804
Wivu gani mimi mshamba nina roho nyeupe pee...Wivu tu kama kawaida yako nyooh😂
Wivu gani mimi mshamba nina roho nyeupe pee...Wivu tu kama kawaida yako nyooh😂
Faida ipi hiyo wewe acha janja janja.Hahahaha huyo mtu wangu wa faida kabisa. 😁
Amin kwamba nothing serious. Ni wa faida tuuFaida ipi hiyo wewe acha janja janja.
Pole kuna mmoja jana nimemtapikia sana tu! Alikuwa ananizoea kama ziwa la bibiake!Aloo wamenijia wengi kama nzige shambani
Nyokooo😅Wivu gani mimi mshamba nina roho nyeupe pee...
Mm nimewatembezea matusi sijui kama modz wataniacha salamaPole kuna mmoja jana nimemtapikia sana tu! Alikuwa ananizoea kama ziwa la bibiake!
Achana nao vichaa ni wengi humu stress za maisha, mapenzi, ndoa, kushinda njaa, mashoga, malaya + soko gumu kwahiyo ni hatari!Mm nimewatembezea matusi sijui kama modz wataniacha salama
Matusi hayajengi, msipende matusi.Mm nimewatembezea matusi sijui kama modz wataniacha salama
Kwakweli mimi mtanisamehe, nilikuwa situkani ila nimeona yananisaidia sana! Sikuhizi hata kudhalilishwa kumepungua! Nyinyi wenye heshima zenu humu msitukane tu!Matusi hayajengi, msipende matusi.
Inahitaji hekima kubwa na werevu kutokutusi. Kila mmoja wetu anayafahamu matusi ila kujizuia kuyatamka ni kipimo cha utashi komavu.
For sureAchana nao vichaa ni wengi humu stress za maisha, mapenzi, ndoa, kushinda njaa, mashoga, malaya + soko gumu kwahiyo ni hatari!
1. Maandishi ni mazungumzo, unaweza kumkwaza mtu kwa maandishi.Kwakweli mimi mtanisamehe, nilikuwa situkani ila nimeona yananisaidia sana! Sikuhizi hata kudhalilishwa kumepungua! Nyinyi wenye heshima zenu humu msitukane tu!
Actually heshima inaakuja kwa kutojibu kama tunavyo fanyaKwakweli mimi mtanisamehe, nilikuwa situkani ila nimeona yananisaidia sana! Sikuhizi hata kudhalilishwa kumepungua! Nyinyi wenye heshima zenu humu msitukane tu!
Uko sahihi, na usifikiri kama wote hatulimbui hili! Hakuna mtu anayependa kuzozana na mtu bila sababu inafikia mahala unachoka kama binadamu!1. Maandishi ni mazungumzo, unaweza kumkwaza mtu kwa maandishi.
2. Anayetukana hudhalilika pia, mara nyingine kuliko hata anayetukanwa.
3. JF ni jukwaaa na lina sheria.
Mtu kama mimi nina heshima gani? Kutwa nafanya mizaha tu humu ndani. Ni vyema kuheshimu watu.
Nipe mfano wa aliyekudhalilisha mpaka ukajihisi vibaya...
Wakorofi kama nyie ndo mnafaa kesho mtoke nje mkakiwashe.Uko sahihi, na usifikiri kama wote hatulimbui hili! Hakuna mtu anayependa kuzozana na mtu bila sababu inafikia mahala unachoka kama binadamu!
And, am not in position to mention any confused specie, especially at this calm moment! Nahitaji peace of mind!
Unamjuaje mtu mkorofi kwa kumsoma tu? Ofcoz lazima nitoke..Wakorofi kama nyie ndo mnafaa kesho mtoke nje mkakiwashe.
Kesha humu mwaya walinzi kibao tu😁Moyo tulia moyo Portugal katoka 😭.
Usiku ushakua wakutisha leo.
Muandiko unaonesha mengi sana, mengi sana.Unamjuaje mtu mkorofi kwa kumsoma tu? Ofcoz lazima nitoke..